-
Ombi la Guterres la kutokomezwa silaha za nyuklia, siku ya kumbukumbu ya mauaji ya Hiroshima
Aug 09, 2024 08:31Katika kuadhimisha mwaka wa 79 wa shambulio la bomu la atomiki lililofanywa na Marekani huko Hiroshima, Japan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ametoa wito wa kutokomezwa silaha za nyuklia duniani kote na kuahidi kwamba Umoja wa Mataifa hautaacha juhudi za kuhakikisha kwamba maafa ya siku hiyo hayarudiwi tena.
-
Madhara na uharibifu wa kinyama unaofanywa na Wazayuni katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina
Aug 08, 2024 23:16Utawala wa Kizayuni wa Israel haujajiwekea mipaka yoyote katika mauaji ya halaiki na ya kimbari unayofanya dhidi ya wananchi wa Palestina. Askari wenyewe wa jeshi la utawala huo dhalimu wamekuwa wakikiri waziwazi na bila ya hofu kwamba wanawaua makusudi Wapalestina wasio na ulinzi wa Ukanda wa Ghaza.
-
Kiwewe cha Wazayuni baada ya kuchaguliwa Yahya Sinwar kuwa mkuu mpya wa ofisi ya kisiasa ya HAMAS
Aug 07, 2024 22:53Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imemteua Yahya Sinwar kuwa Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati hiyo ya muqawama, kujaza nafasi iliyoachwa wazi na hayati Ismail Haniyah.
-
Uingereza katika dimbwi la ghasia za siasa kali za wafuasi wa mrengo wa kulia
Aug 07, 2024 09:20Serikali ya Uingereza imeitisha kikao cha dharura ikiwa ni radiamali ya kuenea ghasia na vitendo vya utumiaji mabavu vya wafuasi wa mrengo wa kulia dhidi ya wahamiaji na Waislamu.
-
Utendaji wa kiuadui wa Israel dhidi ya Iran na muqawama na athari hasi za kijamii katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu
Aug 07, 2024 09:01Hali na mazingira ya kijamii katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) yapo kwa namna ambayo vitisho vya nje vitakuwa na uharibifu mkubwa na matokeo mabaya kwa jamii hiyo.
-
Iran na Russia katika mkondo wa kuimarisha ushirikiano
Aug 06, 2024 10:42Jumatatu ya jana tarehe 5 Agosti, Katibu wa Baraza la Usalama la Taifa la Shirikisho la Russia aliwasili mjini Tehran kwa lengo la kuimarisha maingiliano na kuchunguza masuala ya kieneo, kimataifa na uhusiano wa pande mbili.
-
Takwa la Baghdad la kuondolewa wanajeshi wa Marekani kutoka Iraq
Aug 06, 2024 10:41Kamisheni ya Usalama na Ulinzi ya Bunge la Iraq imetoa mwito wa kuainishwa ratiba na jedwali la kuondoka wanajeshi wa Marekani kutoka katika ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu
-
Matokeo ya operesheni 2,500 za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon dhidi ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu
Aug 05, 2024 11:41Katika siku 300 zilizopita tangu kuanza hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Hizbullah ya Lebanon imelenga shabaha maeneo mbalimbali utawala huo katika operesheni za kijeshi 2,500.
-
Ukosoaji wa Iran kwa baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuunga mkono vitendo vya kigaidi vya Israel
Aug 04, 2024 23:01Ali Bagheri Kani, Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo haki ya kisheria ya Tehran ya kuuadhibu utawala wa Kizayuni; na amelaani na kukemea hatua ya baadhi ya nchi za Ulaya ya kushirikiana na Marekani kuzuia kulaaniwa mauaji ya Kiongozi Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) shahidi Ismail Haniyeh katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Umoja wa Wapalestina katika Siku ya Kitaifa na Kimataifa ya kuunga mkono Ghaza na mateka wa Kipalestina
Aug 04, 2024 07:22Miji mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan imeshuhudia maandamano ya kupinga vita vya Wazayuni dhidi ya wananchi wa Palestina na mauaji ya kimbari dhidi yao katika siku ya kitaifa na kimataifa ya kuisaidia na kuiunga mkono Ghaza na mateka Wapalestina.