-
Operesheni ya Hamas sawa na vita vya siku 33
Oct 08, 2023 23:03Jambo ambalo kwa miezi mingi limekuwa jinamizi kwa jeshi la utawala ghasibu wa Isreal na hasa walowezi wa Kizayuni wanaoishi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu karibu na mpaka wa Ukanda wa Gaza limetimia kivitendo kufuatia operesheni ya kushtukiza ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyotekelezwa kwa mafanikio makubwa Jumamosi na wapiganaji shupavu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas.
-
Uungaji mkono mkubwa kwa mashambulio ya Hamas dhidi ya Israel
Oct 08, 2023 08:05Mashambulio makubwa na ya kushtukiza ya nchi kavu, anga na baharini ya wanamapambano wa Kipalestina dhidi ya walowezi wa Kizayuni wanaokaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina, yaliyopewa jina la Kimbunga cha Al-Aqsa yamepata uungaji mkono mkubwa wa kieneo na kimataifa.
-
Kimbunga cha al-Aqsa; Mshutuko mkubwa wa kijeshi kwa Israeli +video
Oct 08, 2023 04:36Jana tarehe 7 Oktoba 2023 Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilitekeleza oparesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, jambo ambalo limeshtua na kuuwacha utawala huo kinywa wazi.
-
Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji
Oct 07, 2023 22:57Hitilafu kuhusu kadhia ya wahamiaji miongoni mwa nchi za Umoja wa Ulaya zingali zinaendelea licha ya makubaliano ya hivi karibuni kuhusu suala hilo.
-
Safari ya Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran nchini Imarati (UAE)
Oct 07, 2023 08:32Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) ambaye juzi Alhamisi aliwasili Abu Dhabi nchini Imarati kwa ziara ya siku mbili na kwa lengo la kustawisha uhusiano wa pande mbili amekutana na kufanya mazungumzo na Muhammad bin Zayid al Nahyan Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Jinai ya Homs; Kuongeza uwezekano wa kufufuliwa ugaidi unaoungwa mkono na Marekani nchini Syria
Oct 07, 2023 04:44Shambulio la kigaidi la Alkhamisi, Oktoba 5, kwenye sherehe ya kuhitimu mafunzo ya wanafunzi wa chuo kikuu cha maafisa wa jeshi katika mkoa wa Homs, kaskazini magharibi mwa Syria, lilisababisha vifo vya watu wasiopungua 80 na kujeruhi wengine zaidi ya 240.
-
Ujumbe wa gwaride kubwa la Brigedi ya al-Quds katika kumbukumbu ya miaka 36 ya kuasisiwa Jihad Islami
Oct 06, 2023 22:55Saraya al-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina lilifanya gwaride lake kubwa zaidi la kijeshi katika Ukanda wa Gaza juzi tarehe 4 Oktoba kwa mnasaba wa mwaka wa 36 wa kuasisiwa harakati hiyo.
-
Radiamali ya kwanza ya serikali ya Ankara kuhusu mlipuko wa kigaidi katika mji mkuu
Oct 06, 2023 04:37Katika radiamali yake ya kwanza kuhusu mlipuko wa kigaidi katika kituo cha polisi mjini Ankara, serikali ya Uturuki imesema itapambana vikali na ugaidi katika kona zote za nchi hiyo.
-
Wasiwasi wa Biden kuhusu kukatizwa misaada ya Ukraine
Oct 05, 2023 23:18Mvutano wa ndani wa Warepublican umetatiza mazungumzo ya bajeti katika Baraza la Wawakilishi la Marekani umepelekea Ikulu ya White House kuwa na wasiwasi juu ya kuendelea kuunga mkono Kyiv kama kipaumbele kikuu cha siasa za kigeni za utawala wa Biden.
-
Kuongezeka nguvu ya Hizbullah; jinamizi kwa Wazayuni
Oct 05, 2023 08:16Kuongezeka uwezo wa Hizbullah daima kumekuwa kukiwapa wasiwasi mkubwa watawala wa Kizayuni, na hasa maafisa wa kijeshi ambao wamekuwa wakilitumia suala hilo kama kisingizio cha kufikia malengo yao.