-
Pezeshkian amwambia Erdogan: Unyakuzi wa ardhi ya Syria haukubaliki kwa njia yoyote
Dec 20, 2024 04:29Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza ulazima wa kuhifadhiwa ardhi yote ya Syria. Rais Masoud Pezeshkian ameyasema hayo katika mazungumzo yake na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki pambizoni mwa mkutano wa viongozi wa nchi wanachama katika D-8 uliofanyika jana mjini Cairo huko Misri.
-
Mshauri wa Rais wa Iran: Tehran na Cairo zina azma ya kuanzisha tena uhusiano
Dec 19, 2024 23:24Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Rais wa Iran amesema kuwa kuna matumaini kwamba katika siku zijazo kutafunguliwa tena balozi za Iran na Misri katika miji mikuu ya pande hizo mbili kwa kuzingitia hatua zilizochukuliwa hadi sasa.
-
Rais Pezeshkian ahimiza umoja kati ya Waislamu ili kukabiliana na uchokozi wa Israel
Dec 19, 2024 08:49Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesisitiza ulazima wa kuwepo umoja kati ya mataifa ya Kiislamu, na kutilia mkazo udharura wa kuchukuliwa hatua za pamoja ili kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Israel.
-
Rais wa Iran: Kuundwa mfuko wa pamoja wa uwekezaji ni hatua ya kufikia malengo ya D8
Dec 19, 2024 07:45Rais wa Jamhuri ya Iran amekutaja kuanzishwa Mfuko wa Maendeleo wa kundi la D8 kwa ajili ya uwekezaji wa pamoja wa nchi za Kiislamu wanachama kuwa ni hatua madhubuti ya kupanua ushirikiano wa nchi wanachama.
-
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uturuki watilia mkazo kulinda usalama wa kikanda
Dec 19, 2024 07:40Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Uturuki wamesisitiza udharura wa kushikamana nchi kubwa za Kiislamu hususan wanachama wa Jumuiya ya D8 ili kusitisha mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kulinda usalama wa eneo hili.
-
Iran: Ni aibu kwamba ulimwengu ‘umeshindwa' kuzuia jinai za Israel
Dec 19, 2024 03:33Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi amesikitishwa jamii ya kimataifa kushindwa kusimamisha jinai za utawala haramu wa Israel huku Marekani ikiuunga mkono utawala huo.
-
Rais Pezeshkian: Uhusiano mzuri baina ya nchi za Kiislamu utazima njama za maadui
Dec 19, 2024 00:13Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema "kadiri tutavyoweza kuboresha uhusiano wetu na nchi za Kiislamu ndivyo tutakavyoweza zaidi kuzima njama za maadui dhidi yetu".
-
Marekani na Ujerumani, washirika wa mauaji ya kimbari yanayofanywa na Wazayuni Gaza
Dec 18, 2024 23:38Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ameashiria sehemu ya maelezo yaliyotolewa na Ben Saul, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa, kwamba Ujerumani na Marekani zinachangia asilimia 99 ya silaha inazopatiwa Israel na akabainisha kwamba nchi hizo mbili ni washirika wa mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais Pezeshkian aelekea Cairo kwa ajili ya mkutano wa D8
Dec 18, 2024 10:04Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian ameelekea Cairo, mji mkuu wa Misri, kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 11 wa nchi nane zinazoendelea za Kiislamu zinazojulikana kwa jina la D8.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aelekea Misri kushiriki kikao cha D-8
Dec 17, 2024 23:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameelekea mjini Cairo Misri kwa ajili ya kushiriki kwenye kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa kundi la D-8 la nchi za Kiislamu zinazostawi.