Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Madaktari Zimbabwe: Tunatishiwa kuuawa kwa kugoma

    Madaktari Zimbabwe: Tunatishiwa kuuawa kwa kugoma

    Sep 18, 2019 20:56

    Madaktari wanaoendelea na mgomo nchini Zimbabwe wameeleza kuwa wamepokea vitisho vya kuuawa huku maafisa usalama wa taifa wakiwashinikiza baada ya polisi kuzuia maandamano yao ya pili jana Jumatano.

  • Marais wa nchi 10 za Afrika wauaga mwili wa Mugabe wa Zimbabwe

    Marais wa nchi 10 za Afrika wauaga mwili wa Mugabe wa Zimbabwe

    Sep 14, 2019 07:14

    Marais wa nchi 10 za bara Afrika pamoja na marais wastaafu wameshiriki shughuli ya kuuaga mwili wa Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe.

  • Mwili wa Robert Mugabe, kuagwa leo na maelfu ya Wazimbabwe

    Mwili wa Robert Mugabe, kuagwa leo na maelfu ya Wazimbabwe

    Sep 11, 2019 23:50

    Raia wa Zimbabwe watauaga mwili wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, hayati Robert Mugabe Alkhamisi ya leo.

  • Rambirambi zaendelea kutolewa kufuatia kifo cha Robert Mugabe

    Rambirambi zaendelea kutolewa kufuatia kifo cha Robert Mugabe

    Sep 06, 2019 22:02

    Viongozi mbalimbali wa dunia wameendelea kutuma salamu zao za ramabirambi kufuatia kifo cha Rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Mugabe kilichotokea jana huko nchini Singapore.

  • Kuongezeka matatizo ya kiuchumi; kuanza maandamano nchini Zimbabwe

    Kuongezeka matatizo ya kiuchumi; kuanza maandamano nchini Zimbabwe

    Aug 17, 2019 21:54

    Kuongezeka matatizo ya kiuchumi nchini Zimbabwe na kutotekelezwa ahadi zilizotolewa na Rais Emmerson Mnangagwa wa nchi hiyo katika uwanja huo kumepelekea makumi ya maelfu ya Wazimbabwe kuandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Harare kulalamikia siasa za kiuchumi za serikali.

  • Polisi Zimbabwe yawapiga waandamanaji Harare, yapiga marufuku maandamano dhidi ya serikali

    Polisi Zimbabwe yawapiga waandamanaji Harare, yapiga marufuku maandamano dhidi ya serikali

    Aug 16, 2019 10:44

    Polisi nchini Zimbabwe leo Ijumaa imetumia gesi ya kutoa machozi na kuwapiga makumi ya wafuasi wa upinzani waliokuwa wameandamana katikati ya mji mkuu wa nchi hiyo, Harare.

  • WFP: Zimbabwe inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa

    WFP: Zimbabwe inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa

    Aug 07, 2019 23:07

    Zimbabwe inakabiliwa na janga baya zaidi la la njaa kuwahi kuikumba nchi hiyo na msaada wa haraka unahitajika ili kunusuru maisha ya mamailioni ya watu.

  • Jumanne, Mei 7, 2019

    Jumanne, Mei 7, 2019

    May 06, 2019 23:43

    Leo ni Jumanne tarehe Mosi Ramadhani 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Mei, 2019 Milaadia.

  • Alhamisi, 18 Aprili, 2019

    Alhamisi, 18 Aprili, 2019

    Apr 17, 2019 20:50

    Leo ni Alhamisi tarehe 12 Sha'aban 1440 Hijria, sawa na tarehe 18 Aprili, 2019 Miladia.

  • UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    Apr 15, 2019 03:18

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS