-
Muqawama mpya wa Syria waanza rasmi, washambulia jeshi la Israel
Feb 01, 2025 23:22Kundi moja la Muqawama la Syria limetoa taarifa muhimu ya kijeshi kuhusiana na shambulio la asubuhi ya jana Jumamosi dhidi ya wanajeshi wa Israel katika mashamba ya Quneitra kusini mwa Syria na kutangaza kuanza rasmi Muqawama wa kukomboa ardhi za nchi hiyo zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Hamas: Tangazo la Marekani la kuwaondoa wakazi wa Gaza ni ushirikiano katika uhalifu
Feb 01, 2025 09:27Sami Abu Zuhri, kiongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas), amesema kuwa tangazo la mara kwa mara la Marekani la kuwatimua wakazi wa Ukanda wa Gaza katika eneo hilo kwa kisingizio cha kulijenga upya ni kielelezo cha kushiriki Washington katika jinai za utawala uo, baada ya Israel kufanya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza kwa zaidi ya miezi 15.
-
Hamas yawaachia huru mateka 3 wa Israel, mkabala wa Wapalestina 183
Feb 01, 2025 04:28Utawala wa Kizayuni wa Israel baadaye leo unatazamiwa kuwaachia huru mateka 183 wa Kipalestina, mkabala wa kuachiliwa Wazayuni watatu, katika awamu ya nne ya mabadilishano ya mateka katika Ukanda wa Gaza.
-
Ansarullah: Muhammad al Dhaif alisabilia maisha yake kwa ajili ya kuikomboa Palestina
Jan 31, 2025 23:02Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah ya Yemen imetoa mkono wa pole kufuatia tangazo la kuuliwa shahidi Muhammad al Dhaif na kusema kamanda huyo Mpalestina alijitolea maisha yake kwa ajili ya kukomboa ardhi ya Palestina.
-
Wamisri wakusanyika mbele ya Kivuko cha Rafah, wakipinga kuhamishwa Wapalestina wa Gaza
Jan 31, 2025 23:01Raia wa Misri walikusanyika jana Ijumaa mbele ya kivuko cha mpakani cha Rafah na Ukanda wa Gaza wakipinga pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kuwafukuza Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza na kuwapeleka nje ya nchi yao.
-
UN: UNRWA inaendelea kufanya kazi licha ya vikwazo vya Israel
Jan 31, 2025 10:02Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) litaendelea na shughuli zake licha ya vikwazo vilivyowekwa na utawala wa Israel.
-
Kwa nini utawala wa Kizayuni unaendeleza ukaliaji ardhi kwa mabavu na vita kusini mwa Lebanon?
Jan 31, 2025 08:44Najib Miqati Waziri Mkuu wa serikali ya mshikizo ya Lebanon amesisitiza kuwa mashambulizi ya utawala wa Kizayuni yanakiuka wazi mamlaka ya kujitawala ya Lebabon na ni ukiukaji mkubwa wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofikiwa baina ya pande mbili.
-
Huyu ndiye Mohammad Deif, mhandisi wa Operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa
Jan 31, 2025 03:01Shahidi Muhammad Deif, ambaye jina lake halisi ni Muhammad Diab Ibrahim al-Masri, anayejulikana kwa lakabu ya Abu Khaled, alizaliwa mwaka 1965 katika kambi ya wakimbizi wa Palestina ya Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Hamas yatangaza kuuawa shahidi kamanda wake wa kijeshi, Mohammed Deif
Jan 31, 2025 03:00Brigedi za Hizzuddin al Qassam , Tawi la Kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, zimethitibisha habari kuuawa shahidi makamanda wake kadhaa katika mashambulizi ya kikatili ya Israel kwenye eneo lililozingirwa kila upande la Ghaza, akiwemo mkuu wake wa majeshi, Mohammed Deif.
-
Mchambuzi Mzayuni: Israel imepigishwa magoti na kusalimu amri mbele ya mkakati wa Hamas
Jan 31, 2025 03:00Mwandishi mmoja wa Israel amesema katika uchambuzi wake kwamba, tofauti kati ya matukio ya miinuko ya Jabal al-Sheikh huko Syria na yale ya Ghaza ni kwamba, kinyume na ilivyokuwa kwa jeshi la Syria, Hamas wao walikuwa wamejitayarisha na kujipanga vizuri na kupata turufu kwa kuwateka wakazi wengi wa utawala wa Kizayuni.