Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Zimbabwe yaonya kuhusu matamshi ya uingiliaji mambo ya balozi wa Marekani

    Zimbabwe yaonya kuhusu matamshi ya uingiliaji mambo ya balozi wa Marekani

    Nov 01, 2019 12:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe amemuonya balozi wa Marekani mjini Harare, mji mkuu wa nchi hiyo kutokana na matamshi yake ya uingiliaji katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • AU, SADC zataka Marekani na EU kuondoa vikwazo dhidi ya Zimbabwe

    AU, SADC zataka Marekani na EU kuondoa vikwazo dhidi ya Zimbabwe

    Oct 27, 2019 03:18

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ameunga mkono wito wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wa kutaka Zimbabwe iondolewe bila masharti vikwazo ambavyo imewekewa na Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya.

  • Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo

    Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo

    Oct 25, 2019 13:05

    Wafuasi wa chama tawala nchini Zimbabwe wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare wakilaani vikwazo vya nchi za Maghaibi ambavyo Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo anasema vimedumaza uchumi wa Zimbabwe.

  • Mugabe azikwa katika kijiji alikozaliwa

    Mugabe azikwa katika kijiji alikozaliwa

    Sep 29, 2019 07:49

    Kiongozi mwanzilishi wa taifa la Zimbabwe Robert Mugabe amezikwa Jumamosi katika kijiji alikozaliwa cha Kutama katika eneo la Zvimba na hivyo kuhitimisha mgogoro baina ya serikali na mrithi wake, Rais Emmerson Mnangagwa kuhusu sehemu yake ya kuzikwa.

  • Madaktari Zimbabwe: Tunatishiwa kuuawa kwa kugoma

    Madaktari Zimbabwe: Tunatishiwa kuuawa kwa kugoma

    Sep 19, 2019 01:26

    Madaktari wanaoendelea na mgomo nchini Zimbabwe wameeleza kuwa wamepokea vitisho vya kuuawa huku maafisa usalama wa taifa wakiwashinikiza baada ya polisi kuzuia maandamano yao ya pili jana Jumatano.

  • Marais wa nchi 10 za Afrika wauaga mwili wa Mugabe wa Zimbabwe

    Marais wa nchi 10 za Afrika wauaga mwili wa Mugabe wa Zimbabwe

    Sep 14, 2019 11:44

    Marais wa nchi 10 za bara Afrika pamoja na marais wastaafu wameshiriki shughuli ya kuuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe.

  • Mwili wa Robert Mugabe, kuagwa leo na maelfu ya Wazimbabwe

    Mwili wa Robert Mugabe, kuagwa leo na maelfu ya Wazimbabwe

    Sep 12, 2019 04:20

    Raia wa Zimbabwe watauaga mwili wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, hayati Robert Mugabe Alkhamisi ya leo.

  • Rambirambi zaendelea kutolewa kufuatia kifo cha Robert Mugabe

    Rambirambi zaendelea kutolewa kufuatia kifo cha Robert Mugabe

    Sep 07, 2019 02:32

    Viongozi mbalimbali wa dunia wameendelea kutuma salamu zao za ramabirambi kufuatia kifo cha Rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe kilichotokea jana huko nchini Singapore.

  • Kuongezeka matatizo ya kiuchumi; kuanza maandamano nchini Zimbabwe

    Kuongezeka matatizo ya kiuchumi; kuanza maandamano nchini Zimbabwe

    Aug 18, 2019 02:24

    Kuongezeka matatizo ya kiuchumi nchini Zimbabwe na kutotekelezwa ahadi zilizotolewa na Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo katika uwanja huo kumepelekea makumi ya maelfu ya Wazimbabwe kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare kulalamikia siasa za kiuchumi za serikali.

  • Polisi Zimbabwe yawapiga waandamanaji Harare, yapiga marufuku maandamano dhidi ya serikali

    Polisi Zimbabwe yawapiga waandamanaji Harare, yapiga marufuku maandamano dhidi ya serikali

    Aug 16, 2019 15:14

    Polisi nchini Zimbabwe leo Ijumaa imetumia gesi ya kutoa machozi na kuwapiga makumi ya wafuasi wa upinzani waliokuwa wameandamana katikati ya mji mkuu wa nchi hiyo, Harare.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS