-
WFP: Zimbabwe inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa
Aug 08, 2019 03:37Zimbabwe inakabiliwa na janga baya zaidi la la njaa kuwahi kuikumba nchi hiyo na msaada wa haraka unahitajika ili kunusuru maisha ya mamailioni ya watu.
-
Jumanne, Mei 7, 2019
May 07, 2019 04:13Leo ni Jumanne tarehe Mosi Ramadhani 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Mei, 2019 Milaadia.
-
Alhamisi, 18 Aprili, 2019
Apr 18, 2019 01:20Leo ni Alhamisi tarehe 12 Sha'aban 1440 Hijria, sawa na tarehe 18 Aprili, 2019 Miladia.
-
UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai
Apr 15, 2019 07:48Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.
-
Kimbunga Idai kimeua watu 268 Zimbabwe, mamia hawajulikani waliko
Apr 04, 2019 02:42Waziri wa habari wa Zimbabwe Bibi Monica Mutsvangwa amesema, watu 268 wamethibitishwa kufariki na mamia ya wengine hawajulikani walipo kufuatia kimbunga Idai kilichoshambulia sehemu ya mashariki ya nchi hiyo katikati ya mwezi uliopita.
-
Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi
Mar 30, 2019 16:00Mamia ya maelfu ya watu wanahitaji misaada ya dharura ya chakula, maji na makazi baada ya Kimbunga Idai kusababisha uharibifu mkubwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.
-
Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji
Mar 18, 2019 07:56Watu zaidi ya 100 wameaga dunia na wengine wengi hawajulikani waliko katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe baada ya kimbunga cha tropiki cha Idai kuzikumba nchi hizo za kusini mwa Afrika na kusababisha mafuriko ya gharika na pepo kali.
-
Kimbunga Idai chaua watu 24 Zimbabwe na kusababisha uharibifu mkubwa
Mar 16, 2019 14:40Watu wasiopungua 24 wamepoteza maisha kusini mashairki mwa Zimbabwe huku madaraja yakisombwa na maji baada ya kimbunga Idai kuikumba nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.
-
Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake
Mar 06, 2019 13:51Zimbabwe imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Marekani ya kurefusha vikwazo dhidi ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, inayokabiliwa na mgogoro wa kiuchumi.
-
Iran yatuma salamu za rambirambi kwa familia za waliopoteza maisha katika ajali mgodini Zimbabwe
Feb 19, 2019 07:48Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma salama za rambirambi na kutoa mkono wa pole kwa serikali, wananchi na familia za wahanga wa ajali ya mgodini huko Zimbabwe.