Uchambuzi
  • Msimamo tofauti wa Russia na China kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa

    Msimamo tofauti wa Russia na China kuhusu operesheni ya Kimbunga cha al-Aqswa

    Oct 11, 2023 23:01

    Licha ya uungaji mkono kamili wa Marekani na washirika wake wa magharibi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel baada ya operesheni ya Kimbunga ya al-Aqswa na hata Washington kutuma misaada ya kijeshi na zana za kivita kwa utawala huo ghasibu, lakini Russia na China, yakiwa madola mawili hasimu na washindani wa Magharibi, yamechukua msimamo tofauti katika uwanja huu.

  • Kimbunga cha al-Aqswa; kushadidi uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni

    Kimbunga cha al-Aqswa; kushadidi uungaji mkono wa Marekani kwa utawala wa Kizayuni

    Oct 11, 2023 10:58

    Katika hali ambayo, Wapalestina wanaendelea kuandamwa na hujuma na mashambulio ya mabomu ya utawala wa Kizayuni wa Israel, Rais Joe Biden wa Marekani ametangaza kuwa nchi hiyo itatoa silaha zaidi kwa Wazayuni.

  •  Mauaji ya makusudi dhidi ya raia wa Ghaza wasio na hatia

    Mauaji ya makusudi dhidi ya raia wa Ghaza wasio na hatia

    Oct 11, 2023 01:18

    Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni ametangaza kuwa ametoa amri ya kuzingirwa kikamilifu Ukanda wa Ghaza.

  • Mtazamo wa kiongozi Muadhamu: Unapodhulumu, subiri kimbunga

    Mtazamo wa kiongozi Muadhamu: Unapodhulumu, subiri kimbunga

    Oct 10, 2023 09:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo amezungumzia kushindwa "kusikoweza kukarabatiwa" kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Operesheni ya Kimbunga cha al Aqsa ya vijana wa Kipalestina.

  •  Ulipizaji kisasi cha ushindi wa Kimbunga cha Al-Aqsa kwa raia na watoto wa Palestina

    Ulipizaji kisasi cha ushindi wa Kimbunga cha Al-Aqsa kwa raia na watoto wa Palestina

    Oct 10, 2023 05:51

    Baada ya kushindwa na operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa, utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena umezidisha mashambulizi yake ya anga katika maeneo ya makazi huko Ghaza, ambapo unajaribu kubadilisha mlingano wa vifo kwa manufaa yake.

  • Uungaji mkono wa Iran kwa haki ya kisheria ya kujitetea taifa la Palestina

    Uungaji mkono wa Iran kwa haki ya kisheria ya kujitetea taifa la Palestina

    Oct 10, 2023 04:17

    Akizungumza kwa nyakati tofauti kupitia mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami pamoja na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Hamas, kuhusu matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na maghasibu wa Kizayuni, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni unazidi kudhoofika na kudidimia na mrengo wa mapambano kuelekea kwenye kilele cha ushindi.

  • Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Oct 09, 2023 23:06

    Miaka 22 iliyopita, Marekani iliishambulia nchi ya Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi na kurudisha amani nchini humo, jambo ambalo lilipelekea Waafghani kukabiliwa na matatizo na machungu mengi.

  • Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 06:16

    Kufuatia mashambulizi makubwa ya makundi ya mapambano na ukumbozi wa Palestina katika maeneo yanayouzunguka Ukanda wa Ghaza, ambayo yamedhihirisha udhaifu na utepetevu mkubwa wa utawala wa Kizayuni, Marekani imepanga na kutekeleza hatua za kichochezi kwa kisingizio cha eti kuiunga mkono Tel Aviv na kuimarisha ari ya Wazayuni.

  • Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Oct 09, 2023 04:43

    Makundi ya muqawama ya Palestina yenye makao katika Ukanda wa Ghaza yaani harakati ya Hamas na harakati nyingine za Palestina khususan Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina juzi Jumamosi tarehe 7 Oktoba yalianzisha oparesheni kwa jina la Kimbunga cha Al Aqsa dhidi ya utawala wa Kizayuni; oparesheni iliyouduwaza kikamilifu utawala huo na kuwashtua pakubwa Wazayuni.