-
Umoja wa Mataifa watahadharisha kuhusu hatari ya njaa katika nchi 16
Nov 13, 2025 22:55Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) zimeonya kuhusu mgogoro mkubwa wa ukosefu wa usalama wa chakula unaozidi kuwa mbaya katika nchi 16, na kuweka hatarini maisha ya mamilioni ya watu, hasa katika maeneo yenye migogoro na majanga ya hali ya hewa.
-
Muungaji mkono Palestina aapishwa kuwa Rais mpya wa Ireland
Nov 13, 2025 03:46Bi. Catherine Connolly, mgombea wa mrengo wa kushoto katika uchaguzi wa urais nchini Ireland ambaye anajulikana kwa misimamo yake ya kuunga mkono Palestina, ameapishwa kuwa rais mpya wa Ireland baada ya kuibuka mshindi katika uchaguzi wa mwezi uliopita.
-
Araqchi na Lavrov wafanya mashauriano ya simu kuhusu Gaza
Nov 12, 2025 23:09Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia wamefanya mazungumzo kwa njia ya simu na kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali yakiwemo ya uhusiano wa pande mbili.
-
UNICEF: Watu wanane kati ya kumi nchini Afghanistan wanakunywa maji machafu
Nov 12, 2025 23:07Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limetangaza kuwa, zaidi ya nusu ya vyanzo vya maji vya Afghanistan vimekauka.
-
Kujiunga Wazungu na harakati ya kuisusia Israel; mabadiliko ya kweli au mashinikizo ya umma?
Nov 12, 2025 23:05Harakati ya kususia bidhaa za Israeli (BDS) inazidi kupata nguvu kote duniani, tena kwa kasi kubwa, na watu binafsi na taasisi mbalimbali kote ulimwenguni zinajiunga nayo kwa lengo la kuongeza mashinikizo kwa Israel. Katika uamuzi muhimu zaidi wa hivi karibuni, ni nchi ya Ulaya ya Uholanzi kutangaza kwamba inaandaa sheria ya kupiga marufuku kuingiza nchini humo bidhaa zinazozalishwa katika vitongoji haramu vya walowezi wa Kizayuni huko Palestina.
-
FAO na WFP zatoa indhari: Baa la njaa linazidi kuongezeka katika sehemu 16 duniani
Nov 12, 2025 09:33Ripoti mpya ya pamoja ya Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) la na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) iliyotolewa leo Jumatano zimetahadharisha kuwa, hali ya ukosefu wa usalama wa chakula inazidi kuwa mbaya katika maeneo 16 yenye janga la njaa duniani, huku mamilioni ya watu wakiwa katika hatari ya kupatwa na janga hilo katika kipindi cha kati ya Novemba 2025 na Mei 2026.
-
UNDP: Familia 9 kati ya 10 Afghanistan zinasamehe matibabu ili kupata mlo huku zikibeba madeni
Nov 12, 2025 07:41Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) limetangaza kuwa, familia tisa kati ya 10 nchini Afghanistan zinakabiliwa na njaa au zinalazimika kubeba madeni huku raia wakimbizi waliorejea hivi karibuni wakijikimu kimaisha kwa tabu katika maeneo yenye hali mbaya ya umaskini mashariki na kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu
Nov 11, 2025 23:01Ripoti kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani na Uingereza zimechapishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran.
-
Trump awakatia msaada ya chakula watu maskini nchini Marekani
Nov 11, 2025 07:21Huku mamilioni ya Wamarekani wakiendelea kupambana na ukosefu wa usalama wa chakula na uhaba wa chakula, utawala wa Trump umeamuru kukatwa kikamiifu msaada wa chakula kwa familia zenye kipato cha chini.
-
Russia: Hatutakhalifu marufuku ya kufanya majaribio ya silaha za nyuklia, isipokuwa kama US itafanya hivyo
Nov 10, 2025 02:47Msemaji wa Ikulu ya Russia, Kremlin Dmitry Peskov amesema, nchi hiyo haina nia ya kukiuka majukumu yake chini ya makubaliano ya kimataifa yanayopiga marufuku majaribio ya nyuklia, lakini itachukua hatua ya kuanza tena kufanya majaribio hayo ikiwa nchi zingine zitafanya hivyo,