-
Maelfu ya Wapalestina waandamana katika kumbukumbu ya siku ya Nakba
May 15, 2024 10:07Maelfu ya wananchi wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu wameandamana kwa mnasaba wa Siku ya Nakba ambayo inakumbusha uvamizi, mauaji ya kimbari, ukatili na jinai za Wazayuni katika ardhi za Wapalestina.
-
Msemaji wa UNRWA atahadharisha kuhusu hali ya mji wa Rafah
May 15, 2024 08:34Msemaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina katika Mashariki ya Karibu (UNRWA) ameitaja hali ya mji wa Rafah huko kusini mwa Ukanda wa Gaza kuwa sawa na mji uliotelekezwa uliosalia magofu.
-
Wapalestina elfu 10 wangali chini ya vifusi
May 15, 2024 08:29Taasisi ya Ulinzi wa Raia ya Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa Wapalestina elfu 10 bado wapo chini ya vifusi vya nyumba zilizobomolewa katika mashambulizi ya jeshi la Israel.
-
Marekani na Uingereza zashambulia tena uwanja wa ndege wa al Hudaidah huko Yemen
May 15, 2024 08:20Ndege za kivita za Marekani na Uingereza kwa mara nyingine tena zimeushambulia uwanja wa ndege wa kimataifa wa al Hudaidah huko Yemen.
-
Balozi wa Russia UN: Mashambulizi ya Magharibi dhidi ya Yemen ni kinyume cha sheria
May 15, 2024 02:38Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashambulizi ya muungano wa nchi za Magharibi unaoongozwa na Marekani dhidi ya Yemen yamekiuka Mkataba wa Umoja wa Mataifa na hayana uhalali wowote.
-
Israel yashadidisha ukatili, Wapalestina 450,000 waikimbia Rafah
May 15, 2024 01:05Umoja wa Mataifa umesema eneo kubwa la mji wa Gaza sasa limekuwa “Mji uliotelekezwa.” Hayo yaliripotiwa na mashirika ya umoja huo yanayoshughulikia masuala ya misaada ya kibinadamu siku ya Jumanne na kuongeza kuwa Wapalestina wapatao 450,000 wamelazimika kuondoka eneo la Rafah kutokana na kushadidi mashambulizi ya Israel.
-
Makumi ya Wapalestina wauawa katika hujuma za Israel Gaza
May 14, 2024 07:35Ndege za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel zimefanya mashambulizi mapya ya anga dhidi ya maeneo tofauti ya Ukanda wa Gaza na kuua shahidi makumi ya Wapalestina, wakiwemo watoto wadogo na wanawake.
-
Amir wa Qatar na Waziri Mkuu wa Malaysia wajadili uhusiano wa pande mbili na hali ya Gaza
May 14, 2024 03:44Amir wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani amekutana na kufanya mazungumzo na Anwar Ibrahim Waziri Mkuu wa Malaysia katika mji mkuu wa nchi hiyo Doha. Waziri Mkuu wa Malaysia yuko nchini Qatar kwa ziara ya siku tatu.
-
Yemen yaonya inaweza kulenga shabaha za adui 'ambazo hawezi hata kuzifikiria'
May 14, 2024 03:20Jeshi la Yemen limeonya kuwa huenda likazidisha mashambulizi yake ya kuiunga mkono Palestina iwapo utawala wa Israel utaendelea na vita vyake vya mauaji ya halaiki katika Ukanda wa Gaza.
-
Sababu za kushindwa mazungumzo ya kusitishwa vita vya Gaza
May 14, 2024 00:08Khalil al-Hayya, Naibu Mkuu wa Hamas katika Ukanda wa Gaza, amefafanua jinsi utawala wa Kizayuni wa Israel ulivyovuruga mazungumzo ya kusitisha mapigano Gaza na kubadilishana mateka.