-
Marais wa Rwanda na DRC kutia saini makubaliano ya amani
Nov 30, 2025 04:11Marais Felix Tshisekedi wa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo na mwenzake wa Rwanda Paul Kagame wiki ijayo wanatarajiwa kutia kusaini makubaliano ya mwisho yanayolenga kufikia amani ya kudumu mashariki mwa Congo.
-
Spika wa bunge la Libya atoa mwito wa kufanyika uchaguzi wa haraka wa rais
Nov 29, 2025 23:06Spika wa Bunge la Libya lenye makao yake mashariki mwa nchi hiyo ametoa mwito kwa Tume Kuu ya Uchaguzi kutekeleza mara moja sheria ya kuitisha haraka uchaguzi wa rais wa moja kwa moja.
-
Bunge la Ulaya lakosolewa kwa kuingilia mambo ya Tanzania
Nov 29, 2025 04:02Ulaya imekosolewa kwa “kujipa haki ya kujadili kila kinachotokea Afrika,” mfano wa karibuni ukiwa ukosoaji wa Bunge la Ulaya kuhusu uchaguzi nchini Tanzania.
-
Mapigano yaibuka mashariki mwa DRC, wakimbizi waongezeka
Nov 29, 2025 03:56Mapigano mapya kati ya waasi wa M23 na jeshi la amhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, likisaidiwa na wanamgambo wanaojulikana kamma Wazalendo, yamesababisha wakazi wengi kuyahama makazi yao katika maeneo kadhaa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Umoja wa Afrika wasimamisha uanachama wa Guinea-Bissau kufuatia mapinduzi ya kijeshi
Nov 29, 2025 03:52Umoja wa Afrika (AU) umetangaza kuizuia mara moja Guinea-Bissau kushiriki katika shughuli zake zote hadi utaratibu wa kikatiba utakaporejeshwa nchini.
-
Adolf Hitler ashinda kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa Namibia
Nov 28, 2025 23:56Mwanasiasa wa Namibia aliyepewa jina la dikteta wa zamani wa Ujerumani, Adolf Hitler, ametangazwa mshindi kwa kishindo katika uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa mujibu wa matokeo rasmi yaliyoripotiwa Ijumaa.
-
Rais wa Guinea-Bissau akimbilia Senegal baada ya mapinduzi ya kijeshi
Nov 28, 2025 23:53Rais wa Guinea-Bissau aliyeondolewa madarakani, Umaro Sissoco Embaló, amekimbilia nchi jirani ya Senegal baada ya jeshi kuchukua mamlaka kufuatia uchaguzi ulioibua utata, maafisa wamesema.
-
Kagame: Nina matumaini mazungumzo yangu na Tshisekedi yatakuwa chanya
Nov 28, 2025 08:13Rais Paul Kagame wa Rwanda amesema ana matumaini kuwa, mazungumzo yaliyopangwa kufanyika Marekani kati yake na Rais Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo yataleta matokeo chanya.
-
Afrika Kusini yailaani Marekani kwa kuizuia kushiriki Mkutano wa G20 wa 2026
Nov 28, 2025 03:03Afrika Kusini imelaani nia ya rais wa Marekani Donald Trump ya kuizuia nchi hiyo kuhudhuria Mkutano wa Kundi la 20 (G20) huko Miami, Florida, mwaka ujao.
-
Oxfam: Nusu ya Wakenya katika umasikini; matajiri 125 wanamiliki utajiri wa watu milioni 42.6
Nov 27, 2025 23:30Ripoti iliyotolewa na Shirika la Oxfam inaonyesha kuwa, matajiri 125 wanamiliki zaidi ya utajiri wa Wakenya milioni 42.6, huku nusu ya wananchi wakiishi kwa chini ya KSh130 kwa siku.