-
Sababu za kuakhirishwa vita vya ardhini dhidi ya Gaza
Oct 17, 2023 07:54Utawala wa Kizayuni wa Israel ulipaswa kuanzisha vita vya ardhini dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza kuanzia juzi, Jumapili, lakini uamuzi huo umeahirishwa.
-
Safari ya kieneo ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Oct 17, 2023 02:42Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ambaye amezitembelea nchi nne za Kiarabu za eneo la Asia Magharibi akiongoza ujumbe wa kisiasa kufuatia matukio ya hivi karibuni ya Palestina, amerejea mjini Tehran baada ya kushauriana na viongozi wa nchi hizo na vilevile baadhi ya viongozi wa harakati za mapambano ya ukumbozi wa Palestina.
-
Ulazima wa kuchukuliwa hatua za kuzuia jinai zinaoongezeka za Israeli huko Gaza
Oct 17, 2023 00:21Katika siku ya kumi ya uvamizi wa kijeshi wa utawala ghasibu wa Israel katika Ukanda wa Ghaza baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa, maeneo ya makazi katika ukanda huo bado yanaendelea kulengwa na mashambulizi ya utawala huo. Kwa mujibu wa ripoti ya Wizara ya Afya ya Palestina, asilimia 66 ya wahanga wa jinai hiyo ni watoto.
-
Kukaririwa mauaji ya utawala wa Kizayuni dhidi ya watoto huko Marekani kwa kuuawa kinyama mtoto wa Kipalestina
Oct 16, 2023 08:43Polisi ya Chicago imetangaza kuwa mkazi mmoja wa mji huo amemuua mvulana wa Kipalestina wa miaka 6 kwa kisu na kumjeruhi vibaya mama yake.
-
Pengo la wazi katika misimamo ya wananchi na madola yenye nguvu duniani kuhusu vita vya Gaza
Oct 16, 2023 04:28Siku kumi zimepita tangu kuanza vita vya pande zote vya utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Ghaza, ambapo huku wananchi wa mataifa mbalimbali wakilaani jinai za utawala huo unaoukalia kwa mabavu Quds Tukufu, mabeberu wa dunia bado wanaendelea ima kuunga mkono utawala huo ghasibu au kunyamazia kimya jinai zake za kivita.
-
Operesheni yenye maafa makubwa ya Netanyahu huko Gaza
Oct 15, 2023 22:58Utawala wa Kizayuni na Baraza la Mawaziri lenye misimamo mikali na amblo pia ni la mrengo wa kulia la Netanyahu linatekeleza mashambulizi mauaji makubwa na ya kijinai huko Ghaza.
-
Nchi za Kiarabu zapinga vikali kulazimishwa kuhama wakazi wa kaskazini mwa Ghaza
Oct 15, 2023 10:24Nchi za Kiarabu zinapinga vikali mpango wa Utawala wa Kizayuni wa kuwahamisha kwa nguvu wakazi wa kaskazini mwa Ghaza.
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu la kuungwa mkono Wapalestina
Oct 15, 2023 04:11Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, jana (Jumamosi) alionana na Sheikh Ibrahim Zakzaky, Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na familia yake hapa mjini Tehran na sambamba na kugusia hali ya ardhi za Palestina hivi sasa hasa Ghaza amesema, leo hii moja ya madhihirisho ya nguvu za Uislamu ni haya mambo yanayotokea hivi sasa huko Palestina.
-
Jitihada za Magharibi za kuzuia kuakisiwa habari za Wapalestina katika mitandao ya kijamii na vyombo vya habari
Oct 14, 2023 22:53Baada ya kuanza oparesheni kwa jina la "Kimbunga cha Al Aqsa" iliyotekelezwa na Hamas na makundi mengine ya mapambano ya Palestina; serikali na vyombo vya habari vya Magharibi kwa upande mmoja vimeanzisha propaganda kubwa ili kuzuia kuakisiwa habari na matukio yanayojiri huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu huku vikichapisha na kutoa habari za uwongo ili kuonyesha taswira isiyo ya kibinadamu kuhusu wanamapambano wa Palestina.
-
Daesh imehusika na mlipuko wa Pul-e-Khumri nchini Afghanistan
Oct 14, 2023 08:59Kundi la kigaidi la Daesh limetangaza kuhusika na mlipuko katika msikiti wa Imam Zaman (A.S) huko Pul--Khumri makao makuu ya jimbo la Baghlan kaskazini mwa Afghanistan. Watu wasiopungua 30 wameuawa shahidi na wengine 50 kujeruhiwa.