-
Israel yaua zaidi ya watu 300 wa Gaza ndani ya masaa 48
Jul 04, 2025 03:43Ofisi ya Vyombo vya Habari vya Serikali ya Gaza inaripoti kuwa wanajeshi wa Israel wamewaua shahidi zaidi ya Wapalestina 300 katika muda wa saa 48 zilizopita, ambapo Israel ilifanya mauaji ya kimbari 26.
-
Afisa wa Israel: Kujenga upya uharibifu uliotokana na mashambulio ya Iran kutachukua miaka
Jul 04, 2025 03:41Huku vyombo vya habari vya Israel vikifichua kidogo kidogo kiwango cha uharibifu uliosababishwa na jibu la makombora ya Iran, maafisa wanakiri kwamba eneo la Tel Aviv limepata uharibifu mkubwa wa kimuundo ambao utachukua miaka kukarabatiwa.
-
Al-Houthi: Naukubali mwenendo wa Iran dhidi ya adui
Jul 03, 2025 23:43Kiongozi wa harakati ya Ansarullah ya Yemen, Sayyid Abdul Malik Badruddin al-Houthi, amezungumzia vita vya siku 12 vilivyoanzishwa na utawala wa Kizayuni wa Israel na washirika wake dhidi ya Iran na kusisisitiza kuwa "mfano wa Iran" umeonyesha kuwa nguvu ni matokeo ya muongozo wa Mwenyezi Mungu, uamuzi sahihi na ustahamilivu.
-
Francesca Albanese: Makampuni kadhaa ya kimataifa yanahusika katika mauaji ya kimbari ya Gaza
Jul 03, 2025 09:06Ripota Maalumu wa hali ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema kuwa, makampuni kadhaa ya kimataifa yanahusika katika mauaji ya kimbari ya Gaza.
-
WHO: Mfumo wa afya Gaza unakabiliwa na hatari ya kusimama kikamilifu
Jul 03, 2025 08:34Shirika la Afya Duniani (WHO) limeonya kuwa, mfumo wa afya katika Ukanda wa Gaza unakabiliwa na hatari ya kusimama kikamilifu kutokana na uhaba wa nishati, kwani hakuna shehena ya mafuta iliyoingiakatika ukanda huo kwa zaidi ya siku miezi mitatu sasa.
-
Amnesty International: Israel inatumia njaa kama silaha ya vita
Jul 03, 2025 08:33Shirika la Mpango wa Chakula Duniani na Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International yameonya kuhusu hali mbaya ya wakazi wa Ukanda wa Gaza na kubainisha kwamba, utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukitumia njaa kama wenzo na silaha ya kivita.
-
Sheikh Issa Qassim: Kumtishia Ayatullah Khamenei ni kuuvunjia heshima Umma mzima wa Kiislamu
Jul 03, 2025 04:27Kiongozi wa Waislamu wa Madhehebu ya Shia wa nchini Bahrain amelaani vikali kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kumvunjia heshima na kumtishia Ayatullahil udhma Sayyid Ali Khamenei Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Sheikh Naim Qassim: Israel ni tishio la kistratejia kwa usalama wa eneo na dunia; Hizbullah haitaweka chini silaha
Jul 03, 2025 04:19Sheikh Naim Qassem, kiongozi wa harakati ya muqawama ya Lebanon Hizbullah ameeleza kuwa Israel si tu kuwa inaikalia kwa mabavu Palestina bali ni tishio la kimkakati kwa Lebanon, Misri, Syria, Jordan, na ni tishio pia kwa amani na usalama wa kanda hii na dunia nzima kwa ujumla.
-
Askari 20 wa Kizayuni waaangamizwa katika muda wa mwezi mmoja pekee
Jul 03, 2025 01:00Gazeti la Kizayuni la Yediot Aharonot limeandika katika ripoti yake kuwa: Mwezi uliopita wa Juni Israel imeshuhudiwa kuawa idadi kubwa ya wanajeshi wake huko Gaza mwaka huu.
-
Makumi ya wafanyakazi wa huduma za uokoaji na raia wauawa shahidi katika mashambulizi mtawalia ya Israel huko Gaza
Jul 03, 2025 00:31Duru za kitiba na za ndani ya Ukanda wa Gaza zimetangaza kuwa jeshi la utawala wa Kizayuni jana alasiri lilitekeleza mashambulizi mapya katika maeneo yenye idadi kubwa ya watu ambapo wakimbizi wa Kipalestina walikuwa wamepata hifadhi na kuuwa makumi ya watu.