-
Holocaust Halisi Inafanyika Ukanda wa Gaza
Oct 19, 2023 04:08Juzi usiku utawala wa Kizayuni wa Israel ulifanya jinai isiyo na kifani kwa kushambulia Hospitali ya al-Ma'madani katika Ukanda wa Gaza kwa bomu lenye uzito wa tani moja na kuua shahidi raia karibu elfu moja na mia moja.
-
Kumalizika muda wa vikwazo vya makombora dhidi ya Iran
Oct 19, 2023 01:09Tarehe 18 Oktoba 2023 vikwazo vya makombora dhidi ya Iran vilimalizika kwa mujibu wa Azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Baada ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutangazwa Juni 2015, iliamuliwa kuwa vikwazo vya silaha vya Iran vitamalizika baada ya miaka 5, yaani Oktoba 2020, na vikwazo vya makombora vitamalizika baada ya miaka 8 yaani Oktoba 2023.
-
Mauaji ya umati ya Wapalestina, mkakati wa utawala wa Kizayuni wa kufunika kushindwa kubwa
Oct 18, 2023 08:47Utawala wa Kizayuni ambao ulipata mshtuko mkubwa kwa kushindwa na kufedheheshwa kijeshi katika operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa, unatekeleza mauaji ya umati dhidi ya Wapalestina ili kufidia kushindwa huko.
-
Onyo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea jinai za Wazayuni
Oct 18, 2023 04:27Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kusitishwa mashambulizi na jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Kuendelea uungaji mkono wa jamii ya kimataifa hususan nchi za Kiislamu kwa wananchi wa Gaza
Oct 17, 2023 22:58Sambamba na kupita zaidi ya siku kumi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze kufanya jinai dhidi ya wananchi wa Gaza, himaya na uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza na wanamapambano wa Palestina nao unaendelea.
-
Sababu za kuakhirishwa vita vya ardhini dhidi ya Gaza
Oct 17, 2023 07:54Utawala wa Kizayuni wa Israel ulipaswa kuanzisha vita vya ardhini dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza kuanzia juzi, Jumapili, lakini uamuzi huo umeahirishwa.
-
Safari ya kieneo ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Oct 17, 2023 02:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye amezitembelea nchi nne za Kiarabu za eneo la Asia Magharibi akiongoza ujumbe wa kisiasa kufuatia matukio ya hivi karibuni ya Palestina, amerejea mjini Tehran baada ya kushauriana na viongozi wa nchi hizo na vilevile baadhi ya viongozi wa harakati za mapambano ya ukumbozi wa Palestina.
-
Ulazima wa kuchukuliwa hatua za kuzuia jinai zinaoongezeka za Israeli huko Gaza
Oct 17, 2023 00:21Katika siku ya kumi ya uvamizi wa kijeshi wa utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Ghaza baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, maeneo ya makazi katika ukanda huo bado yanaendelea kulengwa na mashambulizi ya utawala huo. Kwa mujibu wa ripoti ya Wizara ya Afya ya Palestina, asilimia 66 ya wahanga wa jinai hiyo ni watoto.
-
Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina
Oct 16, 2023 08:43Polisi ya Chicago imetangaza kuwa mkazi mmoja wa mji huo amemuua mvulana wa Kipalestina wa miaka 6 kwa kisu na kumjeruhi vibaya mama yake.
-
Pengo la wazi katika misimamo ya wananchi na madola yenye nguvu duniani kuhusu vita vya Gaza
Oct 16, 2023 04:28Siku kumi zimepita tangu kuanza vita vya pande zote vya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza, ambapo huku wananchi wa mataifa mbalimbali wakilaani jinai za utawala huo unaoukalia kwa mabavu Quds Tukufu, mabeberu wa dunia bado wanaendelea ima kuunga mkono utawala huo ghasibu au kunyamazia kimya jinai zake za kivita.