-
Watu 20 wapoteza maisha katika ajali ya ndege Sudan Kusini
Jan 29, 2025 09:13Kwa akali watu 20 wameaga dunia katika ajali ya ndege iliyotokea leo Jumatano nchini Sudan Kusini.
-
Magaidi 16 wa al-Shabaab wauawa katika operesheni ya jeshi la Somalia
Jan 29, 2025 07:07Jeshi la Somalia limetangaza habari ya kuwaua magaidi 16 wa al-Shabaab katika operesheni katika mkoa wa Hiiraan, mashariki mwa nchi, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali.
-
Mambo 15 yapasishwa azimio la Mkutano wa Nishati wa Wakuu wa Nchi za Afrika, 'Mission 300'
Jan 29, 2025 03:52Marais na wakuu wa nchi za Afrika wamekubaliana kuhakikisha wanawekeza zaidi na kushirikiana katika miradi ya pamoja na umeme ili kufikia lengo la kuwafikishia nishati hiyo wananchi milioni 300 ifikapo 2030.
-
Algeria yamwita balozi wa Ufaransa kulalamikia vitendo vya ‘kichokozi’ dhidi ya raia wake katika viwanja vya ndege vya Paris
Jan 29, 2025 03:51Algeria imemwita balozi wa Ufaransa mjini Algiers, Stephane Romatet jana Jumanne, na kuwasilisha malalamiko makali ya kupinga "mwenendo wa kichochezi" wa maafisa wa Ufaransa dhidi ya raia wa Algeria katika viwanja vya ndege mjini Paris.
-
Waandamanaji washambulia ubalozi wa Marekani Kinshasa, waliouawa Goma wapindukia mia moja
Jan 29, 2025 03:51Sambamba na machafuko yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), raia wa nchi hiyo wameshambulia ubalozi wa Marekani na nchi nyingine kadhaa za Magharibi mjini Kinshasa na kuchoma moto baadhi ya ofisa za balozi hizo wakipinga uingiliaji kati wa nchi hizo katika masuala ya ndani ya nchi hiyo.
-
Mwendesha Mashtaka wa ICC ataka kutolewa hati ya kukamatwa wahalifu wa vita katika jimbo la Darfur
Jan 29, 2025 03:51Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ametangaza kwamba ofisi yake itatafuta vibali vya kukamatwa kwa wale wote wanaotuhumiwa kufanya ukatili katika jimbo la Darfur Magharibi mwa Sudan.
-
Maiti zazagaa barabarani, hospitali zaelemewa na majeruhi huku mapigano yakishtadi Goma, DRC
Jan 29, 2025 00:05Mapigano makali yanaendele kati ya wapiganaji wa M23 na wanajeshi wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC katika mji wa Goma mashariki mwa nchi hiyo huku yakiacha maiti nyingi zikiwa zimezagaa mitaani, na hospitali nazo zikielemewa na ongezeko la majeruhi.
-
Wakenya 1,282, Wanauganda 393 na Watanzania 301 wamo kwenye orodha ya watakaotimuliwa Marekani
Jan 28, 2025 23:58Serikali ya Rais mpya wa Marekani Donald Trump imetoa orodha ya wahamiaji wanaotakiwa kuondoka nchini humo huku mpango wa kuwatimua wahamiaji haramu ukianza kushika kasi.
-
Watu 25 wauawa katika mapigano mashariki mwa DRC; M23 wadai kuidhibiti Goma
Jan 28, 2025 05:39Zaidi ya watu 22 wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa wakati wa mapigano kati ya waasi wa M23 na vikosi vya serikali mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
UN yaelezea wasiwasi wake kuhusu kuongezeka ghasia DRC
Jan 27, 2025 23:33Maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wameelezea wasiwasi wao mkubwa kutokana na kuongezeka ghasia na mapigano ya silaha huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).