-
Uungaji mkono wa pamoja wa Serikali na wananchi wa mataifa ya Kiislamu kwa Palestina
Oct 21, 2023 02:46Moja ya matunda muhimu yaliyopatikana kutokana na jinai za kinyama na za kutisha zilizofanywa, na zinazoendelea kufanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni kujitokeza msimamo na mwafaka wa pamoja wa Serikali na wananchi wa mataifa ya Kiislamu katika kuiunga mkono Palestina.
-
Hatimaye Netanyahu amdhibiti Biden
Oct 20, 2023 22:54Biden ambaye awali alijiepusha kumwalika Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa kibaguzi wa Israel katika Ikulu ya White House, ameshawishika kukubali hila za Netanyahu, ambapo amesimamisha shughuli zake zote huko Marekani na kuamua kumtembelea katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu katika kilele cha uzee wake.
-
Holocaust ya karne mara hii yatekelezwa Gaza
Oct 20, 2023 09:00Wakati dunia ingali katika mshangao wa kushambuliwa kwa mabomu hospitali iliyojaa Wapalestina waliojeruhiwa na jeshi la utawala ghasibu wa Israel, mashambulizi makali ya anga na makombora ya utawala huo yangali yanaendelea dhidi ya Ukanda mzima wa Ghaza kwa wiki ya pili mfululizo.
-
Wasiwasi wa kimataifa kuhusu mgogoro wa kibinadamu Ukanda wa Ghaza
Oct 19, 2023 23:07Shambulio la utawala wa Kizayuni katika hospitali huko katika Ukanda wa Ghaza limelaaniwa na pande mbalimbali kimataifa.
-
Kikao kisichokuwa na natija cha Baraza la Usalama: Marekani yapinga usitishaji mapigano Gaza
Oct 19, 2023 07:20Jumatano, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilikataa tena azimio la kusitisha mapigano huko Gaza kufuatia upinzani wa Marekani. Marekani ilipinga azimio lililopendekezwa kwa Baraza la Usalama na Brazil, lililotaka kusitishwa mapigano ili kufikishwa misaada ya kibinadamu Ghaza.
-
Holocaust Halisi Inafanyika Ukanda wa Gaza
Oct 19, 2023 04:08Juzi usiku utawala wa Kizayuni wa Israel ulifanya jinai isiyo na kifani kwa kushambulia Hospitali ya al-Ma'madani katika Ukanda wa Gaza kwa bomu lenye uzito wa tani moja na kuua shahidi raia karibu elfu moja na mia moja.
-
Kumalizika muda wa vikwazo vya makombora dhidi ya Iran
Oct 19, 2023 01:09Tarehe 18 Oktoba 2023 vikwazo vya makombora dhidi ya Iran vilimalizika kwa mujibu wa Azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Baada ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kutangazwa Juni 2015, iliamuliwa kuwa vikwazo vya silaha vya Iran vitamalizika baada ya miaka 5, yaani Oktoba 2020, na vikwazo vya makombora vitamalizika baada ya miaka 8 yaani Oktoba 2023.
-
Mauaji ya umati ya Wapalestina, mkakati wa utawala wa Kizayuni wa kufunika kushindwa kubwa
Oct 18, 2023 08:47Utawala wa Kizayuni ambao ulipata mshtuko mkubwa kwa kushindwa na kufedheheshwa kijeshi katika operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa, unatekeleza mauaji ya umati dhidi ya Wapalestina ili kufidia kushindwa huko.
-
Onyo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kuhusu kuendelea jinai za Wazayuni
Oct 18, 2023 04:27Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitizia ulazima wa kusitishwa mashambulizi na jinai za utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza.
-
Kuendelea uungaji mkono wa jamii ya kimataifa hususan nchi za Kiislamu kwa wananchi wa Gaza
Oct 17, 2023 22:58Sambamba na kupita zaidi ya siku kumi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze kufanya jinai dhidi ya wananchi wa Gaza, himaya na uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza na wanamapambano wa Palestina nao unaendelea.