-
Iran: Marekani ilikuwa na taarifa kuhusu Operesheni ya Ahadi ya Kweli ya kuutia adabu utawala wa Israel
Apr 18, 2024 04:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu iliikuwa imeshaitaarifu serikali ya Marekani kabla ya kutekeleza Operesheni ya Ahadi ya Kweli ya kuutia adabu utawala wa Israel mfanyamauaji ya kimbari.
-
Iran yapinga hukumu ya mahakama ya Argentina kuhusu mashambulizi ya mabomu
Apr 18, 2024 01:12Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Nasser Kanani, ametupilia mbali uamuzi wa mahakama ya Argentina unaoilaumu Iran kwa mashambulizi mawili ya mabomu nchini humo katika muongo wa 90, na kuyataja madai katika hukumu hiyo kuwa yasiyo na ushahidi na yenye msukumo wa kisiasa.
-
Vikwazo vipya vya Marekani; muendelezo wa sera iliyofeli dhidi ya Iran
Apr 17, 2024 23:03Kufuatia kushindwa utawala wa Kizayuni na Marekani katika kukabiliana na mashambulizi ya kulipiza kisasi ya ndege zisizo na rubani na makombora ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel), Washington kwa mara nyingine inajaribu kuiwekea Iran vikwazo vipya vya silaha.
-
Kujitetea kwerevu kwa Iran kwa ajili ya Gaza
Apr 17, 2024 08:11Hatua ya Iran kujitetea kihalali dhidi ya shambulio la kichokozi la utawala wa Kizayuni katika ubalozi mdogo wake nchini Syria, ambayo ilifanyika kwa utaratibu wa hali ya juu na kupitia silaha tofauti za mashambulio, imekuwa na athari na matokeo ya kieneo na kimataifa angalau imepelekea wakaazi wa Gaza kupata usiku mmoja wa amani na utulivu.
-
Rais Raisi: Operesheni ya "Ahadi ya Kweli" ilikuwa hatua ya kiwango maalumu na ya kuwatia adabu tu Wazayuni
Apr 17, 2024 07:41Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Operesheni ya Ahadi ya Kweli ilikuwa hatua ya kiwango maalumu na ya kuutia adabu tu utawala wa Kizayuni na akasisitiza kwamba, endapo utawala huo utafanya uchokozi mdogo kabisa dhidi ya ardhi ya Iran utakabiliwa na jibu kali zaidi na la nguvu kubwa zaidi.
-
Iran iliwasiliana na nchi za eneo katika kutekeleza Operesheni ya Ahadi ya Kweli dhidi ya Israel
Apr 17, 2024 07:19Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema: Iran ilikuwa ikiwasiliana na nchi za eneo katika mchakato wa kutoa jibu kwa utawala wa Kizayuni na utekelezaji wa Operesheni ya Ahadi ya Kweli.
-
Ebrahim Raisi: Wazayuni wataelewa maana halisi ya majibu ya Iran
Apr 17, 2024 03:18Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Israel itafanya kosa jingine lolote dhidi ya Iran, basi Wazayuni na waungaji mkono wao wataelewa maana halisi ya majibu ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Amir-Abdollahian: Mgogoro wa Asia Magharibi umesababishwa na mashambulizi ya Israel
Apr 17, 2024 03:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan na kusisitiza kuwa, mgogoro uliopo katika eneo la Asia Magharibi hivi sasa umesababishwa na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni kwenye Ukanda wa Ghaza.
-
'Operesheni ya Ahadi ya Ukweli' ya Iran imesambaratisha dhana potofu ya kutoshindwa Israel
Apr 16, 2024 23:58Kamanda wa Kikosi cha Nchi Kavu cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Brigedia Jenerali Kioumars Haydari amesema operesheni ya kulipiza kisasi ya Iran dhidi ya utawala haramu wa Israel imeondoa zaidi dhana potofu kwamba utawala huo khabithi na muuaji watoto hauwezi kushindwa.
-
Grossi asisitiza tena kutokuwepo shughuli za kijeshi za nyuklia nchini Iran
Apr 16, 2024 22:58Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesisitiza kuwa, hakuna nyaraka zozote zinazothibitisha utengenezaji wa silaha za nyuklia nchini Iran na kuwa, mivutano ya hivi sasa haijavuruga mchakato wa ufuatiliaji wa wakala huo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.