-
Umoja wa Afrika: Hatuitambui serikali sambamba ya Sudan
Jul 31, 2025 00:45Umoja wa Afrika umepinga vikali hatua ya kundi la wanamgambo RSF kutangaza serikali sambamba nchini Sudan, ukisema hatua hiyo inahatarisha umoja wa taifa na juhudi za amani.
-
Umoja wa Mataifa: Njaa duniani imepungua lakini bado hali ni mbaya Afrika
Jul 31, 2025 00:44Ripoti ya Umoja wa Mataifa imesema kuwa, kiwango cha njaa duniani kilipungua kidogo mwaka 2024, lakini bado watu zaidi ya milioni 7 wanakabiliwa na ukosefu wa chakula huku idadi kubwa ikishuhudiwa barani Afrika.
-
Mapigano ya mpakani kati ya Sudan Kusini na Uganda yasababisha vifo na majeruhi
Jul 30, 2025 09:15Mapigano yalizuka jana kati ya majeshi ya Uganda na Sudan Kusini katika jimbo la Central Equatoria na kusababisha vifo na kujeruhiwa watu kadhaa.
-
Watoto wanakufa kwa njaa katika jimbo la Darfur, Sudan huku ugonjwa wa Kipindupindu ukienea
Jul 30, 2025 09:14Watoto 13 wameaga dunia kutokana na njaa katika kambi ya raia waliokimbia makazi yao katika jimbo la Darfur Mashariki nchini Sudan.
-
Mratibu wa UN: Sahel inakabiliwa na mzozo wa usalama lakini pia ni 'eneo la fursa na matumaini'
Jul 30, 2025 04:28Eneo la Sahel barani Afrika limeendelea kuathiriwa na mzozo tata wa usalama na ongezeko la machafuko ambayo yanatishia mamilioni ya watu.
-
Waasi wa M23 wateka vijiji viwili Kongo na kuhatarisha makubaliano ya Doha
Jul 30, 2025 04:20Waasi wa M23 wameteka vijiji viwili katika eneo la Masisi katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, licha ya makubaliano ya amani waliyosainiwa hivi karibuni huko Qatar.
-
Watekaji nyara nchini Nigeria wamewaua mateka 35 licha ya kupokea mlungura
Jul 29, 2025 23:43Ripoti kutoka Nigeria zinasema kuwa, maafa mengine yamejiri kaskazini magharibi mwa nchi hiyo baada ya majambazi katika Jimbo la Zamfara kuwaua watu 33 waliowateka nyara mwezi Februari mwaka huu licha ya kupokea pesa ya kikomboleo au mlungura wa zaidi ya dola 33,000.
-
4 wauawa, mamia watiwa nguvuni katika maaandamano ya kupinga kupanda bei ya mafuta huko Angola
Jul 29, 2025 23:14Watu wasiopungua wanne wamepoteza maisha na mamia ya wengine kutiwa nguvuni katika maandamano ya ghasia huko Angola kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta.
-
Harakati za Ukombozi Afrika: Magharibi inajaribu tena kugawanya na kutawala Afrika
Jul 29, 2025 08:00Harakati za ukombozi kutoka nchi sita za Afrika zimekutana mjini Johannesburg, Afrika Kusini, kwa lengo la kuimarisha mshikamano dhidi ya kuingiliwa kwa masuala ya bara hili na mataifa ya Magharibi. Washiriki wameonya kuwa nguvu za kigeni zinajaribu kuligawanya tena Bara la Afrika na kulitawala kiuchumi kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni.
-
Serikali ya Algeria yafuta Hadhi Maalum kwa Ubalozi wa Ufaransa
Jul 29, 2025 07:47Algeria imefuta kadi zote za hadhi maalumu zilizokuwa zimetolewa kwa wafanyakazi wa Ubalozi wa Ufaransa katika bandari na viwanja vya ndege vya nchi hiyo ya Afrika Kaskazini, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya kile ambacho Algiers inasema ni vikwazo vilivyowekwa kwa wanadiplomasia wake nchini Ufaransa.