-
Gazeti la New York Times laorodhesha "uongo" wa Rais Trump katika mwaka mzima
Jan 21, 2026 07:45Gazeti la New York Times linaamini kwamba katika mwaka wa kwanza wa muhula wake wa pili, Rais wa Marekani Donald Trump amesema uongo mwingi, kutoa madai yasiyo na msingi na upotoshaji ili kuhalalisha mabadiliko na kudanganya kuhusu mafanikio katika maeneo ya uchumi, uhamiaji na kadhalika.
-
Russia yasisitizia tena haki ya Iran ya kunufaika na nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani
Jan 21, 2026 02:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov amesisitizia tena haki ya Iran ya kutumia nishati ya nyuklia kwa malengo ya amani.
-
Trump atishia kuiwekea Ufaransa ushuru wa 200% kumshinikiza Macron ajiunge na 'Bodi ya Ghaza'
Jan 21, 2026 02:38Rais wa Marekani Donald Trump amemkosoa vikali Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kwa kukataa kujiunga na kile kinachoitwa "Bodi ya Amani" ya Washington kwa ajili ya Ghaza, huku mpango huo ukikabiliwa na ukosoaji mkubwa wa wataalamu wa sheria za kimataifa wanaouelezea kuwa ni upanuzi wa ukaliaji wa mabavu wa eneo hilo la Palestina unaofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Mchambuzi wa tiba wa CNN: Mpimeni Trump uzima wa akili
Jan 21, 2026 02:34Kufuatia vituko alivyofanya hivi karibuni Donald Trump kwa barua aliyomwandikia Waziri Mkuu wa Norway, Dk. Jonathan Reiner tabibu na mhadhiri katika Chuo Kikuu cha George Washington ametaka rais huyo wa Marekani apimwe uzima wa akili.
-
Waislamu wa India wapinga kuondolewa kwenye orodha ya wapiga kura kwa kisingizio kwamba wamekufa
Jan 20, 2026 10:22Waislamu wa India wamefanya maandamano katika mji wa Ahmedabad, kupinga kuondolewa majina yao kwenye orodha ya wapiga kura kwa kisingizio kwamba wamefariki dunia, ingawa bado wako hai.
-
Viongozi mashuhuri wa kidini Marekani walaani sera ya kigeni ya serikali ya Trump
Jan 20, 2026 10:21Viongozi kadhaa wakuu wa Kanisa Katoliki nchini Marekani wametoa taarifa wakikosoa vikali sera ya mambo ya nje ya Washington na kusema kwamba nafasi yake ya kimaadili katika jukwaa la kimataifa inatiliwa shaka, kuhusiana na migogoro kama ya Ukraine, Venezuela na Greenland.
-
Michael McCaul: Uvamizi wa Marekani dhidi ya Greenland una maana ya vita na NATO/The Economist: Uchoyo wa Trump utaiangamiza NATO
Jan 20, 2026 05:33Mbunge mmoja wa Marekani ameutaja uvamizi wa nchi hiyo dhidi ya Greenland kuwa utakuwa "vita dhidi ya Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi, NATO."
-
Greenland na mantiki ya ubabe; ushuru, wenzo wa mashinikizo ya kisiasa ya Trump
Jan 19, 2026 02:56Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kuwa, kuanzia Februari Mosi, ataweka ushuru wa 10% kwa nchi zinazopinga kuunganishwa Greenland na Marekani na kwamba, kuanzia tarehe Mosi Juni ushuru huo utaongezwa na kufikia 25%.
-
Pentagon kutuma wanajeshi 1,500 kukabiliana na waandamanaji Minnesota
Jan 19, 2026 02:40Wizara ya Vita ya Marekani (Pentagon) imewaamuru wanajeshi wapatao 1,500 walio kazini wawe tayari kutumwa kwenda kukandamiza maandamano huko Minnesota.
-
Rais wa muda: Venezuela ina haki ya kujenga uhusiano na Iran
Jan 19, 2026 02:38Rais wa uongozi wa muda wa Venezuela, Delcy Rodriguez, amethibitisha tena kwamba Caracas ina haki ya kudumisha uhusiano wa kidiplomasia na China, Cuba, Iran na Russia na kupinga uingiliaji wa Marekani. Rais wa serekali muda ya Venezuela pia amekosoa hatua za kichokozi za Washington dhidi ya nchi hiyo.