-
UNHCR: Tunahitaji dola milioni 40 kusaidia wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Feb 24, 2025 03:44Wakati waasi wa M23 wakiendelea kusonga mbele katika mkoa wa Kivu Kaskazini na Kusini, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) limeaomba zaidi ya dola milioni 40 kusaidia watu waliokimbia makazi yao katika mikoa hiyo mawili mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na katika nchi jirani.
-
Harakati ya Kiislamu Nigeria yawaenzi na kuwaomboleza viongozi wa muqawama
Feb 24, 2025 03:43Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria katika Jimbo la Kano imewaenzi na kuwaomboleza aliyekuwa Katibu Mkuu wa Hizbullah, Sayyed Hassan Nasrullah na Mkuu wa zamani wa Baraza la Utendaji la harakati hiyo, Sayyed Hashem Safieddine, waliouawa shahidi katika shambulio la anga la Israel huko Beirut.
-
Joseph Kabila: Uongozi mbaya wa Rais Tshisekedi umezidisha mzozo mashariki mwa DRC
Feb 24, 2025 03:42Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila amesema kuuwa, uongozi mbaya wa mrithi wake, Rais Felix Tshisekedi umechangia pakubwa kuzidisha mzozo mashariki mwa nchi hiyo.
-
Mkutano wa kikanda kuhusu mapigano Kongo DR kufanyika leo Dar es Salaam
Feb 23, 2025 23:36Tanzania leo Jumatatu, inatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kikanda, kufuatilia matukio ya nyanjani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ili kuchukua hatua zinazohitajika za kukabiliana na mgogoro huo.
-
Reuters: RSF imetia saini hati ya kuunda serikali nyingine nchini Sudan
Feb 23, 2025 23:35Wanasiasa wa Sudan, Al-Hadi Idris na Ibrahim Al-Mirghani, wameliambia shirika la habari la Reuters kwamba kundi la waasi la Rapid Support Forces (RSF) limetia saini mkataba na makundi washirika ya kisiasa na yenye silaha wa kuunda "serikali ya amani na umoja" sambamba na ile ya sasa nchini humo katika maeneo yanayodhibitiwa na kundi hilo.
-
Rais Tshisekedi anapanga kuunda serikali ya umoja wa kitaifa
Feb 23, 2025 23:34Rais wa Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anatazamiwa kuzindua serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo. Tina Salama, msemaji wa Ofisi ya Rais wa Kongo amesema, Rais Tshisekedi ataunda serikali ya umoja wa kitaifa na kufanya mabadiliko ya uongozi katika muungano tawala wa nchi hiyo.
-
Wavuvi 20 wa Kenya wauawa na wanamgambo wa Dassanech mpakani na Ethiopia
Feb 23, 2025 08:56Zaidi ya wavuvi 20 wameuawa katika eneo la mpaka la Todonyang, kaskazini mwa Kenya, pambizoni mwa Ziwa Turkana katika shambulio la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Dassanech kutoka nchi jirani ya Ethiopia.
-
Kutimuliwa wanajeshi wa Ufaransa katika nchi ya sita ya Afrika
Feb 23, 2025 07:34Siku ya Alkhamisi, Februari 20, 2025, wanajeshi wa mkoloni kizee wa Ulaya yaani Ufaransa walitimuliwa katika kambi yao pekee ya kijeshi nchini Ivory Coast.
-
Mafuriko Msumbiji: Maelfu wapoteza makazi huku shule zikifungwa
Feb 23, 2025 04:16Mafuriko makubwa yaliyoiathiri Botswana yamesababisha vifo vya watu saba wakiwemo watoto watatu na kuharibu nyumba za maelfu ya watu baada ya siku kadhaa za mvua kubwa kunyesha kote nchinu humo. Haya yamebainishwa jana na Rais Duma Boko wa nchi hiyo.
-
Karibu wagonjwa 1,200 zaidi wa kipindupindu wameripotiwa katika jimbo la White Nile, Sudan
Feb 23, 2025 04:10Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa kesi 1,197 za ugonjwa wa kipindupindu, vikiwemo vifo 83 vilivyosababishwa na ugonjwa huo vimesajiliwa katika jimbo la White Nile siku mbili zilizopita.