-
Khatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mazungumzo na Marekani yanaendelea kwa tahadhari
Apr 25, 2025 10:17Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, Hujjatul-Islam Sayyid Mohammad Hassan Abu-Torabi Fard amesisitiza kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani yanafanyika kwa tahadhari na kutoka kwenye nafasi yenye nguvu na heshima.
-
Baqaei: Mashambulizi dhidi ya makazi ya muda ya wakimbizi ni mfano halisi wa uhalifu wa kivita
Apr 25, 2025 09:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali hujuma na vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na Lebanon.
-
Mpango wa nyuklia wa Iran, ajenda ya mazungumzo ya pande nne za Iran, China, Russia na Mkuu wa IAEA
Apr 24, 2025 23:44Wawakilishi wa Iran, China na Russia wamekutana na Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA na kujadili hali ya mpango wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yaonya; Israel inataka 'kuvuruga diplomasia' kupitia hujuma, mauaji ya kigaidi
Apr 24, 2025 07:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel na makundi fulani yenye maslahi maalumu huenda yakajaribu "kuvuruga diplomasia" kupitia vitendo vya hujuma na mauaji ya kigaidi wakati huu ambapo Jamhuri ya Kiislamu na Marekani zinafanya mazungumzo ya kufikia makubaliano kuhusu shughuli za nyuklia za taifa hili.
-
"Msimamo wa ujasiri wa Papa Francis dhidi ya dhulma hautasahaulika"
Apr 24, 2025 07:08Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Masuala ya Kisiasa wa Iran amesema, mchango wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani aliyeaga dunia hivi karibuni, Papa Francis ambaye daima alikuwa mstari wa mbele kusaidia wanyonge na wahanga wa unyanyasaji na ukatili, na vile vile misimamo yake ya kijasiri dhidi ya ukandamizaji, dhulma, ubaguzi na unyanyasaji kamwe haitasahaulika.
-
China yaitaka Marekani iwe "mkweli" katika mazungumzo na Iran
Apr 24, 2025 03:59Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya China ameitaka Marekani kuwa na ukweli wa kisiasa katika mazungumzo yake na Iran.
-
Iran: Vikwazo vipya ni ishara ya 'kutokuwa na nia njema' Marekani katika mazungumzo
Apr 24, 2025 00:44Iran imelaani vikali vikwazo vipya vya "haramu" ilivyowekewa na Marekani ikisisitiza kuwa vinakinzana na madai ya Washington ya kuwa na nia ya dhati ya kufanya mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu
-
Uzinduzi wa Mafunzo ya Akili Mnemba kwa wanafunzi milioni moja Iran
Apr 23, 2025 07:31Msaidizi wa Naibu wa Rais wa Iran katika Masuala ya Sayansi ametangaza rasmi uzinduzi wa mpango wa kufundisha Akili Mnemba (Artificial Intelligence) kwa wanafunzi milioni moja nchini humo.
-
Umuhimu wa ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini China
Apr 23, 2025 06:33Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amewasili Beijing leo (Jumatano), Aprili 23, kwa ajili ya kukutana na kufanya mashauriano na viongozi wa China.
-
Araghchi: China na Russia ni washirika wa kimkakati wa Iran
Apr 23, 2025 04:11Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mara baada ya kuwasili nchini China kwamba, madhumuni ya ziara hiyo ni kuwasilisha ujumbe wa Rais wa Iran kwa maafisa wa China.