Asia Magharibi
  • Shirika la UNRWA laonya kuhusu uhaba wa bidhaa za chakula Gaza

    Shirika la UNRWA laonya kuhusu uhaba wa bidhaa za chakula Gaza

    Jun 28, 2024 03:48

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limeonya kuhusiana na uhaba mkubwa wa bidhaa za chakula unaolikabili eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina.

  • Siasa za kindumakuwili za Biden kuhusu vita vya Gaza

    Siasa za kindumakuwili za Biden kuhusu vita vya Gaza

    Jun 27, 2024 23:48

    Harrison Mann, afisa wa ujasusi katika jeshi la Marekani, ambaye alijiuzulu karibuni katika kupinga uungaji mkono wa Washington kwa utawala wa Kizayuni katika vita vyake vya mauaji ya umati dhidi ya watu wa Palestina huko Gaza, aliiambia Al Jazeera ya Qatar siku ya Jumanne usiku kwamba: "Kama usingekuwa uungaji mkono wa Marekani kwa Israel, vita vya Gaza visingeliendelea kwa nguvu hizi."

  • Hizbullah ya Lebanon yaendelea kushambulia maeneo ya jeshi la utawala wa Kizayuni

    Hizbullah ya Lebanon yaendelea kushambulia maeneo ya jeshi la utawala wa Kizayuni

    Jun 27, 2024 04:37

    Wapiganaji wa Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena wamelenga na kusababisha maafa na uharibifu mkubwa katika maeneo ya wanajeshi wa Kizayuni kwenye mpaka wa nchi hiyo na Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Yemen yasambaza video ya kushambulia meli ya Israel kwa kombora la 'balestiki la hypersonic'

    Yemen yasambaza video ya kushambulia meli ya Israel kwa kombora la 'balestiki la hypersonic'

    Jun 27, 2024 04:03

    Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vimesambaza video inayoonyesha kutumiwa kombora la balestiki la hypersonic dhidi ya meli ya Israeli katika Bahari ya Arabia. Vikosi hivyo vilisambaza video hiyo siku ya Jumatano, vikisema kombora lililotumika linaitwa "Hatem-2" na kwamba meli iliyolengwa ni "MSC SARAH V."

  • Kutoweka watoto katika Ukanda wa  Gaza

    Kutoweka watoto katika Ukanda wa Gaza

    Jun 26, 2024 22:59

    Kwa mujibu wa ripoti mpya zilizochapishwa na shirika la kimataifa linaloitwa "Save the Children", watoto wapatao elfu 21 wa Kipalestina wametoweka huko Ukanda wa Gaza, ambapo watoto elfu 17 wametenganishwa na familia zao kutokana na vurugu zilizosababishwa na vita, hasa operesheni za hivi karibuni za utawala wa Kizayuni katika ukanda huo.

  • Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Ripoti: Gaza inakabiliwa na hatari kubwa ya njaa

    Jun 26, 2024 03:53

    Eneo la Ukanda wa Gaza linakabiliwa na hatari kubwa ya baa la njaa ikiwa ni matokeo ya hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala ghasibu wa Israel.

  • Muqawama Iraq: Tutashambulia maslahi ya US iwapo Lebanon itavamiwa

    Muqawama Iraq: Tutashambulia maslahi ya US iwapo Lebanon itavamiwa

    Jun 25, 2024 22:48

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Asa'ib Ahl al-Haq ya nchini Iraq ameuonya vikali utawala haramu wa Israel dhidi ya kuingia kwenye vita vipya na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.

  • Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni

    Jun 25, 2024 08:51

    Vita vya Gaza vimeingia katika mwezi wa tisa huku mizozo na mivutano kati ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na maafisa wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni ikiendelea kushika kasi.

  • Dadake Haniya ni miongoni mwa makumi waliouawa na mabomu ya Israel Gaza

    Dadake Haniya ni miongoni mwa makumi waliouawa na mabomu ya Israel Gaza

    Jun 25, 2024 08:00

    Dada yake Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ni miongoni mwa makumi ya Wapalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi mapya ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel katika pembe mbali mbali za Ukanda wa Gaza.