-
UNRWA: Hali ya kiafya katika Ukanda mzima wa Gaza si ya kibinadamu
Sep 30, 2024 22:48Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa hali ya kiafya na kimaisha katika Ukanda wa Gaza si ya kibinadamu.
-
Madai ya Marekani katika muktadha wa kujaribu kuzuia vita Asia Magharibi
Sep 30, 2024 22:47Marekani ambayo ni mdhamini mkubwa zaidi wa silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya mashambulizi makubwa dhidi ya watu wa Lebanon na Gaza, sasa inajitokeza kwa unafiki na kutoa wito wa kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
Sheikh Naim Qassim: Tumejiandaa kikamilifu kukabiliana na Israel
Sep 30, 2024 10:40Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema, harakati hiyo imejiandaa kikamilifu kukabiliana na mashhambulio ya utawala haramu wa Israel.
-
Taathira za mauaji ya kigaidi ya Sayyid Hassan Nasrullah kwa mfumo wa dunia
Sep 30, 2024 10:37Mauaji ya kigaidi yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, yanaweza kuchambuliwa katika nyanja mbalimbali, lakini moja ya nyanja hazo ni tathmini ya athari zake katika mfumo wa dunia.
-
Utawala wa Kizayuni waua kigaidi makamanda 3 wa chama cha PLO
Sep 30, 2024 04:27Shambulio la kigaidi ambalo limetekelezwa na utawala wa Kizayuni katika eneo la "Al-Kola" mjini Beirut, Lebanon limepelekea kuuawa shahidi makamanda watatu waandamizi wa chama cha Ukombozi wa Palestina PLO.
-
Droni ya Marekani yatunguliwa na Harakati ya Ansarullah ya Yemen
Sep 30, 2024 03:58Ndege moja isiyo na rubani ya Marekani imetunguliwa kaskazini mwa Yemen leo Jumatatu asubuhi.
-
Hizbullah yaipiga kambi ya kijeshi ya Israel kwa makombora ya Fadi-1
Sep 29, 2024 22:57Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imesema imevurumisha makombora ya Fadi-1 dhidi ya kambi ya jeshi la Israel katika maeneo ya kaskazini yanayokaliwa kwa mabavu.
-
Mufti wa Oman: Nasrullah alikuwa mwiba kwenye koo ya Wazayuni
Sep 29, 2024 22:56Mufti Mkuu wa Oman amesema Sayyid Hassan Nasrullah, kiongozi wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon aliyeuawa shahidi karibuni na Israel alikuwa mwiba kwenye koo ya Wazayuni kwa zaidi ya miongo mitatu.
-
Kuasisiwa Muungano wa Kimataifa kwa ajili ya kuunda nchi huru ya Palestina
Sep 28, 2024 22:54Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia ameatangaza kuasisiwa Muuungano wa Kimataifa kwa ajili ya kufuatilia uundaji wa nchi huru ya Palestina.
-
Hamas: Kuuawa makamanda wa Hizbullah hakuifanyi Israeli kuwa salama zaidi
Sep 28, 2024 22:47Kufuatia mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Beirut, Hamas imeonya kuwa, hatua hizo hazitaifanya Israel kuwa sehemu salama zaidi.