-
Kwa nini Uturuki haiko tayari kubadilisha misimamo yake kuhusu Gaza?
Dec 18, 2025 10:02Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki ametangaza kwamba nchi yake haitarudi nyuma na wala haitaachana na misimamo yake kuhusu Gaza.
-
Baridi kali yaua Wapalestina 17 Gaza; Israel yaendelea kuzuia misaada
Dec 18, 2025 06:56Dhoruba na baridi kali zimesababisha vifo vya Wapalestina 17 katika Ukanda wa Gaza tangu mwanzoni mwa mwezi huu, kwa mujibu wa serikali za mitaa Gaza, huku Israel ikishadidisha vikwazo vikali vya kuingia kwa vifaa vya kuunda makazi na misaada mingine ya kibinadamu katika eneo hilo la Palestina lililokumbwa na vita.
-
Qatar: Ukiukaji wa usitishaji mapigano wa Israel 'unahatarisha' mchakato mzima wa Gaza
Dec 18, 2025 06:55Waziri Mkuu wa Qatar ameonya kwamba, ukiukaji unaofanywa kila siku wa Israel wa makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza unatishia mchakato mzima wa mapatano hayo, huku akitoa wito wa kutekelezwa haraka awamu inayofuata ya makubaliano hayo ili kukomesha vita vya mauaji ya halaiki vya Israeli dhidi ya eneo la Wapalestina lililozingirwa.
-
HAMAS: Israel imekiuka vipengele vyote vya usitishaji vita, makubaliano yako hatarini kuvunjika
Dec 17, 2025 03:09Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS ameushutumu utawala wa kizayuni wa Israel kwa ukiukaji mkubwa na uliopangwa wa makubaliano ya kusitisha vita, akionya kwamba kuendelea kwa mwelekeo huo kunayaweka makubaliano hayo katika hatari ya kuvunjika kikamilifu.
-
UNICEF: Hali ya maisha kwa watoto Gaza ni majanga
Dec 16, 2025 23:20Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hali ya maisha kwa watoto katika Ukanda wa Gaza ni mbaya mno.
-
Mvua zaharibu asilimia 90 ya mahema ya wakimbizi Ukanda wa Ghaza
Dec 16, 2025 08:15Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha huko Ghaza hadi hivi sasa zimeshaharibu asilimia 90 ya mahema wa wakimbizi wa ukanda huo tena wakati huu wa kukaribia kuingia kwenye msimu wa baridi kali.
-
Khaled Masha'al: Trump anapaswa kuachana na sera ya Israel kwanza
Dec 16, 2025 08:13Mmoja wa viongozi waandamizi wa harakati ya HAMAS amemtaka rais wa Marekani Donald Trump kuachana na sera ya Washington ya Israel Kwanza, akisema kuwa, hata wafuasi wa Trump kama vile MAGA sasa wanaiona Israel ni mzigo unaodhuru maslahi ya Marekani.
-
ISIL yatangaza kuhusika na shambulio baya nchini Syria
Dec 16, 2025 02:55Kundi la kigaidi la ISIL (Daesh) limedai kuhusika na shambulio baya lililolenga vikosi vitiifu kwa Abu Mohammad al-Jolani nje kidogo ya Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Majirani za Afghanistan wapinga uingiliaji wa kigeni, vikwazo
Dec 15, 2025 08:04Wawakilishi maalum wa nchi majirani za Afghanistan wamepinga vikali uwepo wowote wa kijeshi wa maajinabi, wakizitaka nchi zilizopelekea kushuhudiwa mgogoro wa sasa nchini humo kuchangia ujenzi mpya bila kutumia msaada kama chombo cha kisiasa.
-
Yemen yaonya kuhusu kushtadi jinai za Israel Gaza, Ukingo wa Magharibi
Dec 15, 2025 07:29Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha dhidi ya kuongezeka kwa ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu, ikiukosoa utawala huo pandikizi kwa kukiuka makubaliano ya kusitisha mapigano na kuzidisha mashambulizi.