-
Iran yaionya Israel dhidi ya 'chokochoko mpya' kuhusu Lebanon
Jul 29, 2024 22:57Nasser Kan'ani, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametahadharisha dhidi ya chokochoko mpya za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Lebanon kwa kisingizio cha tukio la Majdal Shams katika eneo linalokaliwa kwa mabavu na utawala huo la Golan nchini Syria.
-
Matarajio ya Kiongozi Muadhamu kuhusu sera ya kigeni katika Serikali ya Awamu ya 14
Jul 29, 2024 11:52Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ameelezea matarajio yake katika uga wa sera za kigeni katika sherehe ya kuidhinishwa rais mpya Masoud Pezeshkian iliyofanyika jana Jumapili tarehe 28 Julai mjini Tehran.
-
Indhari ya Ali Bagheri kwa Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Ujerumani
Jul 28, 2024 23:01Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kufungwa vituo vya Kiislamu nchini Ujerumani ni kitendo cha kisiasa kabisa kinachoendana na chuki dhidi ya Uislamu na maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mateka wa Kipalestina; kuendelea muqawama sambamba na kushadidi ukatili wa Wazayuni
Jul 28, 2024 11:02Katika hali ambayo, utumiaji mabavu na ukatili wa Wazayuni dhidi ya mateka wa Kipalestina umechukua mkondo na wigo mpana zaidi, mateka wa Kipalestina wameshikamana na muqawama na njia ya kufa shahidi.
-
Kikao cha Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza; muendelezo wa uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni
Jul 27, 2024 22:59Suala la hali mbaya ya Ukanda wa Gaza siku ta Ijumaa kwa mara nyingine tena liliwekwa katika ajenda ya utendaji ya kikao cha nchi 15 wanachama wa Baraza la Usalama la UN sambamba na Bejamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni kushiriki katika kikao hicho huko Marekani.
-
Sisitizo la Iran la ulazima wa "kupigwa buti" sarafu ya dola katika mabadilishano ya biashara
Jul 26, 2024 22:53Naibu Gavana wa Benki Kuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa kuna udharura kwa nchi za dunia kufanya biashara na kuendesha miamala baina yao kwa kutegemea sarafu za nchi zao na si kwa kutumia dola ya Marekani au Euro ya Ulaya.
-
Hatua mpya ya Ujerumani dhidi ya Uislamu, kupigwa marufuku kazi za kituo cha Kiislamu
Jul 26, 2024 07:04Serikali ya Ujerumani imepiga marufuku shughuli za kituo cha Kiislamu cha Hamburg na taasisi tanzu za kituo hicho licha ya umuhimu wake mkubwa kwa Waislamu.
-
Tuhuma za Netanyahu dhidi ya Iran mbele ya Kongresi ya Marekani na njozi yake kuhusu Baitul Muqaddas
Jul 25, 2024 23:07Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni amehutubia Bunge la Marekani la Kongresi, ambapo mbali na kutoa shukurani kwa uungaji mkono wa kila hali wa serikali ya Marekani kwa duru mpya ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo katika Ukanda wa Ghaza, kwa mara nyingine ameibua tuhuma dhidi ya Iran na kuzungumzia njozi aliyonayo kuhusu Baitul Muqaddas.
-
Onyo la Mashirika ya Kimataifa kuhusu hali mbaya ya wagonjwa huko Gaza
Jul 25, 2024 05:59Wagonjwa katika Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na hatari ya kifo kutokana na kuendelea mashambulizi ya mabomu ya utawala wa Kizayuni na vilevile hatua ya utawala huo ya kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia katika ukanda huo.
-
Makubaliano ya makundi ya Palestina kwa ajili ya mshikamano na kuimarisha umoja
Jul 24, 2024 22:59Kwa kuwa mwenyeji wa makundi ya Wapalestina, China imefanikiwa kufanikisha maridhiano kati ya makundi hayo, ambayo mwendelezo wake unaweza kuwa na taathira chanya sio tu kwa Palestina, bali pia kwa eneo na ulimwengu mzima kwa ujumla.