Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Maandamano ya wananchi Morocco; nara dhidi ya jinai za Israel

    Maandamano ya wananchi Morocco; nara dhidi ya jinai za Israel

    Apr 22, 2025 13:11

    Wananchi wa Morocco wameandamana kuunga mkono Wapalestina wanaoishi katika Ukanda wa Gaza na kupinga meli zinazobeba zana za kijeshi za utawala wa Kizayuni kutia nanga katika bandari za nchi yao.

  • Wananchi wa Morocco wafanya maandamano 105 kuiunga mkono Gaza

    Wananchi wa Morocco wafanya maandamano 105 kuiunga mkono Gaza

    Apr 19, 2025 06:05

    Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake nchini Qatar imetangaza kuwa wananchi wa Morocco wamefanya maandamano 105 katika miji 58 ya nchi hiyo wakitangaza mshikamano wao na kuwaunga mkono watu madhulumu wa Ukanda wa Gaza na kulaani vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.

  • Mwangwi wa hasira za wananchi wa Morocco dhidi ya jinai za Israel

    Mwangwi wa hasira za wananchi wa Morocco dhidi ya jinai za Israel

    Apr 08, 2025 11:55

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano huko Rabat, mji mkuu wa nchi hiyo wakilaani jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza na kutaka kufutwa makubaliano ya kuwa na uhusiano wa kawaida kati ya Morocco na utawala wa Kizayuni.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel Gaza

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel Gaza

    Apr 07, 2025 11:36

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katikati mwa mji mkuu wa Rabat kulaani mashambulio mapya ya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Dec 08, 2024 02:30

    Wananchi wa Mauritania wameandamana na kulaani vikali mashambulio ya utawala haramu za Israel na jinai zake dhidi ya wananchi wa Ukanda wa Gaza.

  • Morocco yachapisha stempu ya Gaza kuwaunga mkono Wapalestina

    Morocco yachapisha stempu ya Gaza kuwaunga mkono Wapalestina

    Dec 03, 2024 07:15

    Idara ya posta ya Morocco imechukua hatua ya kuwaunga mkono Wapalestina dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa kuchapisha stempu yenye anuani "Pamoja na Gaza".

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel

    Dec 01, 2024 04:13

    Maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kulaani jinai zinazoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa IIsrael katika Ukanda wa Gaza.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina

    Wananchi wa Morocco waandamana kuunga mkono Palestina

    Nov 16, 2024 12:24

    Wananchi wa Morocco wameandamana na kutangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Gaza na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel. 

  • Wananchi wa Morocco na Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Wananchi wa Morocco na Mauritania waandamana kulaani jinai za Israel

    Nov 11, 2024 13:01

    Wananchi wa Morocco na Mauritania wameandamana na kulaani vikali mashambulio ya utawala haramu za Israel na jinai zake dhidi ya wananchi wa Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Morocco imeongezeka hadi 18

    Idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko nchini Morocco imeongezeka hadi 18

    Sep 10, 2024 07:10

    Idadi ya watu waliofariki kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa kusini mashariki mwa Morocco imeongezeka na kufikia watu 18.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS