-
Je, miradi ya pamoja ya mpakani kati ya Iran na Azerbaijan imeingia katika hatua mpya?
Aug 15, 2025 03:16Katika siku za hivi karibuni, sisitizo la viongozi wa Iran na Azerbaijan la kuharakisha miradi ya pamoja ya mpakani kwa mara nyingine tena limewavutia wachambuzi wa masuala ya kieneo kuhusu uhusiano wa nchi mbili hizi.
-
Human Rights Watch: Shambulio la Israel dhidi ya jela ya Evin, Iran ilikuwa jinai ya kivita
Aug 14, 2025 23:58Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limetoa ripoti na kueleza kwamba mashambulizi yaliyofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel tarehe 2 Julai dhidi ya Jela ya Evin mjini Tehran yalikuwa "kinyume cha sheria" na ni "uhalifu wa wazi wa kivita."
-
Mamilioni ya Waislamu waadhimisha Arubaini ya Imam Hussein AS katika mji mtakatifu wa Karbala
Aug 14, 2025 10:52Mamilioni ya Waislamu kutoka pembe mbalimbali za dunia wamekusanyika katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq kuadhimisha Arubaini ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein (AS), Imam wa tatu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia na mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW).
-
Larijani: Hizbullah ya Lebanon ni chimbuko la heshima na fahari kwa Uislamu
Aug 14, 2025 04:13Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: "Leo Hizbullah nchini Lebanon ni harakati hai na endelevu inayouletea Uislamu heshima na fahari."
-
Laana za kimataifa kwa mashambulizi ya Israel dhidi ya vituo vya dawa na chanjo vya Iran
Aug 14, 2025 00:09Nchi wanachama wa Makubaliano ya Kupiga Marufuku Silaha za Kibiolojia zimepaza sauuti kuunga mkono haki ya Iran ya kutumiaa teknolojia ya kibiolojia kwa malengo ya amani.
-
Dkt. Larijani: Muqawama ni rasilimali ya kitaifa ya Lebanon
Aug 13, 2025 08:40Dkt. Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kuwa, muqawama ni mtaji na rasilimali ya kitaifa la Lebanon.
-
Araqchi: Umewadia wakati wa vikwazo kutambuliwa kama jinai dhidi ya ubinadamu
Aug 13, 2025 08:22Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa: "Wakati umefika kwa vikwazo visivyo vya kibinadamu vilivyowekwa na Marekani na washirika wake kutambuliwa kuwa ni jinai dhidi ya binadamu."
-
Kwa nini uwezo tofauti wa Iran unatoa fursa ya kipekee kwa maendeleo ya nchi za Kiafrika?
Aug 13, 2025 08:19Katika hali ambayo nchi nyingi za Kiafrika zinakabiliwa na changamoto za miundombinu na ukosefu wa teknolojia mpya, Iran imetoa fursa mpya za ushirikiano na ubadilishanaji wa teknolojia kwa kutegemea uwezo wake wa kiufundi, kiuhandisi na kitaalamu.
-
Maafisa wa nyuklia wa Iran: Hakuna kujisalimisha mbele ya mashinikizo; tuko tayari hadi mwisho wa vitisho
Aug 13, 2025 03:48Mkuu wa masuala ya nyuklia wa Iran ameapa kwamba Jamhuri ya Kiislamu itasalia kusimama imara mbele ya matakwa ya kijuba ya madola yenye kiburi duniani kuhusu mpango wake wa nishati ya nyuklia wenye malengo ya kiraia.
-
Larijani awasili Beirut/ Iran daima itakuwa upande wa taifa azizi la Lebanon
Aug 13, 2025 03:47Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran alisema jana jioni mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Beirut, mji mkuu wa Lebanon, kuwa Iran na Lebanon zina ustaarabu wa kina na kuwa zimekuwa na uhusiano wa karibu tangu karne nyingi zilizopita.