-
Kutumia vibaya nchi za Magharibi Mashirika ya Kimataifa kuishinikiza Iran
Sep 27, 2023 08:12Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kukosoa siasa za nchi za Magharibi amesema, nchi hizo zinatumia vibaya chombo hicho kama silaha ya kuishinikiza Iran.
-
Kujitoa kimasomaso Israel baada ya kukataliwa na Pakistan madai yake ya kuanzisha uhusiano wa kawaida
Sep 26, 2023 22:50Baada ya Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa utawala wa Kizayuni kudai kuwa huenda nchi nyingi zaidi zikafanya mapatano na Israel, Jalil Abbas Jilani, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan ametangaza kuwa, siasa za Islamabad kwa utawala huo hazijabadilika.
-
Kusalimu amri Ufaransa mbele ya takwa la Niger
Sep 26, 2023 07:02Hatimaye, baada ya wiki kadha za vuta nikuvute, Ufaransa imesalimu amri mbele ya takwa la Niger na kutangaza kwamba, balozi wa Ufaransa nchini Niger, Sylvian Itte, atarejea Paris katika saa chache zijazo.
-
Kukiri kwa Borrell kwamba nchi zinazoendelea zinatafuta mbadala wa Magharibi
Sep 26, 2023 04:00Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya, Josep Borrell, ameandika katika makala iliyochapishwa kwenye blogu yake akisema: "Sheria zinazotawala dunia zinachakaa na nchi zinazoendelea za kusini mwa dunia zinatafuta mbadala wa Magharibi."
-
Kushadidi jinai za Utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza
Sep 25, 2023 23:21Wanajeshi wa Kizayuni wameushambulia mji wa Tulkarem katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwaua shahidi vijana wawili wa Kipalestina.
-
Mikutano ya kidiplomasia New York; fursa ya kubainishwa diplomasia ya Iran
Sep 25, 2023 05:46Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kufanyika vikao na mazungumzo na viongozi wa nchi mbalimbali pambizoni mwa kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kumeandaa uwanja wa kuimarishwa diplomasia ya Iran ulimwenguni.
-
Pigo kubwa la Wizara ya Intelijensia kwa magaidi; kuzimwa makumi ya milipuko mjini Tehran
Sep 25, 2023 04:38Wizara ya Intelijensia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kupitia taarifa kwamba imefanikiwa kuzima milipuko 30 ya wakati mmoja mjini Tehran na kuwatia mbaroni magaidi 28 waliokuwa wanapanga kuilipua na kusababisha maafa na hasara kubwa nchini.
-
Watoto wa Kipalestina; wahanga wakuu wa siasa za jinai za Israel katika Ukanda wa Gaza
Sep 24, 2023 23:14Kanali ya Al-Arabi imeripoti kwamba zaidi ya asilimia 70 ya watoto wa Ukanda wa Gaza wanakabiliwa na matatizo mengi ya kiafya na kimwili yakiwemo ya upungufu wa damu.
-
Yemen miaka 9 baada ya Septemba 21, 2014; kuanzia vitani hadi kwenye uundaji wa serikali yenye mafanikio ya Ansarullah
Sep 24, 2023 03:18Miaka 9 imepita tangu Septemba 21, 2014 na kufikiwa makubaliano ya Ansarullah na serikali ya Abd Rabbu Mansour Hadi, ambapo hali ya kisiasa ya Yemen imebadilika sana.
-
Indhari ya Borrell kuhusu uwezekano wa kusambaratika Umoja wa Ulaya
Sep 23, 2023 22:50Josep Borrell Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametahadharisha kuwa umoja huo unakabiliwa na mgawanyiko mkubwa kuhusu sera za uhamiaji na kwamba suala hilo linaweza kuufanya Umoja wa Ulaya uvunjike.