-
Ayatullah Khatami: Trump amejiongezea maadui kwa madai ya kubadilisha Ghuba ya Uajemi
May 09, 2025 07:59Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema: "Kwa kudai kubadili jina la Ghuba ya Uajemi, Trump amewageuza Wairani wote wakiwemo wanamapinduzi, wasiokuwa wapinduzi, wapinzani na wasiokuwa wapinzani, kuwa maadui zake, jambo ambalo ni ishara ya upumbavu wake."
-
Araghchi kufanya safari Saudi Arabia na Qatar kwa shughuli za kidiplomasia
May 09, 2025 07:24Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuzuru Saudi Arabia na Qatar Jumamosi ya kesho ikiwa ni sehemuu ya juhudi mpya za kuimarisha uhusiano na majirani wa eneo hili.
-
Kamanda Mkuu wa IRGC: Iran itapiga popote patakapotumika kulenga maslahi yake
May 09, 2025 04:09Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) Meja Jenerali Hossein Salami amesema Iran itapiga mahala popote ambapo adui atapatumia kuishambulia nchi hii.
-
Ndege za Iran zimeimarishwa kwa makombora tuli ya masafa marefu
May 08, 2025 23:38Kamanda wa Jeshi la Anga la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Ndege zote za kivita za Jeshi la Anga zina silaha, vifaa na makombora ya kisasa ya masafa marefu yaliyotengenezwa humu humu nchini."
-
Iran: White House haiwezi kubadilisha ukweli kuhusu Jina la Ghuba ya Uajemi
May 08, 2025 07:36Ujumbe wa Iran katika Umoja wa Mataifa umelaani vikali jaribio lolote linaloweza kufanywa na Marekani kwa ajili ya kubadilisha jina la Ghuba ya Uajemi, na kusisitiza kwamba ukweli wa kihistoria hauwezi kubadilishwa kwa maamuzi ya kisiasa.
-
Araghchi akiwa India: Iran inataka mvutano upungue kwani eneo linahitaji amani
May 08, 2025 07:31Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, amesema kuwa Tehran inazitaka India na Pakistan kujizuia na kuepusha kuongezeka kwa mvutano katika eneo hilo.
-
Iran yakaribisha upatanishi wa Oman uliopelekea US kusitisha mashambulizi dhidi ya Yemen
May 08, 2025 03:36Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amekaribisha taarifa ya Oman kuhusu kusitishwa kwa mashambulizi ya Marekani dhidi ya Yemen, akisema kuwa nchi za eneo hili hazitasahau Muqawama wa watu wa Yemen dhidi ya uvamizi wa kigeni.
-
Araqchi atahadharisha kuhusu ghadhabu ya Wairani ikiwa Trump atabadlisha jina la Ghuba ya Uajemi
May 07, 2025 23:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametahadharisha kuhusu ghadhabu ya Wairani wote baada ya tetesi kwamba Rais Donald Trump wa Marekani ana mpango wa kubadili jina la Ghuba ya Uajemi katika ziara yake nchini Saudi Arabia, wiki ijayo.
-
Baqaei: Iran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mzozo kati ya India na Pakistan
May 07, 2025 22:52Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran ina wasiwasi mkubwa kufuatia kuongezeka mivutano kati ya India na Pakistan na amezitolea wito pande mbili kujizuia kuchukua hatua.
-
Imam Khamenei: Ustaarabu wa Kiislamu ni kinyume cha ustaarabu wa sasa wa kimaada
May 07, 2025 10:35Katika ujumbe wake kwa kongamano la "Miaka 100 wa Kuanzishwa Hauza ya Qum nchini Iran," Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Kazi muhimu zaidi ya Hauza na taasisi ya kielimu ya vyuo vikuu vya kidini, ni kufikisha ujumbe wa wazi na kuweka msingi wa ustaarabu mpya wa Kiislamu."