-
Pezeshkian: Vita vingeenea Mgharibi mwa Asia kama uchokozi wa Wazayuni usingejibiwa
Jun 28, 2025 04:23Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa vita vya pande zote vingeshuhudiwa katika eneo zima la Magharibi mwa Asia iwapo hujuma ya uchokozi wa Israel ingesalia bila ya jibu.
-
Je, vita vya Israel dhidi ya Iran vilikuwa na sifa zipi maalumu?
Jun 28, 2025 04:13Vita vya siku 12 vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vina sifa maalumu zinazotofautiana na vita vingine vya kieneo.
-
Araghchi: Msamiati wa ‘Kusalimu Amri’ haumo kwenye fasihi ya watu wa Iran
Jun 28, 2025 03:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Abbas Araghchi amesema, kama alivyobainisha Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, hakuna msamiati wa kusalimu amri katika fasihi ya kisiasa na fasihi ya wananchi wa Iran na kwamba wananchi hao wamethibitisha na kulionyesha vizuri hilo katika kipindi cha siku 12.
-
Balozi wa Iran UN: Israel itawajibishwa kwa mauaji ya makusudi ya watoto Wairan
Jun 28, 2025 02:53Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa Amir Saeid Iravani amelaani sera ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuua watoto makusudi katika inavyoanzisha katika kanda ya Asia Magharibi na kusisitiza kuwa utawala huo haramu utawajibishwa kwa jinai zake hizo za kuua watoto wadogo.
-
Ayatullah Khamenei: Utawala wa Kizayuni nusura kusambaratika kabisa kufuatia mapigo makali ya jeshi la Iran
Jun 26, 2025 12:35Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ametoa ujumbe wa tatu kupitia televisheni ya taifa kwa wananchi wa Iran akiwashukuru na kuwapongeza kwa msimao wao wa kutetea na kuunga mkono kwa dhati mfumo wa Mapinduzi ya Kiislamu, hasa baada ya kushambuliwa na utawala haramu wa Israel kwa uungaji mkono na msaada wa moja kwa moja wa Marekani.
-
Baqaei: Iran ina haki ya kustafidi na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani kwa mujibu wa NPT
Jun 26, 2025 12:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameeleza kuwa kwa mujibu wa mkabata wa NPT na kifungu cha 4 cha mkataba huo, Iran ina haki kamili ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani, na imeazimia kudumisha haki hiyo kwa hali yoyote ile.
-
Iran yasisitisha ushirikiano wake na wakala wa IAEA
Jun 25, 2025 06:13Wawakilishi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu wameidhinisha vipengee vikuu na vidogo vya mpango wa kuitaka serikali kusitisha ushirikiano wake na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Baqaei: Shambulio dhidi ya kambi ya Al-Udeid ya Marekani isichukuliwe kama hatua dhidi ya Qatar
Jun 25, 2025 06:08Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Hatua ya Iran ya kulenga kambi ya Wamarekani huko Al-Udeid isichukuliwe kwa vyovyote vile kuwa ni hatua dhidi ya serikali rafiki na ndugu ya Qatar."
-
Araqchi: Iran kamwe haitalegeza kamba kwa haki yake ya kurutubisha madini ya urani
Jun 25, 2025 05:37Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhurei ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kamwe Iran haitalegeza kamba katika haki yake ya kurutubisha madini ya urani.
-
Majasusi watatu wa MOSSAD wanyongwa kwa kupanga njama ya kumuua mtu mashuhuri nchini Iran
Jun 25, 2025 05:34Idara ya Mahakama ya Iran imetangaza habari ya kunyongwa majasusi watatu wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika jela ya Urmia kaskazini magharibi mwa Iran.