-
Mashirika ya UN yaonya kuhusu ukatili dhidi ya raia wanaokimbia El Fasher, Sudan
Nov 06, 2025 04:15Mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa yamesema Jumatano kuwa yana wasiwasi mkubwa kufuatia taarifa za kuongezeka kwa ukatili na madhila dhidi ya raia wanaokimbia mji wa El Fasher, Sudan.
-
Mashujaa wa Mau Mau Kenya waishtaki serikali wakitaka fidia ya shilingi bilioni 10
Nov 05, 2025 23:50Waliokuwa wapiganaji wa Mau Mau nchini Kenya kutoka Kaunti ya Meru wameishtaki Serikali, wakitaka iwalipe fidia ya shilingi bilioni 10 kwa vitendo vya ukiukaji wa haki walivyotendewa baada ya nchi hiyo kupata uhuru.
-
Mahakama ya Juu Mauritania yaidhinisha kifungo cha miaka 15 jela alichohukumiwa rais wa zamani
Nov 05, 2025 22:59Rais wa zamani wa Mauritania, Mohamed Ould Abdel Aziz, ameshindwa katika rufaa yake ya mwisho aliyokata ya kupinga kifungo cha miaka 15 jela alichohukumiwa baada ya kupatikana na hatia ya kuhusika na ufisadi alipokuwa madarakani. Mahakama ya Juu ya Mauritania imeidhinisha hukumu hiyo.
-
Kamanda wa RSF ajigamba kuwaua raia 2,000 El Fasher, Sudan; ICC yaanza uchunguzi
Nov 05, 2025 09:05Video za kushtua zimeibuka zikimuonesha kamanda wa kikundi cha waasi wa RSF nchini Sudan akijigamba kwa kuwaua binafsi zaidi ya raia 2,000 wakati wa utekaji wa mji wa El Fasher ulioko Darfur.
-
Sudan: Jamii ya kimataifa ichukue hatua kusitisha utumaji silaha kwa wanamgambo wa RSF
Nov 05, 2025 03:42Sudan imekariri wito wake kwa jamii ya kimataifa ikitaka kufanyika juhudi za kuzuia mtiririko wa silaha kwa wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) na kulitaja kundi hilo kuwa "taasisi ya kigaidi."
-
UN: Askari usalama wa Cameroon wauwa raia 48 katika maandamano ya kupinga uchaguzi wa rais
Nov 05, 2025 03:41Duru za Umoja wa Mataifa zimeripoti kuwa askari usalama wa Cameroon wameuwa raia 48 katika maandamano ya kupinga kuchaguliwa tena Rais Paul Biya, mtawala mzee zaidi duniani.
-
ECOWAS yalaani madai ya Trump kuhusu mauaji ya kimbari dhidi ya Wakristo Nigeria
Nov 05, 2025 02:56Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi, ECOWAS, imekanusha kama ya uongo na yenye hatari madai kwamba makundi yenye misimamo mikali katika eneo hilo yanawalenga watu wa dini fulani au yanafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wakristo.
-
Wasichotaka mkijue; Sudan, nchi ya dhahabu iliyonaswa na wafanyanjama wa kimataifa
Nov 05, 2025 02:34Sudan, ambayo kwa sasa imetumbukia katika kinamasi cha vita vya wenyewe kwa wenyewe, ni nchi yenye nguvu na uwezo mwingi.
-
Waislamu na Wakristo wa Nigeria wapinga vitisho vya Trump
Nov 04, 2025 23:41Waislamu na Wakristo wa Nigeria wamesisitiza kuishi pamoja kwa amani na maelewano na kusema kuwa vitisho vya Rais wa Marekani dhidi ya nchi hiyo havikubaliki.
-
Mjumbe wa UN kuhusu elimu: Watoto milioni 14 nchini Sudan hawaendi shuleni
Nov 04, 2025 23:35Nesmy Manigat, Mwakilishi Mkuu wa Ushirikiano wa Kimataifa kwa Ajili ya Elimu, amesema kwamba Sudan inakabiliwa na "mojawapo ya hali mbaya zaidi duniani," akieleza kuwa takriban watoto milioni 14 hawaendi shuleni, katika mgogoro mkubwa zaidi wa aina yake katika Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini.