-
Operesheni yenye maafa makubwa ya Netanyahu huko Gaza
Oct 15, 2023 22:58Utawala wa Kizayuni na Baraza la Mawaziri lenye misimamo mikali na amblo pia ni la mrengo wa kulia la Netanyahu linatekeleza mashambulizi mauaji makubwa na ya kijinai huko Ghaza.
-
Nchi za Kiarabu zapinga vikali kulazimishwa kuhama wakazi wa kaskazini mwa Ghaza
Oct 15, 2023 10:24Nchi za Kiarabu zinapinga vikali mpango wa Utawala wa Kizayuni wa kuwahamisha kwa nguvu wakazi wa kaskazini mwa Ghaza.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu la kuungwa mkono Wapalestina
Oct 15, 2023 04:11Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, jana (Jumamosi) alionana na Sheikh Ibrahim Zakzaky, Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na familia yake hapa mjini Tehran na sambamba na kugusia hali ya ardhi za Palestina hivi sasa hasa Ghaza amesema, leo hii moja ya madhihirisho ya nguvu za Uislamu ni haya mambo yanayotokea hivi sasa huko Palestina.
-
Jitihada za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari za Wapalestina katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari
Oct 14, 2023 22:53Baada ya kuanza oparesheni kwa jina la "Kimbunga cha Al Aqsa" iliyotekelezwa na Hamas na makundi mengine ya mapambano ya Palestina; serikali na vyombo vya habari vya Magharibi kwa upande mmoja vimeanzisha propaganda kubwa ili kuzuia kuakisiwa habari na matukio yanayojiri huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku vikichapisha na kutoa habari za uwongo ili kuonyesha taswira isiyo ya kibinadamu kuhusu wanamapambano wa Palestina.
-
Daesh imehusika na mlipuko wa Pul-e-Khumri nchini Afghanistan
Oct 14, 2023 08:59Kundi la kigaidi la Daesh limetangaza kuhusika na mlipuko katika msikiti wa Imam Zaman (A.S) huko Pul--Khumri makao makuu ya jimbo la Baghlan kaskazini mwa Afghanistan. Watu wasiopungua 30 wameuawa shahidi na wengine 50 kujeruhiwa.
-
Msimamo wa China unaokinzana na Wazayuni kuhusu mgogoro wa Gaza
Oct 14, 2023 04:11Tangu siku za mwanzo kabisa za shambulio la kasi ya radi la Hamas dhidi ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, msimamo wa China kuhusu suala hilo haukuziridhisha Marekani na Wazayuni.
-
Kuundwa baraza la mawaziri la dharura; kukiri kudhoofika baraza la mawaziri la Netanyahu
Oct 13, 2023 23:32Siku tano baada ya kujiri operesheni ya kushtukiza ya Kimbunga cha al-Aqsa, Benjamin Netanyahu Wazri Mkuu wa utawala ghasibu wa Israel amelazimika kukubali kuunda baraza la mawaziri la dharura.
-
Safari ya kieneo ya Amir Abdollahian inayoangazia vita vya Gaza
Oct 13, 2023 08:07Huku utawala wa Kizayuni ukiendeleza hujuma na vita vyake vya jinai dhidi ya watu wasio na hatia wa Ukanda wa Gaza, Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anasisitiza ulazima wa kukomeshwa jinai hizo za Wazayuni kwa kufanya safari katika nchi kadhaa za eneo.
-
Mgawanyiko mkubwa nchini Marekani juu ya matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu
Oct 12, 2023 23:05Matukio ya hivi karibuni ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu hususan operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa na mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, kwa hakika mauaji ya halaiki ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, yameubua migawanyiko kati ya wanasiasa wa Marekani.
-
Kulipiza kisasi cha kushindwa kukubwa kwa gharama ya kufanya jinai za kivita
Oct 12, 2023 08:14Ikiwa ni katika juhudi za kulipiza kisasi cha kushindwa katika operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, utawala wa Kizayuni umeamua kuwaua kwa umati watu wa Ukanda wa Gaza kwa kutumia silaha zilizopigwa marufuku kimataifa, yakiwemo mabomu ya fosforasi.