-
Naibu Rais wa Afrika Kusini: Afrika ijistawishe bila kutegemea Magharibi
Jan 21, 2025 09:22Naibu wa Rais wa Afrika Kusini, Paul Mashatile amesema kuwa, bara la Afrika linapaswa kuhitimisha utegemezi wake kwa madola ya Magharibi.
-
Afisa wa UN na Spika wa Bunge la Libya wajadili uchaguzi wa kitaifa na maridhiano
Jan 21, 2025 07:34Stephanie Koury, naibu mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Libya, jana Jumatatu alikutana na Spika wa Baraza la Wawakilishi lenye makao yake mashariki mwa nchi hiyo na walisisitizia umuhimu wa kuweko mchakato wa kina utakaowezesha kufanyika uchaguzi nchini humo.
-
Raia 16 wa Sudan wauawa katika maandamano Sudan Kusini
Jan 21, 2025 07:32Polisi nchini Sudan Kusini wamesema kuwa raia 16 wa Sudan waliuawa wakati wa maandamano ya wiki iliyopita nchini humo kama sehemu ya malalamiko yaliyotokea baada ya mauaji ya watu wa Sudan Kusini katika jimbo la Al-Jazira nchini Sudan.
-
Polisi Afrika Kusini wamsaka mtuhumiwa wa uchimbaji madini haramu wa Stilfontein
Jan 21, 2025 07:24Jeshi la Polisi la Afrika Kusini (SAPS) limeanzisha msako wa kumsaka kiongozi wa uchimbaji madini kinyume cha sheria anayedaiwa kutoroka baada ya kuibuka tena kutoka kwenye mgodi wa dhahabu wa Stilfontein wa Jimbo la Kaskazini Magharibi mwa Afrika Kusini.
-
Tanzania yaithibitishia WHO kuwa mgonjwa mmoja wa Marburg amegunduliwa nchini humo
Jan 21, 2025 06:07Mtu mmoja ambaye alikuwa akiugua ugonjwa wa Marburg amegunduliwa nchini Tanzania.
-
Sudan: Wanamgambo wa RSF wamekishambulia kituo cha umeme cha mji wa Dongola
Jan 21, 2025 03:41Jeshi la Sudan limewatuhumu wanamgambo wa kikosi cha (RSF) kwa kukishambulia kituo cha umeme kaskazini mwa nchi hiyo na kusababisha kukatika kwa umeme katika mji wa Dongola.
-
Tunisia yatoa wito wa kufikishwa mahakamani maafisa wa Israel kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza
Jan 20, 2025 07:51Tunisia imetangaza kuwa, makubaliano ya kusitisha mapigano huko Gaza hayapaswi kufunika jukumu la kuwafungulia mashtaka na kuwahukumu maafisa wa Kizayuni wa Israel kwa kosa la kufanya uhalifu wa mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
-
OPEC: Mchango wa nishati ya Libya ni muhimu kwa masoko ya kimataifa
Jan 20, 2025 07:40Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi Zinazouza Nje Mafuta kwa Wingi (OPEC) amezungumzia nafasi muhimu ya Libya katika soko la nishati duniani, na kusisitiza kuwa maendeleo nchini humo yana mfungamano muhimu na sekta ya kimataifa ya mafuta.
-
Waislamu Nigeria washerehekea ushindi wa Wapalestina
Jan 20, 2025 04:14Waislamu katika Jimbo la Bauchi, Kaskazini mwa Nigeria, jana Jumapili walisherehekea ushindi wa Wapalestina na Mhimili wa Mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, ambapo kundi la Wazayuni lilisalimu amri mbele ya wanamapambano wa Palestina kwa kukubali mkataba wa kusitisha mapigano.
-
Al Burhan: Makundi yanayoliunga mkono jeshi hayatanyakua mamlaka baada ya vita
Jan 20, 2025 04:00Mkuu wa Baraza la Utawala na Kamanda wa Jeshi la Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, amesema kuwa makundi yanayoliunga mkono jeshi hayatanyakua madaraka baada ya vita vya ndani nchini humo.