-
Rais: Zimbabwe haitarejea katika matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani
Dec 14, 2019 03:58Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema licha ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika kukabiliwa na mtikisiko mkubwa wa kiuchumi, lakini haitarejea katika matumizi ya sarafu ya dola ya Marekani.
-
Mahakama ya Zimbabwe yamteuwa Bona Chikore kufuatilia mali za Mugabe
Dec 05, 2019 09:03Mahakama Kuu ya Zimbabwe leo amemteua binti wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo Robert Mugabe kufuatilia mali zilizoachwa na kiiongozi huyo ili ziweze kugawanywa baina ya warithi wake.
-
Madaktari wanaogoma Zimbabwe wakataa nyongeza ya mshahara
Nov 30, 2019 01:00Madaktari wanaoendelea na mgomo nchini Zimbabwe tokea mwezi Septemba mwaka huu wamekataa pendekezo la serikali la kurejea kazini baada ya kupewa nyongeza ya mishahara.
-
Rais wa Zimbabwe aachana na mpango wa kuondoa ruzuku kwa mazao ya nafaka
Nov 28, 2019 08:30Serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe imesema kuwa itaachana na mpango wake wa kuondoa ruzuku kwa mazao ya nafaka ifikapo mwakani; hatua iliyoitaja kuwa itawalinda raia maskini na kupanda kwa bei ya bidhaa za vyakula.
-
Polisi Zimbabwe watumia gesi ya kutoa machozi na marungu kuwatawanya wafuasi wa upinzani
Nov 20, 2019 09:22Polisi nchini Zimbabwe leo Jumatano wametumia marungu, gesi ya kutoa machozi na maji ya kuwasha kuwapiga na kuwatawanya wafuasi wa chama kikuu cha upinzani ambao walikuwa wamekusanyika nje ya makao makuu ya chama hicho kusikiliza hotuba ya kiongozi wao.
-
Zimbabwe yaonya kuhusu matamshi ya uingiliaji mambo ya balozi wa Marekani
Nov 01, 2019 08:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Zimbabwe amemuonya balozi wa Marekani mjini Harare, mji mkuu wa nchi hiyo kutokana na matamshi yake ya uingiliaji katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
AU, SADC zataka Marekani na EU kuondoa vikwazo dhidi ya Zimbabwe
Oct 26, 2019 23:48Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat ameunga mkono wito wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) wa kutaka Zimbabwe iondolewe bila masharti vikwazo ambavyo imewekewa na Marekani pamoja na Umoja wa Ulaya.
-
Wazimbabwe waandamana kupinga vikwazo vya nchi za Magharibi, wasema ni utumwa mamboleo
Oct 25, 2019 09:35Wafuasi wa chama tawala nchini Zimbabwe wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare wakilaani vikwazo vya nchi za Maghaibi ambavyo Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo anasema vimedumaza uchumi wa Zimbabwe.
-
Mugabe azikwa katika kijiji alikozaliwa
Sep 29, 2019 04:19Kiongozi mwanzilishi wa taifa la Zimbabwe Robert Mugabe amezikwa Jumamosi katika kijiji alikozaliwa cha Kutama katika eneo la Zvimba na hivyo kuhitimisha mgogoro baina ya serikali na mrithi wake, Rais Emmerson Mnangagwa kuhusu sehemu yake ya kuzikwa.
-
Madaktari Zimbabwe: Tunatishiwa kuuawa kwa kugoma
Sep 18, 2019 20:56Madaktari wanaoendelea na mgomo nchini Zimbabwe wameeleza kuwa wamepokea vitisho vya kuuawa huku maafisa usalama wa taifa wakiwashinikiza baada ya polisi kuzuia maandamano yao ya pili jana Jumatano.