uncategorised
  • Tarehe 12 Bahman, kumbukumbu ya kurejea Iran Imam Khomeini; kuanza Alfajiri Kumi

    Tarehe 12 Bahman, kumbukumbu ya kurejea Iran Imam Khomeini; kuanza Alfajiri Kumi

    Jan 31, 2024 16:36

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Wasikilizaji wapenzi, Alkhamisi ya tarehe Mosi Februari wiki hii inasadifiana na tarehe 12 Bahman ambayo ni kumbukumbu ya moja ya matukio makubwa katika historia ya zama hizi, tukio la tarehe 12 Bahman 1357 kwa mujibu wa kalenda ya Hijria Shamsia iliyosadifiana na tarehe Mosi Februari 1979.

  • Uzayuni wa Kikristo na Israel

    Uzayuni wa Kikristo na Israel

    Jan 27, 2024 09:00

    Makala yetu ya wiki hii inahusu nafasi ya Uzayuni wa Kikristo katika kuendeleza vita vya Gaza na kuzuia amani.

  • Kipindi maalumu cha siku ya kuzaliwa Imam Ali AS

    Kipindi maalumu cha siku ya kuzaliwa Imam Ali AS

    Jan 24, 2024 03:13

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Tarehe 13 Rajab mwaka wa 30 Amul Fil, kulitokea tukio kubwa na la kushangaza ambalo lilikuwa halijawahi kutokea na halitatokea tena katika historia ya mwanadamu. Hii ilikuwa tarehe ya kuzaliwa Imam Ali (as) katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu, al-Kaaba.

  • Kesi ya Afrika Kusini dhidi ya uhalifu wa Israel huko Gaza katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Kesi ya Afrika Kusini dhidi ya uhalifu wa Israel huko Gaza katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki

    Jan 18, 2024 12:08

    Makaka yetu wiki hii itaangazia mashtaka yaliyowasilishwa na Afrika Kusini dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, (IJC) kwa tuhuma za kufanya uhalifu wa kivita na mauaji ya kimbari dhidi ya watu wa Gaza huko Palestina.

  • Krismasi 2024 na Zawadi za Damu

    Krismasi 2024 na Zawadi za Damu

    Jan 10, 2024 10:29

    Mwaka huu mpya wa 2024 ulianza tofauti na miaka yote iliyopita. Katika ukumbusho wa kuzaliwa Nabii Isa Masih, mji wa Bait Laham (Bethlehem), mahali alikozaliwa Mtume huyo wa Mungu, uligubikwa na kimya na hali ya huzuni na majonzi, badala ya sherehe na shamrashamra.

  • Mabomu ya Marekani yanavyoua watoto Ukanda wa Gaza

    Mabomu ya Marekani yanavyoua watoto Ukanda wa Gaza

    Jan 03, 2024 11:37

    Baada ya kupita miezi mitatu ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Ukanda wa Gaza, eneo hilo sasa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la watoto kuwahi kushuhudiwa duniani.

  • Kumbukumbu ya kuuawa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Kumbukumbu ya kuuawa Shahidi Luteni Jenerali Qassem Soleimani

    Jan 02, 2024 16:45

    Hamjambo na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu ya kukumbuka kuuawa shahidi Kamanda wa Kiislamu, Haj Qassem Soleimani, fahari na kinara wa Iran katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Daesh (ISIS). Kamanda huyu shujaa aliuawa shahidi katika shambulio la kikatili na kigaidi la ndege za kivita za Marekani huko Iraq.

  • Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)

    Majina na Lakabu za Bibi Faat'imatu-Zahraa (SalamuLlahi Alayhaa)

    Jan 01, 2024 04:08

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Radio Tehran mpopote pale mlipo wakati huu. Mnamo tarehe 20 Mfunguo Tisa, Jumada-Thani, mwaka wa tano kutokea Kubaathiwa Bwana Mtume, uliosadifiana na mwaka 615 Miladia, nyumba ya Nabii Muhammad (SAW) Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na mkewe Bibi Khadija katika mji wa Makka, iliangazwa na nuru ya kuzaliwa mwana mtukufu. Mwenyezi Mungu aliwabariki watukufu hao wawili binti ambaye, alikuja kuendeleza kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume SAW.

  • Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Dec 28, 2023 09:31

    Karibuni wasikilizaji wapendwa wa Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran katika kipindi chetu cha makala ya wiki ambapo tutatupia jicho ongezeko la watumiaji wa intaneti duniani mwaka 2023.