-
Jeshi Mali lamuangamiza kinara wa Daesh katika eneo la Sahara
Jul 22, 2025 01:07Jeshi la Mali limetangaza kuwa limemuua Souleymane Ag Bakawa, mmoja wa viongozi wa kundi la kigaidi la Daesh katika eneo pana la Sahara, wakati wa operesheni ya kiusalama katika eneo la Tinfadimata, kaskazini mwa Mali.
-
Al-Burhan: Tuna uwezo wa kuwashinda waasi wa RSF, tunapinga uingiliaji wa kigeni
Jul 22, 2025 01:03Mkuu wa Baraza la Ukuu wa Uongozi wa Sudan, Abdel Fattah al-Burhan amesema vikosi vya jeshi la Sudan vina uwezo wa kushinda kile alichokiita "wanamgambo wa Dagalo," akimaanisha Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) vinavyoongozwa na Mohamed Hamdan Dagalo.
-
Mwanaharakati wa haki za binadamu Kenya aachiwa kwa dhamana, ashtakiwa kwa kumiliki silaha kinyume cha sheria
Jul 21, 2025 10:08Boniface Mwangi, mwanaharakati wa haki za binadamu wa Kenya ambaye amekuwa na nafasi kuu katika maandamano dhidi ya serikali, ameachiwa huru kwa dhamana leo Jumatatu baada ya kushtakiwa kwa kupatikana na gesi ya kutoa machozi na silaha nyumbani kwake.
-
Rais wa Eritrea aitahadharisha Ethiopia juu ya kuibuka mzozo mpya
Jul 21, 2025 09:59Rais wa Eritrea, Isaias Afwerki, ametoa tahadhari kwa jirani yake Ethiopia, na kuonya juu ya uwezekano wa kuzuka mzozo mpya kati ya nchi mbili huku hali ya wasiwasi ikiongezeka katika eneo la Pembe ya Afrika.
-
Magaidi 70 waangamizwa katika operesheni za jeshi nchini Mali
Jul 20, 2025 12:53Jeshi la Mali lilitangaza jana Jumapili kwamba, magaidi wasiopungua 70 waliuawa katika operesheni mbili za kiusalama kaskazini na katikati mwa nchi.
-
Sudan yalaani vikwazo vipya vya Umoja wa Ulaya dhidi yake
Jul 20, 2025 10:37Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan imeshutumu vikwazo vipya vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya watu binafsi na mashirika ya Sudan, na kusisitiza kuwa havina "viwango vya uadilifu vya kisheria."
-
Wananchi wa Morocco waandamana kulaani jinai za Israel
Jul 20, 2025 08:52Maelfu ya wananchi wa Morocco waliingia mitaani jana Jumamosi kushiriki maandamano ya kutangaza mshikamano wao na wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza, sanjari na kulaani kampeni ya mauaji ya kimbari ya Israel, ambayo ipo katika mwezi wake wa 21 sasa.
-
Je, umewadia sasa wakati wa kuhitimishwa ukoloni wa Ufaransa barani Afrika?
Jul 20, 2025 08:21Ufaransa imehitimisha muda wa zaidi ya miaka sitini ya uwepo wake wa kudumu wa kijeshi nchini Senegal kwa kukabidhi kambi ya kijeshi ya Geille iliyoko mjini Dakar kwa jeshi la nchi hiyo.
-
Rwanda: Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya M23 na DRC ni "hatua muhimu"
Jul 20, 2025 04:26Rwanda jana ilipongeza kutiwa saini mjini Doha kwa tamko la kanuni kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na muungano wa makundi mbalimbali ya waasi unaolijumuisha kundi la waasi la M23 na kulitaja kuwa ni hatua muhimu kuelekea katika utatuzi wa amani wa mzozo wa mashariki mwa Kongo.
-
Morocco inapambana kuzima moto wa msituni kwa njia za angani na ardhini
Jul 20, 2025 04:26Mamlaka husika za Morocco zimekuwa zikikabiliana na moto wa msituni karibu na mji wa kaskazini wa Tetouan tangu mapema jana Jumamosi, huku kukiwa na juhudi kubwa za kudhibiti moto huo kwa kutumia njia za angani na ardhini.