-
Nchi tatu za Muungano wa Sahel zazindua kitambulisho cha pamoja
Jul 19, 2025 23:00Katika hatua mpya ya umoja wa kanda, Muungano wa Mataifa ya Sahel, AES, umetangaza uzinduzi wa kadi ya utambulisho ya pamoja inayotumia teknolojia ya kibiometri.
-
M23, DRC zatia saini makubaliano ya kusitisha mapigano nchini Qatar
Jul 19, 2025 10:18Wawakilishi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 wametia saini makubaliano ya kusitisha mapigano mashariki mwa DRC, leo Jumamosi nchini Qatar.
-
AU yaeleza kuridhishwa na usitishaji mapigano, kuvunjwa makundi yenye silaha Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jul 19, 2025 00:29Umoja wa Afrika, AU umeeleza kuridhishwa na usitishaji mapigano unaotekelezwa katika Jamhuri ya Afrika ya Kati na kuvunjwa kwa makundi mawili ya wabeba silaha nchini humo, na unetoa wito kwa makundi mengine pia kukabidhi silaha zao.
-
6 wauawa, 100 watekwa katika shambulio la majambazi Zamfara, Nigeria
Jul 18, 2025 13:05Watu wenye silaha wameripotiwa kuwauwa watu wasiopungua sita na kuwateka nyara wengine zaidi ya 100, wakiwemo wanawake na watoto, katika shambulio dhidi ya watu wa jamii ya Kairu katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.
-
AU yamteua Rais wa Burundi kuwa mjumbe wake maalum eneo la Sahel
Jul 18, 2025 10:20Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), Joao Lourenco ametangaza kumteua Evariste Ndayishimiye, Rais wa Burundi, kuwa mjumbe wake maalum katika eneo la Sahel.
-
UN yalaani mauaji ya raia yaliyofanywa na pande zote mbili katika vita vya Sudan
Jul 18, 2025 01:58Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Türk, amelaani mauaji ya raia kadhaa yaliyofanywa wiki iliyopita na pande zote mbili husika katika vita vya Sudan, katika mapigano yanayoendelea kwenye eneo la Kordofan.
-
Ufaransa yakabidhi kambi za mwisho Senegal, yahitimisha uwepo wa kijeshi wa miongo kadhaa
Jul 17, 2025 10:45Ufaransa jana Alkhamisi ilikabidhi kambi zake za mwisho za kijeshi nchini Senegal, kuashiria kumalizika kwa uwepo wa kijeshi wa mkoloni huyo wa zamani katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi kwa miongo kadhaa.
-
Umri wa unywaji pombe Kenya wapendekezwa kuongezwa kutoka miaka 18 hadi 21
Jul 17, 2025 08:07Mamlaka ya Taifa ya Kupambana na Matumizi ya Pombe na Dawa za Kulevya nchini Kenya (NACADA) imetetea pendekezo lake la kutaka umri wa kisheria wa kunywa pombe nchini humo uongezwe kutoka miaka 18 hadi 21, ikitaja utafiti wa kiafya, maoni ya umma na viwango vya kimataifa kama msingi wa pendekezo hilo.
-
Dira ya 2050 kuigeuza Tanzania nchi ya Uchumi wa $Trilioni 1
Jul 17, 2025 11:22Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Julai 17 imezindua rasmi Dira ya Taifa ya 2050 katika hafla maalumu iliyohudhuriwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.
-
Eswatini kuwatimua wahamiaji 'sugu' kutoka US baada ya malalamiko
Jul 17, 2025 01:29Serikali ya Eswatini ilisema jana Jumatano kwamba, inawashikilia raia watano wa nchi ya tatu waliofukuzwa kutoka Marekani katika magereza yaliyotengwa, chini ya makubaliano na utawala wa Rais Donald Trump, lakini inapania kuwarejesha katika nchi zao.