Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • WFP: Zimbabwe inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa

    WFP: Zimbabwe inakabiliwa na baa kubwa zaidi la njaa

    Aug 08, 2019 03:37

    Zimbabwe inakabiliwa na janga baya zaidi la la njaa kuwahi kuikumba nchi hiyo na msaada wa haraka unahitajika ili kunusuru maisha ya mamailioni ya watu.

  • Jumanne, Mei 7, 2019

    Jumanne, Mei 7, 2019

    May 07, 2019 04:13

    Leo ni Jumanne tarehe Mosi Ramadhani 1440 Hijria inayosadifiana na tarehe 7 Mei, 2019 Milaadia.

  • Alhamisi, 18 Aprili, 2019

    Alhamisi, 18 Aprili, 2019

    Apr 18, 2019 01:20

    Leo ni Alhamisi tarehe 12 Sha'aban 1440 Hijria, sawa na tarehe 18 Aprili, 2019 Miladia.

  • UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    UNICEF: Watoto milioni 1.5 wanahitaji msaada kusini mwa Afrika kufuatia Kimbunga Idai

    Apr 15, 2019 07:48

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF, limetoa ombi la dola milioni 1.6 kusaidia watoto takribani milioni 1.5 ambao wameathiriwa vibaya na Kimbunga Idai katika nchi za kusini mwa Afrika ambazo ni Msumbiji, Malawi na Zimbabwe.

  • Kimbunga Idai kimeua watu 268 Zimbabwe, mamia hawajulikani waliko

    Kimbunga Idai kimeua watu 268 Zimbabwe, mamia hawajulikani waliko

    Apr 04, 2019 02:42

    Waziri wa habari wa Zimbabwe Bibi Monica Mutsvangwa amesema, watu 268 wamethibitishwa kufariki na mamia ya wengine hawajulikani walipo kufuatia kimbunga Idai kilichoshambulia sehemu ya mashariki ya nchi hiyo katikati ya mwezi uliopita.

  • Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi

    Waliofariki dunia katika Kimbunga Idai wafika 746, maelfu wapoteza makazi

    Mar 30, 2019 16:00

    Mamia ya maelfu ya watu wanahitaji misaada ya dharura ya chakula, maji na makazi baada ya Kimbunga Idai kusababisha uharibifu mkubwa Msumbiji, Zimbabwe na Malawi.

  • Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji

    Kimbunga cha Idai chaua zaidi ya watu 100 Zimbabwe na Msumbiji

    Mar 18, 2019 07:56

    Watu zaidi ya 100 wameaga dunia na wengine wengi hawajulikani waliko katika nchi za Msumbiji na Zimbabwe baada ya kimbunga cha tropiki cha Idai kuzikumba nchi hizo za kusini mwa Afrika na kusababisha mafuriko ya gharika na pepo kali.

  • Kimbunga Idai chaua watu 24 Zimbabwe na kusababisha uharibifu mkubwa

    Kimbunga Idai chaua watu 24 Zimbabwe na kusababisha uharibifu mkubwa

    Mar 16, 2019 14:40

    Watu wasiopungua 24 wamepoteza maisha kusini mashairki mwa Zimbabwe huku madaraja yakisombwa na maji baada ya kimbunga Idai kuikumba nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake

    Zimbabwe yasikitishwa na vikwazo vipya vya Marekani dhidi yake

    Mar 06, 2019 13:51

    Zimbabwe imeeleza kusikitishwa kwake na hatua ya Marekani ya kurefusha vikwazo dhidi ya nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, inayokabiliwa na mgogoro wa kiuchumi.

  • Iran yatuma salamu za rambirambi kwa familia za waliopoteza maisha katika ajali mgodini Zimbabwe

    Iran yatuma salamu za rambirambi kwa familia za waliopoteza maisha katika ajali mgodini Zimbabwe

    Feb 19, 2019 07:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametuma salama za rambirambi na kutoa mkono wa pole kwa serikali, wananchi na familia za wahanga wa ajali ya mgodini huko Zimbabwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS