-
Kiongozi wa Mapinduzi: Wazayuni si lolote si chochote kuweza kuisababishia madhara makubwa Hizbullah
Sep 28, 2024 07:24Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuwa, watenda jinai wa Kizayuni wajue kwamba wao si lolote kuweza kuusababishia madhara makubwa muundo imara wa Hizbullah ya Lebanon.
-
Iran: Marekani ni muungaji mkono mkuu na mshirika wa jinai za Israel
Sep 27, 2024 10:13Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, Marekani ndio mshirika muhimu zaidi katika jinai za kivita za utawala ghasibu wa Israel katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina na jinai zinazoendelea dhidi ya taifa la Lebanon.
-
Ayatullah Khatami: Kuundwe asasi ya kweli ya haki za binadamu kuchunguza jinai za utawala wa Kizayuni
Sep 27, 2024 09:47Khatibu wa Swala ya Ijumaa mjini Tehran amesisitiza udharura wa kuundwa taasisi ya kweli ya haki za binadamu kwa ajili ya kuchunguza jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na katika maeneo mengine ya Palestina.
-
Sisitizo la Pezeshkian la haja ya kuondolewa vikwazo vya upande mmoja dhidi ya Iran
Sep 27, 2024 08:28Moja ya iliyokuwa mada muhimu katika hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, ilikuwa ni ulazima wa kuondolewa vikwazo vya kidhalimu vya Marekani na kujiweka mbali na mtazamo wenye mwelekeo wa vitisho katika maingiliano na mashirikiano ya kimataifa.
-
Iran: Usalama na amani ya Lebanon ni muhimu sana kwetu
Sep 27, 2024 03:18Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aemsema kuwa, ni jambo lililo wazi kabisa kwamba Jamhuri ya Kiislamu haiwezi kukaa kimya mbele ya vita vikubwa na vya pande zetu nchini Lebanon.
-
Rais wa Iran: Nchi za Kiislamu zikate uhusiano wa kiuchumi na Israel
Sep 26, 2024 08:27Rais wa Iran amesema, kama nchi za Kiislamu zitakata uhusiano wa kiuchumi na utawala wa Israel unaotekeleza mauaji ya kimbari, utawala huo unaouwa watoto hautaweza tena kutenda jinai na uvamizi.
-
Mambo yanayofanana katika vita vya miaka 8 vya kulazimishwa na vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza kwa mtazamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
Sep 26, 2024 08:25Siku ya Jumatano asubuhi, kundi la maveterani wa vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran na wanaharakati wa jihadi na muqawama lilikutana na Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini, katika siku ya tano ya Wiki ya Kujitetea Kutakatifu.
-
Rais wa Iran ahitimisha safari yake ya siku tatu ya mazungumzo ya kidiplomasia mjini New York, UN
Sep 26, 2024 03:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ambaye alisafiri kwenda mjini New York kushiriki katika kikao cha 79 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA), ameondoka mjini humo usiku wa kuamkia leo kurejea Tehran baada ya siku tatu za mikutano na mashauriano ya kina ya kidiplomasia aliyofanya huko.
-
Iran: Israel inalenga kuibua vita kamili katika eneo, haistahili uanachama wa Umoja wa Mataifa
Sep 26, 2024 01:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ameonya kwamba utawala wa Israel unalenga kuzusha "vita vikali" katika eneo la Asia Magharibi, akisema utawala huo "haustahiki" kuwa mwanachama wa Umoja wa Mataifa kutokana na chokochoko zake mbaya.
-
Iran: Marekani inataka kushadidisha taharuki katika eneo
Sep 26, 2024 00:29Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Marekani pamoja na Israel zinafuatilia kuyumbisha uthabiti na usalama wa eneo la Magharibi mwa Asia, na kupanua mvutano na mgogoro katika eneo hili.