-
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Taasisi za kimataifa ni washirika katika jinai za utawala wa Kizayuni
Aug 11, 2024 07:57Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taasisi za kimataifa zinashiriki katika jinai za utawala wa Kizayuni.
-
Iran: Hatutaruhusu Israel ichochee moto wa vita Asia Magharibi
Aug 11, 2024 04:05Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu inafanya hima kuzuia utawala wa Kizayuni wa Israel utimize ndoto yake ya kuwasha na kuchochea moto wa vita vya pande zote katika eneo la Asia Magharibi.
-
Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu
Aug 11, 2024 04:03Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imedhamiria kujibu mapigo kwa Israel kufuatia mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS hapa Tehran akisisitiza kuwa, utumiaji wa nguvu na mabavu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Uzayuni.
-
Rais wa Iran ataka dunia kulinda amani, kuzuia jinai za Israel dhidi ya ubinadamu
Aug 11, 2024 02:16Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Masoud Pezeshkian amesema mashirika ya kimataifa hususan Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lazima yatimize wajibu wao wa kulinda amani na usalama wa kieneo na dunia na kuzuia jinai dhidi ya binadamu zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran yalaanii vikali jinai mpya za utawala wa Kizayuni kwenye Ukanda wa Ghaza
Aug 11, 2024 02:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali jinai nyingine ya kutisha iliyofanywa na Israel katika shule moja kwenye kambi ya wakimbizi wa Palestina na amelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za haraka za kuudhibiti utawala katili wa Kizayuni.
-
Iran: Tumeshaandaa mazingira ya kutoa jibu kali dhidi ya Israel
Aug 10, 2024 10:13Mshauri wa masuala ya kisiasa wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema mazingira yameshaandaliwa kwa ajili ya Iran kutoa jibu kali na la kuumiza dhidi ya Israel, kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kumuua shahidi Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS.
-
Iran yakadhibisha madai ya kutaka kuingilia uchaguzi wa Marekani
Aug 10, 2024 07:42Ofisi ya uwakilishi wa kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imepuuzilia mbali madai kuwa Jamhuri ya Kiislamu inakula njama ya kuathiri matokeo ya uchaguzi wa rais wa Marekani utakaofanyika baadaye mwaka huu.
-
Kipaumbele cha Iran ni usitishaji vita huko Gaza, utawala wa Israel utatiwa adabu
Aug 10, 2024 07:06Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu katika Umoja wa Mataifa ameeleza kuwa, haki ya kujilinda kuhusiana na mauaji ya Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas mjini Tehran haina uhusiano wowote na usitishaji vita huko Gaza na kusema kuwa, usitishaji vita katika eneo la Magharibi mwa Asia ni kipaumbele cha Iran.
-
Iran: Usitishaji vita Ghaza hauna uhusiano wowote na haki yetu ya kujibu mapigo kwa ugaidi wa Israel
Aug 09, 2024 23:59Ofisi ya uwakilishi wa kudumu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imesema, haki ya Jamhuri ya Kiislamu ya kulipiza kisasi dhidi ya ugaidi wa Israel ndani ya Iran haina uhusiano wowote na mazungumzo ya kusitisha mapigano yanayoendelea katika Ukanda wa Ghaza.
-
Kan'ani: Kama serikali za Kiislamu zingeiunga mkono Palestina kivitendo, watu wa Gaza wasingechinjwa
Aug 09, 2024 23:04Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa kuzembea kwa (baadhi) serikali za Kiislamu katika kuitetea Palestina na kusisitiza kuwa, lau serikali za Kiislamu zingeiunga mkono kivitendo Palestina, watu wa Gaza wasingechinjwa namna hii