-
Ebrahim Raisi: Kadhia kuu ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Palestina na ukombozi wa Quds
Jan 31, 2024 10:06Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kadhia kuu nambari moja ya Ulimwengu wa Kiislamu ni Palestina na ukombozi wa Quds Tukufu, Kibla cha Kwanza cha Waislamu, kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mapinduzi ya Kiislamu na kurejeshwa utambulisho wa Kiislamu wa wanawake wa Kiirani
Jan 31, 2024 10:03Hakuna shaka kuwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni moja ya mapinduzi yaliyoongozwa na kusimamiwa kwa wingi na wananchi wenyewe duniani.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu azuru Haram ya Imam Khomeini (MA) na makaburi ya Mashahidi
Jan 31, 2024 03:54Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo amezuru Haram tukufu ya Imam Khomeini (MA) na makaburi ya Mashahidi ya Behesht Zahraa sambamba na kuanza maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Ofisi ya Iran UN: Shambulio lolote litaloilenga Iran au raia wake litakabiliwa na jibu kali
Jan 31, 2024 03:35Ofisi ya uwakilishi wa Iran katika Umoja wa Mataifa imekanusha habari kwamba Marekani imetuma salamu kadhaa kwa Iran katika muda wa siku mbili zilizopita na hivyo imetangaza kwamba shambulio lolote litakalofanywa dhidi ya ardhi ya Iran, maslahi yake, au raia wake nje ya mipaka litakabiliwa na jibu kali na madhubuti.
-
Iran: US inajua ni 'suluhisho la kisiasa' tu ndilo linaloweza kukomesha mauaji ya kimbari ya Israel Gaza
Jan 30, 2024 23:15Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, Marekani inajua vyema kwamba ni suluhisho la kisiasa pekee ndilo linaloweza kukomesha mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza na kumaliza mgogoro unaoikumba Asia Magharibi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu abainisha wajibu wa serikali na sekta binafsi katika maendeleo ya kiuchumi
Jan 30, 2024 08:22Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja himaya ya serikali hususan kuondoa vizuizi katika anga ya biashara na shughuli za sekta binafsi kuwa ni mambo mawili muhimu na yanayoandaa mazingira bora na kupatikana maendeleo makubwa ya nchi.
-
Amir Abdollahian: Iran na Pakistan zimekubaliana kupanua ushirikiano wa kupambana na ugaidi
Jan 30, 2024 07:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Tehran na Islamabad zimekubaliana kupanua ushirikiano kwa ajili ya kupambana na ugaidi.
-
Iran yapinga madai ya Marekani, yasema haiwajibiki kwa vitendo vya kundi lolote katika eneo
Jan 29, 2024 23:11Balozi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha vikali tuhuma zinazotolewa na Marekani kuhusu kuhusika Tehran katika oparesheni dhidi ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu atembelea maonyesho ya uwezo wa uzalishaji wa ndani
Jan 29, 2024 10:00Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, ametembelea maonyesho ya uwezo wa uzalishaji wa ndani ya Iran ambayo yamefanyika katika Hosseinieh ya Imam Khomeini (MA) leo asubuhi (Jumatatu).
-
Iran yasema haina uhusiano wowote na mashambulizi dhidi ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi
Jan 29, 2024 09:32Ujumbe wa Iran katika Umoja wa Mataifa unasema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haina uhusiano wowote na mashambulizi dhidi ya vikosi vya Marekani katika eneo la Asia Magharibi na kwamba mashambulizi hayo yanahusiana na mzozo kati ya makundi ya muqawama (mapambano ya Kiisalmu) na jeshi la Marekani.