-
Ansarullah: Nasrullah alizima njama za Wazayuni katika eneo
Oct 03, 2024 23:44Kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen sanjari na kutoa pongezi na mkono wa pole kufuatia kuuawa shahidi Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesema Sayyid Hassan Nasrullah alitibua njama za Israel na kuusababishia utawala huo dhalimu vipigo vya fedheha.
-
Umuhimu maradufu wa kikao cha Doha, kwa kuzingatia hali ya eneo
Oct 03, 2024 22:50Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameshiriki katika kikao cha Jukwaa la Mazungumzo ya Ushirikiano wa Asia (ACD) huko Doha Qatar, ambapo masuala yanayohusiana na hali iliyosababishwa na mashambulizi na mauaji ya kigaidi ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni katika eneo na jibu kali la Iran dhidi yake, yana umuhimu wa kujadiliwa na kufanyiwa mashauriano na serikali za eneo hili.
-
Israel inazuia kuenezwa ripoti kuhusu pigo kubwa ililopata kufuatia shambulizi la Iran
Oct 03, 2024 09:10Utawala haramu wa Israel umefunga vituo kadhaa muhimu vya kijeshi na kuzuia uchapishaji wa ripoti kuhusu athari za mashambulio ya hivi karibuni ya makombora ya Iran dhidi ya utawala huo ghasibu.
-
Picha za satelaiti zaonyesha makombora ya Iran yalivyoharibu kambi ya anga ya F-35 ya Israel
Oct 03, 2024 09:07Picha za satelaiti za kambi muhimu ya jeshi la anga la utawala Israel iliyosheheni ndege za kivita za F-35 zinazotengenezwa Marekani zinaonyesha shimo kubwa kwenye paa baada ya Iran kuvurumisha makombora ya balistiki dhidi ya ngome za kijeshi za utawala huo ghasibu.
-
Tiketi za ndege zaadimika 'Israel', wengi wanatoroka baada ya makombora ya Iran kutua
Oct 03, 2024 09:03Kufutwa na kuakhirishwa safari za ndege na makampuni ya Ulaya kwenda na kutoka 'Israel' kufuatia hatua ya Iran kuvurumisha makombora dhidi ya ngome za kijeshi na kijasusi za utawala ghasibu wa Israel kumefanya tiketi za ndege kuwa ghali na adimu.
-
Kuna tofauti kubwa baina ya Mayahudi na Wazayuni (PICHA)
Oct 03, 2024 07:44Katika kujibu swali linalosema kuwa, je, kuna tofauti baina ya Mayahudi na Wazayuni, tunapenda kusema kwamba, naam, kuna tofauti kubwa baina ya makundi hayo mawili.
-
Wimbi la walowezi wa Kizayuni wanaokimbia Israel baada ya vipigo vya Iran (PICHA)
Oct 03, 2024 07:19Baada ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kutoa vipigo vikali vya makombora dhidi ya maeneo hassasi ya utawala wa Kizayuni, wimbi la kuakhirishwa safari za ndege za kuingia na kutoka Israel nalo limevunja rekodi huku idadi ya walowezi wa Kizayuni walioamua kukimbia Palestina ikiongezeka sana.
-
Shambulio la Hizbullah laangamiza wanajeshi 14 wa Israel
Oct 03, 2024 05:46Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imeshambulia vituo viwili vya kijeshi vya utawala wa Israel kwa kutumia makombora na ndege zisizo na rubani na kuua wanajeshi 14 wa utawala huo.
-
Makundi ya Muqawama yaishukuru na kuipongeza Iran kwa kutekeleza Operesheni Ahadi ya Kweli 2
Oct 02, 2024 05:36Makundi ya Muqawama yamepongeza jibu kali lililotolewa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa utawala wa Kizayuni kufuatia Operesheni Ahadi ya Kweli 2 na kutekelezwa kwa mafanikio shambulio la makombora la Iran katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kulenga shabaha zilizokusudiwa kwa asilimia 90 ya makombora yaliyorushwa na vikosi vya ulinzi vya Iran.
-
Jinai mpya za Wazayuni dhidi ya Gaza; mara hii walipua kituo cha watoto yatima
Oct 02, 2024 04:38Utawala wa Kizayuni umeendeleza jinai zake dhidi ya vituo vya kiraia kwa kushambulia kituo cha kulelea watoto yatima cha Maahadul-Amal kilichoko magharibi mwa mji wa Gaza.