-
Wamorocco wavunja "daraja" lililobeba zawadi angamizi za Marekani
Apr 24, 2025 23:17Wafanyakazi nchini Morocco wamekuwa ngome ya kuwalinda watoto wa Ghaza baada ya kukataa kupeleka zawadi angamizi za Marekani kwa utawala dhalimu wa Israel.
-
Mahakama yaakhirisha kesi kwa muda Tanzania, Lissu agoma
Apr 24, 2025 10:05Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam Tanzania, imeakhirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyewe wa Chadema, Tundu Lissu. Hii ni katika hali ambayo Tundu Lissu na mawakili wake wapinga kesi kusikilizwa kwa njia ya mtandao.'
-
Wanasheria: A/Kusini haina namna nyingine ila kuunga mkono Muqawama
Apr 24, 2025 07:51Hatua ya Afrika Kusini ya kuongoza kampeni muhimu ya kisheria katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya mauaji ya umati yanayofanywa na Israel huko Ghaza ni ushahidi wa msimamo wa kishujaa wa nchi hiyo ya Afrika na wanasheria wanasema, Pretoria haina namna nyingine isipokuwa kuendelea kuwaunga mkono wananchi madhlumu wa Palestina.
-
Misri na Djibouti zalaani mashambulizi mapya ya Israel katika Ukanda wa Gaza
Apr 24, 2025 07:17Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi na mwenzake wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh wametangaza uungaji mkono wao kwa juhudi za kumaliza vita katika Ukanda wa Gaza, na kulinda usalama wa baharini katika Bahari Nyekundu.
-
Benin: Askari wetu waliouawa katika shambulio la karibuni ni 54
Apr 24, 2025 07:07Msemaji wa serikali ya Benin, Wilfried Leandre Houngbedji amesema idadi ya wanajeshi wa nchi hiyo waliouawa katika shambulio la kigaidi lililotokea kaskazini mwa nchi mnamo Aprili 17 ni 54.
-
Waasi wa M23 na serikali ya Kinshasa zakubaliana kusitisha mapigano
Apr 24, 2025 03:58Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kundi la waasi wa M23 zimetoa taarifa ya pamoja zikieleza kwamba, zimeafikiana kusitisha mapigano mashariki mwa nchi hiyo.
-
Tanzania yapiga marufuku bidhaa za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini
Apr 24, 2025 03:58Serikali ya Tanzania imetangaza kupiga marufuku rasmi bidhaa zote za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi, kufuatia maamuzi ya awali ya nchi hizo mbili ya kupiga marufuku uingizaji wa mazao ya Tanzania.
-
Jeshi la Burkina Faso lazuia jaribio la kumpindua Traore
Apr 23, 2025 07:30Burkina Faso imethibitisha rasmi kwamba kulitokea jaribio la kuimpindua serikali ya nchi hiyo ambayo iko mstari wa mbele wa kuleta marekebisho ya kiuchumi kwa maslahi ya wananchi na dhidi ya madola ya kibeberu.
-
Watu 11 wauawa katika shambulizi jipya jimboni Benue, Nigeria
Apr 23, 2025 07:29Watu wasiopungua 11 wameuawa kufuatia shambulizi jipya lililofanywa na wafugaji wenye silaha katika jamii ya Afia, iliyoko katika eneo la Serikali ya Mitaa ya Ukum, Jimbo la Benue, kaskazini-kati mwa Nigeria.
-
RSF ya Sudan yafanya mauaji mengine ya kutisha El-Fasher, Darfur Kaskazini
Apr 22, 2025 22:53Raia wasiopungua 47 wameuawa katika mashambulizi ya mizinga yalilofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko El-Fasher, mji mkuu wa Jimbo la Darfur Kaskazini magharibi mwa Sudan.