-
Rwanda yafunga maelfu ya makanisa ya kiinjili
Dec 22, 2025 07:07Rwanda imefunga zaidi ya makanisa 10,000 ya kiinjilisti kwa kushindwa kufuata sheria ya mwaka 2018 iliyoanzishwa kwa ajili ya kusimamia maeneo ya ibada.
-
Kwa nini Afrika inadai fidia ya utumwa kutoka nchi za Magharibi?
Dec 22, 2025 06:08Afrika imeazimia ipasavyo kulipwa fidia ya kipindi cha utumwa kutoka nchi za Magharibi, na katika suala hili, Rais wa Ghana amechukua jukumu la kudai fidia ya kipindi cha utumwa Wazungu barani Afrika.
-
Viongozi wa Afrika wataka suluhisho la kikanda kwa mgogoro wa DR Congo
Dec 22, 2025 04:00Viongozi wa nchi kadhaa za Afrika siku ya Jumapili walitaka juhudi za kikanda zipewe kipaumbele katika kutatua mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), huku mipango ya kimataifa ikipewa nafasi ya usaidizi.
-
Wanafunzi 130 waliotekwa nyara Nigeria waokolewa
Dec 22, 2025 03:57Serikali ya Nigeria imetangaza kufanikiwa kuwaokoa wanafunzi 130 wa shule waliotekwa na watu wenye silaha kutoka shule ya Kikatoliki mwezi Novemba.
-
AU yamuunga mkono Jenerali Al Burhan na kuwalaani RSF Sudan
Dec 21, 2025 08:05Umoja wa Afrika AU umetangaza kumuunga mkono Jenerali Abdel Fattah al Burhan na serikali yake nchini Sudan na kusisitizia wajibu wa kurejeshwa umoja wa ardhi na utulivu wa nchi hiyo. Pia umetoa mwito wa kufanyika mazungumzo baina ya pande hasimu ili kukomesha vita vya umwagaji damu visivyo na sababu ya maana.
-
Bunge la Algeria laanza kujadili muswada wa kujinaisha ukoloni wa Ufaransa
Dec 21, 2025 05:42Bunge la Algeria jana lilifungua mjadala kuhusu rasimu ya sheria inayotaka kujinaisha utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini humo kati ya mwaka 1830 na 1962.
-
Lavrov: Kuimarishwa usalama ni muhimu kwa ajili ya maendeleo ya Afrika
Dec 21, 2025 04:16Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa kuimarisha amani na usalama barani Afrika ni jambo muhimu ili kuhakikisha ustawi wa bara hilo na maendeleo endelevu, na ni kipengee muhimu katika kudumisha amani duniani.
-
Ufyatuaji risasi Afrika Kusini; watu wenye silaha waua 9 karibu na Johannesburg
Dec 21, 2025 04:13Watu waliokuwa na silaha, usiku wa kuamkia leo, wamefyatua risasi kiholela katika kitongoji kimoja karibu na Johannesburg nchini Afrika Kusini na kuua takriban watu 9 na kujeruhi wengine kadhaa.
-
Benin yamtia mbaroni waziri wa zamani wa ulinzi kwa jaribio la mapinduzi lililoshindwa
Dec 20, 2025 23:08Benin, jana Jumamosi, ilimuweka kizuizini waziri wa zamani wa ulinzi na kiongozi wa upinzani, Candide Azannai, kama sehemu ya uchunguzi kuhusu jaribio la mapinduzi lililoshindwa mapema mwezi huu.
-
Mjumbe wa UN: Hali ya usalama bado ni tete katika mji mkuu wa Libya,Tripoli
Dec 20, 2025 23:06Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya Libya amesema kuwa hali ya usalama huko Tripoli imeboreka kwa kiasi fulani kufuatia mipango mipya ya usalama, hata hivyo ametahadharisha kuwa ukosefu wa usalama unaendelea kushuhudiwa katika mji huo mkuu na katika mikoa ya magharibi mwa Libya.