-
Ebrahim Raisi: Hatua yoyote dhidi ya Iran itapata majibu makali
Apr 16, 2024 07:19Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, hatua yoyote hata ndogo kiasi gani itakayochukuliwa dhidi ya manufaa ya Iran, bila ya shaka yoyote itapata majibu makali na ya kuumiza kwa wote watakaohusika na hatua hiyo.
-
Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu
Apr 16, 2024 07:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaamini kwamba usalama na utulivu wa nchi za eneo hili zima ni muhimu sana kwake, bali ni sawa kabisa na usalama wake yenyewe na haitoruhusu utawala wa Kizayuni kuhatarisha usalama wa eneo hili kwa chokochoko zake.
-
Abdollahian amwambia Guterres: Hatukuwa na njia nyingine isipokuwa kuiadhibu Israel
Apr 16, 2024 03:38Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, operesheni ya jeshi la Iran dhidi ya maeneo ya kijeshi ya utawala ghasibu wa Israel imefanyika ndani ya fremu ya kujilinda na kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
-
Tehran yaitaka UN ilaani shambulio la Israel kwenye ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus
Apr 15, 2024 22:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lina wajibu wa kulaani shambulio la kigaidi lililofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye ubalozi mdogo wa Iran mjini Damascus, Syria.
-
Amir Abdollahian: Israel ikiendeleza chochoko itapewa kichapo kikubwa zaidi
Apr 15, 2024 10:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa uungaji mkono wa Ujerumani kwa utawala wa Kizayuni wa Israel na kusema kuwa, iwapo utawala wa Israel unataka kuendelea na chokochoko zake, majibu yake yatakuwa ya haraka na makubwa zaidi.
-
PressTV: Makombora yote ya hypersonic yaliyotumiwa na Iran dhidi ya Israel yalilenga shabaha + Video
Apr 15, 2024 10:15Makombora yote ya hypersonic yaliyotumiwa katika mashambulizi ya Iran ya kuiadhibu Israel yamepiga malengo yaliyokusudiwa baada ya kukwepa mifumo ya ulinzi ya anga ya utawala huo harami na washirika wake.
-
Onyo la Iran kwa Marekani na Magharibi kuhusu madhara yatakayozipata zikiiunga mkono Israel
Apr 15, 2024 08:32Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeionya na kuitahadharisha Marekani na nchi za Magharibi juu ya kuuunga mkono kijeshi utawala wa Kizayuni na kufanya chokochoko dhidi ya Iran na kutangaza kwamba, iwapo nchi hizo zitaingilia kati katika kuuunga mkono utawala wa Kizayuni, vituo vyao vyote na maeneo yote ya maslahi yao yatashambuliwa na vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Amir Abdollahian: Iran haikuwa na budi ila kuuadhibu utawala wa Kizayuni ndani ya fremu ya kujilinda halali
Apr 15, 2024 04:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haikuwa na budi ila kuutia adabu utawala wa Kizayuni katika fremu ya kujilinda halali kufuatia Umoja wa Mataifa kunyamaza kimya na kushindwa kuchukua hatua za kidplomasia huku Baraza la Usalama la umoja huo likishindwa hata kutoa tamko la kulaani shambulio la utawala wa Israel katika ubalozi mdogo wa Iran huko Syria.
-
Shehena ya mbolea ya kemikali iliyotengenezwa na utawala wa Kizayuni yakamatwa kaskazini magharibi mwa Iran
Apr 15, 2024 04:29idara ya Forodha ya Iran imetangaza kuwa imezuia shehena ya mbolea ya kemikali iliyotengenezwa katiika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) iliyokuwa ikisafirishwa huko kaskazini magharibi mwa Iran.
-
Iran yaionya tena Marekani dhidi ya kuchukua hatua za kijeshi
Apr 15, 2024 01:06Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa ameionya Marekani kuhusu kuanzisha hatua za kijeshi dhidi ya Iran baada ya operesheni yake ya kisheria ya hivi karibuni ya kulipiza kisasi dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, mshirika mkuu wa kieneo wa Washington.