-
Umuhimu wa safari ya Bashar al Assad huko China
Sep 23, 2023 08:02Rais Bashar al Assad wa Syria Alhamisi ya juzi tarehe 21 Septemba aliwasili katika mji wa Hangzhou mashariki wa China kwa lengo la kushiriki katika hafla ya ufunguzi wa michezo ya Asia ya Hangzhou na kukutana na kufanya mazungumzo na Rais Xi Jin Ping wa nchi hiyo.
-
Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan
Sep 23, 2023 02:54Licha ya kupita miezi mingi, lakini ndio kwanza vita baina ya majenerali wa kijeshi vinaendelea nchini Sudan na hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo inazidi kuwa mbaya siku baada ya siku. Cha kusikitisha ni kuwa pamoja na hali kuwa mbaya kiasi hicho, lakini bado pande hasimu zinaendelea kufanya ukaidi wa kutokubali kusimamisha mapigano.
-
Hatua mpya ya Russia ya kutumia sarafu za kitaifa na kupunguza utegemezi kwa dola ya Marekani
Sep 22, 2023 22:48Serikali ya Russia imeidhinisha orodha ya nchi 31, zikiwemo Iran, Brazil, Venezuela na Cuba, ambazo benki zao zinaweza kushiriki na kufanya biashara katika soko la fedha za kigeni nchini Russia.
-
Safari ya Waziri wa Ulinzi wa Russia nchini Iran na kuimarika uhusiano wa kiulinzi wa nchi mbili
Sep 22, 2023 09:02Waziri wa Ulinzi wa Russia, Sergei Shoigu ameonana na Meja Jenerali Mohammad Baqeri, Mkuu wa Komandi Kuu ya Majeshi ya Iran hapa mjini Tehran.
-
Kuzidi kuharibika uhusiano wa kidiplomasia kati ya India na Canada
Sep 22, 2023 02:31India imemfukuza mwanadiplomasia wa Canada ikilipiza kisasi kwa hatua ya Canada kumfukuza mwanadiplomasia wa nchi hiyo. Hii ina maana kwamba, kiwango cha mvutano wa kisiasa na kidiplomasia katika uhusiano wa India na Canada kimeongezeka.
-
Wapinzani Wazayuni "wala sahani moja" na Netanyahu mjini New York
Sep 21, 2023 23:10Kama ilivyokuwa imetabiriwa tangu zamani, safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu ya kushiriki kwenye mkutano wa kila mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, mjini New Yoirk Marekani, imekuwa na vioja vingi.
-
Mitazamo wa Kiongozi Muadhamu; kujihami kutakatifu kumetanua mipaka ya muqawama
Sep 21, 2023 03:55Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameonana na kuhutubia mjumuiko wa vinara, familia za mashahidi, wasanii, waandishi, wasaidizi, maveterani na wanaharakati wa masuala ya vita vya kujihami kutakatifu (vya baina ya Iran na utawala wa zamani wa Iraq) na kutilia mkazo udharura wa kuendelezwa njia ya muqawama.
-
Sisitizo la kufanyiwa mabadiliko muundo wa Umoja wa Mataifa
Sep 20, 2023 22:53Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesisitiza haja ya kufanyiwa mabadiliko muundo wa umoja huo na kuonya kuwa, huenda kukajitokeza mgawanyiko iwapo jambo hilo halitazingatiwa.
-
Ronaldo; Saudi Arabia na mashabiki wa Iran
Sep 20, 2023 05:36Cristiano Ronaldo, nyota wa soka wa Ureno anayechezea klabu ya An-Nasr ya Saudia Arabia, ambaye alisafiri kuja hapa Tehran kwa ajili ya pambano na timu ya Persepolis ya Iran la mashindano ya Ligi ya Mabingwa ya Asia, amepata makaribisho makubwa ya mashabiki wake.
-
Kushindwa vyombo vya habari vya upinzani kuibua machafuko nchini Iran
Sep 20, 2023 04:52Katika kipindi kisichopungua mwezi mmoja uliopita vyombo vya habari vya aduii vilipanga na kuratibu njama za kuibua ghasia na machafuko nchini Iran; hata hivyo miji mbalimbali ya Iran katika masiku ya karibuni imeshuhudia hali ya amani na utulivu.