-
Bunge la Iraq lalaani kuvunjiwa heshima Mtume SAW nchini India
Jun 07, 2022 23:10Bunge la Iraq limelaani vikali hatua ya baadhi ya viongozi wa chama tawala nchini India ya kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW.
-
Sheikh Naim Qassem: Hizbullah iko tayari kuwazuia Wazayuni wasianzishe uchimbaji gesi
Jun 07, 2022 23:09Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, ikiwa serikali itatoa agizo, harakati hiyo ya muqawama wa Kiislamu iko tayari kuchukua hatua yoyote dhidi ya operesheni za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel za kuchimba gesi katika maeneo yanayozozaniwa kati ya utawala huo na Lebanon.
-
Serikali ya Taliban nchini Afghanistan mbioni kustawisha uhusiano mwema na majirani
Jun 07, 2022 21:51Amir Khan Motaqi, Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa serikali ya Taliban nchini Afghanistan amesema kuwa, njia za mpakani za nchi hiyo ziko wazi kwa ajili ya majirani na kwamba, serikali ya Taliban ina uhusiano mwema na mzuri na majirani zake.
-
Hashdu Shaabi yashambulia maficho ya magaidi Iraq; yaua kadhaa miongoni mwao
Jun 07, 2022 03:33Wanamapambano wa harakati ya wanamuqawa ya Hashdu Shaabi ya Iraq wameshambulia ngome na maficho ya mabaki ya wanachama wa magenge ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi ajinabi kaskazini mwa Baghdad, mji mkuu wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
HAMAS: "Muqawama" ndiyo njia pakee ya kupambana na wavamizi na kuwashinda
Jun 06, 2022 22:01Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, njia pekee ya kuweza kupambana na kuwashinda wavamizi ni muqawama na mapambano ya kila upande, ya silaha, ya kisiasa, ya kijamii, ya kiuchumi na ya kidiplomasia.
-
Muhammad bin Salman; Ufalme wa Saudi Arabia katika njia ya kuwekwa wazi uhusiano na Israeli
Jun 06, 2022 21:59Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Israel vimetangaza kuwa Saudi Arabia imekubaliana na utawala huo ghasibu kufungua anga yake kwa ajili ya kutumiwa na ndege za Kizayuni.
-
Ansarullah: Kumvunjia heshima Mtume SAW ni kufilisika kimaadili
Jun 06, 2022 05:43Msemaji wa Harakati ya Wananchi ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, kumvunjia heshima Bwana Mtume SAW ni ishara ya wazi ya kufilisika kimaadili.
-
Ismail Hania asisitiza kuuhami Msikiti wa al-Aqswa kwa kutumia nyenzo zote
Jun 06, 2022 05:41Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza udharura wa kutumiwa suhula na nyenzo zote kwa ajili ya kuulinda na kuuhamai Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa.
-
Nabih Berri: Hatutanyamazia kimya uvamizi wa Israel dhidi ya mamlaka ya majini ya Lebanon
Jun 06, 2022 05:35Spika wa Bunge la Lebanon ameashiria hujuma ya utawala haramu wa kizayuni wa Israel dhidi ya mamlaka ya baharini ya nchi hiyo ya Kiarabu katika Bahari ya Mediterania na kusisitiza kuwa, katuu Lerbanon haiwezi kunyamazia kimya hatua na hujuma hizo.
-
Lebanon yaionya vikali Israel, vita vyanukia katika Bahari ya Mediterania
Jun 06, 2022 03:36Rais wa Lebanon Michel Aoun ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba usijaribu kuchimba gesi katika Bahari ya Mediterania kabala ya mgogoro wa mpaka wa baharini baina ya pande mbili kutatuliwa.