-
UN: Mbali na hatari za kiusalama, afya za watu wa Goma pia zinahatarishwa na magonjwa
Feb 01, 2025 23:21Umoja wa Mataifa umesema kuwa, wakati huu ambapo hatari za kiusalama zimeanza kupungua na utulivu umeanza kurejea huko Goma ambao ni mji mkubwa zaidi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), afya za wakazi za mji huo ziko kwenye hatari ya kukumbwa na miripuko ya magonjwa kama kipindupindu na Mpox.
-
Watu 3 watiwa mbaroni Zambia kwa kueneza madai ya uongo kuhusu afya ya Rais
Feb 01, 2025 23:19Vyombo vya usalama nchini Zambia vimetangaza kuwa watu watatu wametiwa mbaroni kwa kueneza taarifa za uongo kuhusu hali ya afya ya Rais Hakainde Hichilema kwenye mitandao ya kijamii.
-
UN: Pande mbili za vita vya wenyewe kwa wenyewe Kongo DR vinafanya mauaji, ubakaji
Feb 01, 2025 09:28Umoja wa Mataifa umezishutumu pande mbili za vita vya wenyewe kwa wenyewe katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa zinahusika na mauaji ya watu wengi na ubakaji, huku waasi wanaoungwa mkono na Rwanda wakizidi kusonga mbele katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo ambalo lina utajiri mkubwa wa madini kama vile almasi, dhahabu, shaba na yale ya coltan yanayotumika katika simu za mkononi.
-
Jeshi la Sudan latangaza kudhibiti maeneo mengi ya mashariki mwa Khartoum
Feb 01, 2025 09:25Ripoti kutoka Sudan zinasema, jeshi la nchi hiyo linakaribia kutangaza mji wa Khartoum Bahri kuwa huru kutoka kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) baada ya kuchukua udhibiti wa vitongoji vyote vya jiji hilo.
-
Mwisho wa domino ya kuwafukuza wanajeshi wa Ufaransa kutoka Afrika ya Kati
Feb 01, 2025 05:18Msemaji wa jeshi la Chad ametangaza kwamba nchi hiyo ilipokea kambi ya mwisho ya jeshi la Ufaransa Alhamisi, Januari 30.
-
UN: Watu 700 wameuawa DRC ndani ya siku tano
Feb 01, 2025 04:29Umoja wa Mataifa umetoa wito wa kukomesha ghasia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ambako mapigano kati ya vikosi vya serikali na waasi wa M23 yamesababisha watu zaidi ya 700 kuuawa huku wengine wasiopungua 2,800 wakijeruhiwa katika kipindi cha siku tano.
-
Waasi wa Kongo wanapanga kusonga mbele hadi Kinshasa, Rais Tshisekedi atoa wito wa kujitayarisha
Jan 31, 2025 10:03Waasi wa kundi la M23 la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linaloungwa mkono na Rwanda, ambalo limeteka mji mkubwa zaidi mashariki mwa nchi hiyo, Goma, wametangaza nia yao ya kupeleka vita katika mji mkuu, Kinshasa, huku Rais Félix Tshisekedi akitoa wito wa kuandaliwa jeshi kubwa kukabiliana na mashambulizi hayo.
-
Ethiopia kuongeza uwezo wa kuzalisha umeme maradufu ifikapo 2028
Jan 31, 2025 03:00Serikali ya Ethiopia imetangaza kuwa ina mipango kabambe ya kuongeza uwezo wake wa kuzalisha nishati ya umeme hadi megawati 13,000 (MW) ifikapo mwaka 2028.
-
Spika wa bunge la Algeria ataka kujinaishwa ukoloni wa Ufaransa nchini humo
Jan 31, 2025 02:59Spika wa Bunge la Algeria, Ibrahim Boughali ametoa mwito wa kupasishwa sheria inayojinaisha ukoloni wa Ufaransa na kuutambua rasmi kuwa ni uhalifu. Mwito huo ni kiashiria tosha cha kuongezeka mvutano kati ya Algeria na mkoloni kizee wa Ulaya yaani Ufaransa.
-
Mali: Tumemuangamiza kiongozi wa genge la kigaidi
Jan 31, 2025 02:59Jeshi la Mali limetangaza kuwa limemuua kiongozi wa genge la kigaidi aliyekkuwa anaogoza vitendo vya kigaidi katikati mwa Mali.