-
Mgawanyiko katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu; Netanyahu akiri kushindwa vyombo vya usalama na ujasusi
Oct 31, 2023 23:30Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel amefuta katika mtandao wa kijamii wa X ujumbe aliokuwa ameuandika akiashiria kushindwa vyombo vya usalama vya utawala huo kutabiri na kufuatilia shambulio la operesheni ya Kimbunga cha al- Aqsa iliyotekelezwa na wapiganaji shupavu wa Harakati ya Mapambano ya Kislamu ya Palestina Hamas.
-
Operesheni ya mauaji ya kimbari ya Israel huko Ghaza
Oct 31, 2023 05:30Katika muendelezo wa mashambulizi ya kikatili ya vikosi vya utawala wa Kizayuni dhidi ya maeneo tofauti ya Ukanda wa Ghaza, misikiti na hospitali za eneo hilo bado ni shabaha ya makusudi ya mashambulizi hayo.
-
Kuongezeka changamoto za kiuchumi kwa utawala wa Kizayuni kufuatia kuendelea vita vya Gaza
Oct 31, 2023 01:41Kimbunga cha Al Asqa na vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza vimekuwa na taathira mbalimbali ambapo moja ya taathira kuu za vita hivyo ni kuongezeka changamoto za kiuchumi kwa utawala huo.
-
Kushtadi mvutano baina ya Russia na utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 30, 2023 23:05Mvutano baina ya Russia na utawala ghasibu wa Israel umeshadidi baada ya ziara ya wawakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) mjini Moscow.
-
Hatua mpya za Marekani katika fremu ya kuuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel
Oct 30, 2023 08:05Tangu kuanza duru mpya ya vita kati ya utawala wa Kizayuni na makundi ya muqawama ya Palestina na operesheni ya Kimbunga ya Al-Aqsa na radiamali kali ya Wazayuni dhidi ya hatua hiyo, Marekani ikiwa mshirika wa kistratijia wa Israel imetoa himaya kubwa ya kisiasa, kidiplomasia na kijeshi kwa utawala huo ghasibu. Filihali Washington imechukua hatua mpya katika mwelekeo huu.
-
Vita vya Ukraine na Ghaza vinavyozidi kuyanufaisha makampuni ya silaha ya Marekani
Oct 30, 2023 04:13Vita nchini Ukraine vinaendelea sambamba na kuongezeka mashambulizi ya kinyama ya Israel dhidi ya Ukanda wa Ghaza huko Palestina huku ripoti zikisema kuwa, viwanda vya kuzalisha silaha vya nchini Marekani vinafaidika mno na vita hivyo.
-
Ujumbe wa maandamano makubwa ya waungaji mkono wa Palestina kimataifa
Oct 30, 2023 01:14Zikiwa zimepita wiki tatu tokea kuanza jinai za Wazayuni huko Gaza, uungaji mkono kwa wananchi wa Palestina bado unaendelea kuongezeka katika nchi mbalimbali za Asia na mataifa mengine ulimwenguni.
-
Operesheni ya nchi kavu, kelele tupu za Israeli; raia ndio shabaha rahisi ya Netanyahu
Oct 29, 2023 08:34Ijapokuwa imekuwa vigumu kwa kiasi fulani kupata habari na ripoti kuhusu hali ya maafa na hasara inayosababishwa na mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni huko Ukanda wa Ghaza, kufuatia hatua ya makusudi ya utawala huo ya kukata Intaneti na kuwalenga waandishi wa habari, lakini habari chache zinazotoka katika ukanda huo zinaashiria kuwa operesheni ya nchi kavu ya utawala huo imefeli pakubwa licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa nga na ushiriki wa majeshi ya Marekani katika operesheni hiyo.
-
Kukaribisha HAMAS azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Oct 29, 2023 02:07Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekaribisha azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Gaza na kutangaza kuwa inataka Baraza Kuu la umoja huo na taasisi zingine husika za kimataifa kutekeleza hatua za lazima kwa ajili ya utekelezaji wa haraka wa azimio hilo ili vivuko vya Gaza vifunguliea tena na hivyo kuruhusu nishati ya mafuta na misaada ya haraka ya kibinadamu iwafikie watu wa eneo hilo.
-
Mauaji ya makusudi ya raia wa Gaza bado ni shabaha rahisi kwa Netanyahu na genge lake
Oct 28, 2023 23:29Tukiwa katika siku ya 22 ya mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza, kuna mambo kadhaa ya kuzingatiwa. Kwanza ni kwamba, shambulio la nchi kavu la utawala wa Kizayuni huko Gaza ambalo limeanzishwa kutoka pande tatu limeshindwa, na jeshi la utawala huo limeshindwa kusonga mbele.