-
Ijumaa ya umwagaji damu nchini Pakistan na umuhimu wa kukabiliana kieneo na ugaidi
Oct 01, 2023 08:24Saa chache baada ya kutokea mlipuko wa umwagaji damu katika maandamano ya Maulid ya Mtume (SAW) hao siku ya Ijumaa katika mkoa wa Baluchistan, mashambulizi mengine mawili yalitokea kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo, ambapo kwa ujumla zaidi ya watu 60 wamepoteza maisha
-
Umuhimu wa kupasishwa rasmi jina la Palestina katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki
Oct 01, 2023 04:37Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki, (IAEA) katika kikao chake cha 67 cha kila mwaka huko Vienna, umepiga kura ya kuunga mkono azimio la kupasishwa rasmi jina la "Nchi ya Palestina"
-
Nafasi ya juu ya kielimu ya Iran katika nchi za Kiislamu na dunia
Sep 30, 2023 23:07Makamu wa Rais katika Masuala ya Elimu na Teknolojia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Katika kivuli cha siasa za kistratijia za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, hivi sasa Iran ya Kiislamu imebadilika na kuwa nchi mashuhuri kielimu na yenye wasomi wakubwa na mashirika muhimu ya kiteknolojia.
-
Tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa hadi leo; kuimarika muqawama wa Palestina na kudhoofika Israeli
Sep 30, 2023 07:52Miaka 23 imepita tokea kuanza Intifadha ya Al-Aqsa. Swali muhimu ni kwamba, je, miaka 23 baada ya Intifadha ya Al-Aqsa, ni matukio gani yameshuhudiwa katika mgogoro wa Palestina na Wazayuni.
-
Satelaiti ya Iran Nour 3, thibitisho la kushindwa vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi wa Iran
Sep 30, 2023 03:25Kupitia ujumbe, rais wa Iran amesema kurushwa katika anga za mbali satelaiti ya Iran Nour 3 kwa kutumia kombora la Qased la Iran ni thibitisho la msemo kwamba "sisi tunaweza" na wakati huo huo ni dhihirisho la kufeli vikwazo dhidi ya irada ya wanasayansi vijana wa Iran.
-
Umoja wa Mataifa wakosoa hatua mpya ya Ufaransa dhidi ya hijabu ya Kiislamu
Sep 29, 2023 04:47Marta Hurtado, Msemaji wa Ofisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa, Jumatano alikosoa marufuku ya uvaaji hijabu kwa wanariadha wa Ufaransa katika michezo ya Olimpiki ya 2024, ambayo imepangwa kufanyika Paris mwaka ujao.
-
Ukumbusho na indhari ya Iran kwa UN kuhusu utambulisho na matokeo ya vitisho vya utawala wa Kizayuni
Sep 29, 2023 00:29Amir Saeid Iravani Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amewaandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mwenyekiti wa Baraza Kuu la UN na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kuhusu matamshi ya vitisho ya karibuni ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.
-
Al-Khalil, mji mkuu wa kiutamaduni wa ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2026
Sep 28, 2023 05:55Katika mkutano wake huko Doha, mji mkuu wa Qatar, Baraza la Mawaziri wa Utamaduni wa Ulimwengu wa Kiislamu limeuchagua mji wa al-Khalil, ulioko Palestina, kuwa mji mkuu wa kiutamaduni wa Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2026.
-
Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani
Sep 28, 2023 04:23Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu dunia kuingia katika mashindano mapya ya silaha za nyuklia ambayo yanaweza kueneza maafa duniani kote. Katika siku ya mwisho ya mkutano wa mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama amesema mashindano ya silaha yanatia wasiwasi wa kuongezeka karibuni idadi ya silaha za nyuklia ulimwenguni.
-
Upinzani wa serikali ya Sana'a dhidi ya kutawaliwa nchi hiyo.
Sep 27, 2023 23:32Mahdi al-Mashat, Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema katika hotuba yake mbele ya familia za mashahidi wa Yemen kuwa nchi hiyo haitakubali kuwa chini ya udhibiti wa nchi yoyote ya kigeni.