-
Daesh; Wakala wa niaba wa Marekani na utawala wa Kizayuni katika eneo
Jan 07, 2024 01:01Kundi la kigaidi la Daesh Alhamisi usiku lilitangaza kuhusika na miripuko ya kigaidi katika mji wa Kerman kusini mashariki mwa Iran huku genge hilo likihesabiwa kuwa kundi lililoasisiwa kwa niaba ya Marekani na utawala wa Kizayuni katika eneo la Asia Magharibi.
-
Wazayuni wazidi kupapurana; Netanyahu chagua moja!
Jan 06, 2024 04:09Mzozo unazidi kurindima ndani ya baraza la mawaziri la utawala wa Kizayuni huku Benny Gants akimshambulia kwa maneno makali waziri mkuu wa utawala huo katili, Benjamin Netanyahu akimwambia achague moja, imma kuweko kwenye serikali ya muungano au kulinda usalama wa ndani ya Israel.
-
Athari mbaya za kushadidi mvutano katika baraza la mawaziri la vita la utawala wa Israel
Jan 06, 2024 02:50Vyanzo vya habari katika ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel) vimeripoti kuwa kikao cha baraza la mawaziri la vita la Benjamin Netanyahu kimetawaliwa na mvutano mkubwa na kwamba kimemalizika kwa mawaziri kurushiana maneno na malumbano makali.
-
Tangu Oktoba 17 vituo vya kijeshi vya Marekani Asia Magharibi vimeshambuliwa mara 115
Jan 06, 2024 00:17Afisa mmoja wa Marekani amekiri kuwa katika muda wa siku 81 zilizopita, ngome na vituo vya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika eneo la Asia Magharibi vimeshambuliwa mara 115.
-
Israel imeshambulia Gaza kwa tani 65,000 za mabomu, vilipuzi ndani ya siku 89
Jan 05, 2024 23:34Utawala katili wa Israel umefyatua zaidi ya tani 65,000 za makombora na mabomu kwenye Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7, 2023, na kuua takriban watu 22,438, wengi wao wakiwa wanawake na watoto.
-
Kukamatwa mtandao wa kijasusi wa Mossad nchini Uturuki
Jan 05, 2024 23:28Ikiwa ni katika juhudi zinazoendelea za kufuatilia, kufichua na kuvunjwa mitandao ya kijasusi ya Israel nchini Uturuki, serikali ya Ankara kwa mara nyingine imetangaza kuwa mtandao wa kijasusi wa Mossad umegunduliwa nchini humo na baadhi ya wanachama wake kukamatwa.
-
Israel yaendeleza mashambulizi yake ya anga na mizinga Ukanda wa Gaza leo Ijumaa
Jan 05, 2024 08:51Ndege za kivita na mizinga ya utawala wa Kizayuni kwa mare nyingine tena leo Ijumaa zimeyashambulia maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Gaza.
-
Televisheni ya CNN yatuhumiwa kuchuja habari zote zinazohusiana na Gaza
Jan 05, 2024 07:27Tovuti ya The Intercept imetangaza kwamba, habari zote ambazo mtandao wa habari wa CNN unaangazia kuhusu vita vya Ukanda wa Gaza huchujwa na kudhibiitiwa na jeshi la Israel kwa njia isiyo ya moja kwa moja.
-
Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu UN yasisitiza tena: Ni marufuku kuwalazimisha watu wa Gaza kuhama nchi yao
Jan 05, 2024 03:26Kamishna Mkuu wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa amepinga matamshi yaliyotolewa na viongozi wa serikali ya Israel kuhusu suala la kuwahamisha watu wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka katika nchi zingine.
-
Ripoti: Israel inapanga kuwahamishia Afrika Wapalestina wa Gaza
Jan 04, 2024 23:02Vyombo vya habari vya Israel vimethibitisha ripoti zinazodai kuwa, utawala wa Kizayuni unafanya mazungumzo ya siri ili kuwahamisha kwa nguvu mamilioni ya wakazi wa Ukanda wa Gaza na kuwapeleka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi nyingine za Afrika.