-
Kwa nini Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni?
Jul 30, 2026 06:54Gazeti la Haaretz limeandika: Netanyahu atasajiliwa katika historia kama waziri mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni. Gazeti hilo limechapisha ripoti inayokosoa vikali utendaji wa Benjamin Netanyahu, likisisitiza kuwa atakumbukwa kama Waziri Mkuu mbaya zaidi wa utawala wa Kizayuni na kwamba madhara ya kiusalama na kiuchumi ya vita alivyovisababisha yataukabili utawala wa Israel kwa miaka mingi ijayo.
-
Iran yalaani mashambulizi ya “kihalifu” ya Marekani na Saudia dhidi ya Iraq
Jul 30, 2026 04:13Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa kauli kali ya kulaani mashambulizi ya pamoja ya angani yaliyofanywa na Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Iraq.
-
Iraq yafuta safari ya Waziri Mkuu wake Riyadh baada ya mashambulizi ya Marekani na Saudia nchini Iraq
Jul 30, 2026 04:11Serikali ya Iraq imefuta ziara iliyopangwa kufanywa na Waziri Mkuu wake nchini Saudi Arabia, kufuatia kile kilichotajwa kuwa mashambulizi ya Marekani na Saudi Arabia, huku kukiwa na ongezeko la wito ndani ya nchi wa kuchukua hatua ya kujibu.
-
Mgogoro katika Jeshi la Israel: Wanajeshi wengine wawili wa Kizayuni wajiua
Jul 30, 2026 04:00Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimeripoti kuwa, baada ya wanajeshi wengine wawili wa Kizayuni kujiua, idadi ya wanajeshi waliojitoa uhai tangu mwanzoni mwa mwaka huu imefikia 16.
-
Mtaalamu wa kizayuni: Israel 'haina ubavu' wa kukabiliana na Iran kwa muda mrefu
Jul 28, 2026 14:05Mtaalamu maarufu wa Kizayuni amekosoa kuongezeka utegemezi wa utawala haramu wa Israel kwa Marekani, akisisitiza kwamba utawala wa Kizayuni hauna tena uhuru wa kimkakati uliokuwa nao zamani na hauwezi kuhimili makabiliano ya muda mrefu na Iran.
-
Watetezi wa Palestina wakusanyika nje ya White House kupinga safari ya Netanyahu
Jul 28, 2026 13:59Waandamanaji wanaoitetea na kuiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya Ikulu ya White House jana Jumatatu kupinga ziara ya Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu huko Washington kabla ya mkutano wake aliopangiwa kufanya na Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Muqawama wa Kiislamu Iraq: Hatua yoyote ya kipumbavu ya Saudia itakabiliwa na jibu la haraka
Jul 28, 2026 03:55Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq imeuonya utawala wa kifalme wa Saudi Arabia kwamba hatua yoyote ya kipumbavu itakayochukuliwa na Riyadh itakabiliwa na jibu kali litakaloulamisha kujutia maamuzi yake.
-
Ansarullah Yemen: Hakuna meli ya Saudi Arabia inayoruhusiwa kupita Lango Bahari la Bab al-Mandab
Jul 27, 2026 10:14Harakati ya Ansarullah yaYemen imesema kuwa Mlango Bahari wa Bab al-Mandab umefungwa kikamilifu kwa Saudi Arabia, huku ikisisitiza msimamo wake kuhusu hatua zinazohusiana na usalama wa njia hiyo muhimu ya baharini.
-
Hamas yalaani hatua za 'Zio-American' zinazolenga UNRWA, yahimiza hatua za kimataifa
Jul 27, 2026 03:52Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani hatua mpya za Marekani na Israel zinazolenga Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA), likitaka kuchukuliwe hatua za dharura za kimataifa dhidi ya kampeni ya "Wazayuni-Marekani" ya kutaka kulisambaratisha shirika hilo.
-
Walowezi wa Israel wachoma misikiti ya Ukingo wa Magharibi
Jul 27, 2026 03:48Walowezi wa Kiisraeli wamevamia misikiti miwili, mmoja uliokuwa ukijengwa, katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na kuichoma moto katika kile kinacholaaniwa kama kampeni ya kimfumo inayolenga haki za kidini za Wapalestina.