-
Uhusiano wa Tehran na Riyadh katika njia ya ustawi
Aug 03, 2024 22:55Ujumbe wa maandishi wa Mlfalme wa Saudi Arabia kwa Rais mpya wa Iran unaonyesha kuwa Saudi Arabia, kama ilivyo Iran, inataka kuimarisha na kustawisha uhusiano mpya wa pande mbili ulioanza katika kipindi cha uongozi wa Shahid Ebrahim Raisi; na kuendelea kwa uhusiano na ushirikiano huu kuna manufaa ya pande mbili.
-
Utawala wa Kizayuni waingiwa na hofu na kiwewe cha kukabiliwa na jibu kali la Iran na muqawama
Aug 03, 2024 10:24Viongozi watenda jinai wa utawala wa Kizayuni wanapitia kipindi kigumu cha hofu, kiwewe na wasiwasi wakisubiri jibu kali la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na makundi ya muqawama kutoka na kitendo chao cha kumuua kigaidi Shahidi Ismail Haniyeh, Kiongozi wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas alipokuwa safarini mjini Tehran.
-
Siasa za serikali ya 14 ya Iran ni kuendeleza ushirikiano mzuri na nchi jirani na za dunia
Aug 03, 2024 00:50Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa siasa za serikali ya 14 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa siasa za kigeni ni kuwa na maingiliano mazuri na yenye uwiano na nchi jirani na dunia nzima kwa ujumla kwa lengo la kudhamini haki na maslahi ya taifa la Iran.
-
Jinai ya kuuliwa kigaidi Haniyeh; matokeo ya kuzembea jamii ya kimataifa mbele ya mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni huko Gaza
Aug 02, 2024 09:02Katika kikao cha dharura cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichoitishwa kwa ajili ya kujadili mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyeh yaliyofanywa na utawala wa kigaidi wa Israel, viongozi wa baadhi ya nchi wamesisitiza kuwa, mauaji ya mkuu huyo wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas ni natija ya kuzembea jamii ya kimataifa na kutochukua hatua ya kusimamisha mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo huko Gaza.
-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu kuuawa kigaidi Shahidi Haniyeh
Aug 01, 2024 23:06Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza katika kikao cha Baraza la Usalama kuhusu kuuawa kigaidi Shahidi Ismail Haniyeh Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Hamas kuwa nafasi ya Marekani kama mshirika wa kistratijia na muungaji mkono mkuu wa utawala wa Israel katika eneo katika jinai hiyo ya kutisha haipaswi kupuuzwa.
-
Utawala wa Kizayuni usubiri jibu kali kwa kumwaga damu ya Shahidi Ismail Haniyeh
Aug 01, 2024 07:15Katika tukio jipya la kuibua chokochoko katika eneo, utawala ghasibu wa Kizayuni kwa mara nyingine tena umefanya kitendo kingine cha ugaidi kwa uungwaji mkono wa Marekani, ambapo umemuua shahidi Ismail Haniyeh kiongozi wa kisiasa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) mjini Tehran.
-
Msimamo wa pamoja wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Rais Masoud Pezeshkian kuhusu uungaji mkono kwa taifa la Palestina
Jul 31, 2024 22:56Ayatullah Ali Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Daktari Masoud Pezeshkian, Rais mpya wa Iran siku ya Jumanne katika vikao vyao na marehemu Ismail Haniyeh, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Hamas na Ziad al-Nakhaleh, Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihad Islami ya Palestina walisisitiza kwamba suala la kuiunga mkono Palestina ni msimamo imara na wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Shahidi Haniyeh; mwanamapambano imara na shupavu
Jul 31, 2024 08:43Shahidi Ismail Haniyeh Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) alikuwa mwanamapambano ambaye alijitolea maisha yake yote katika kuendesha mapambano dhidi ya maadui wa Uislamu.
-
Kushadidi mvutano baina ya Uturuki na utawala ghasibu wa Israel
Jul 30, 2024 23:34Matamshi ya rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdoğan kuhusu uwezekano wa kuchukua hatua dhidi ya Israel sawa na hatua zilizochukuliwa Karabakh na Libya yameongeza mvutano wa maneno kati ya Ankara na Tel Aviv.
-
Ushindi wa Nicolas Maduro na kuanza uingiliaji wa kigeni katika masuala ya ndani ya Venezuela
Jul 30, 2024 08:27Baada ya ushindi wa Nicolas Maduro katika uchaguzi wa rais wa Venezuela na kuanza uingiliaji wa kigeni katika masuala ya nchi hiyo, Caracas imewaita nyumbani wanadiplomasia wake kutoka nchi saba na kuzitaka nchi hizo kuwaondoa wanadiplomasia wao kutoka Venezuela.