Uchambuzi
  •  Ulipizaji kisasi cha ushindi wa Kimbunga cha Al-Aqsa kwa raia na watoto wa Palestina

    Ulipizaji kisasi cha ushindi wa Kimbunga cha Al-Aqsa kwa raia na watoto wa Palestina

    Oct 10, 2023 05:51

    Baada ya kushindwa na operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa, utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena umezidisha mashambulizi yake ya anga katika maeneo ya makazi huko Ghaza, ambapo unajaribu kubadilisha mlingano wa vifo kwa manufaa yake.

  • Uungaji mkono wa Iran kwa haki ya kisheria ya kujitetea taifa la Palestina

    Uungaji mkono wa Iran kwa haki ya kisheria ya kujitetea taifa la Palestina

    Oct 10, 2023 04:17

    Akizungumza kwa nyakati tofauti kupitia mazungumzo ya simu na Katibu Mkuu wa Harakati ya Jihadul Islami pamoja na Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Hamas, kuhusu matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na maghasibu wa Kizayuni, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni unazidi kudhoofika na kudidimia na mrengo wa mapambano kuelekea kwenye kilele cha ushindi.

  • Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Tarehe 7 Oktoba; kumbukumbu ya uvamizi wa Marekani nchini Afghanistan

    Oct 09, 2023 23:06

    Miaka 22 iliyopita, Marekani iliishambulia nchi ya Afghanistan kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi na kurudisha amani nchini humo, jambo ambalo lilipelekea Waafghani kukabiliwa na matatizo na machungu mengi.

  • Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Hatua za kichochezi za Marekani kuunga mkono utawala wa Kizayuni

    Oct 09, 2023 06:16

    Kufuatia mashambulizi makubwa ya makundi ya mapambano na ukumbozi wa Palestina katika maeneo yanayouzunguka Ukanda wa Ghaza, ambayo yamedhihirisha udhaifu na utepetevu mkubwa wa utawala wa Kizayuni, Marekani imepanga na kutekeleza hatua za kichochezi kwa kisingizio cha eti kuiunga mkono Tel Aviv na kuimarisha ari ya Wazayuni.

  • Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Undani wa oparesheni ya Kimbunga cha Al Aqsa kwa upande wa kijeshi na kiitelijinsia

    Oct 09, 2023 04:43

    Makundi ya muqawama ya Palestina yenye makao katika Ukanda wa Ghaza yaani harakati ya Hamas na harakati nyingine za Palestina khususan Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina juzi Jumamosi tarehe 7 Oktoba yalianzisha oparesheni kwa jina la Kimbunga cha Al Aqsa dhidi ya utawala wa Kizayuni; oparesheni iliyouduwaza kikamilifu utawala huo na kuwashtua pakubwa Wazayuni.

  • Operesheni  ya Hamas sawa na vita vya siku 33

    Operesheni ya Hamas sawa na vita vya siku 33

    Oct 08, 2023 23:03

    Jambo ambalo kwa miezi mingi limekuwa jinamizi kwa jeshi la utawala ghasibu wa Isreal na hasa walowezi wa Kizayuni wanaoishi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu karibu na mpaka wa Ukanda wa Gaza limetimia kivitendo kufuatia operesheni ya kushtukiza ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyotekelezwa kwa mafanikio makubwa Jumamosi na wapiganaji shupavu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas.

  • Uungaji mkono mkubwa kwa mashambulio ya Hamas dhidi ya Israel

    Uungaji mkono mkubwa kwa mashambulio ya Hamas dhidi ya Israel

    Oct 08, 2023 08:05

    Mashambulio makubwa na ya kushtukiza ya nchi kavu, anga na baharini ya wanamapambano wa Kipalestina dhidi ya walowezi wa Kizayuni wanaokaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina, yaliyopewa jina la Kimbunga cha Al-Aqsa yamepata uungaji mkono mkubwa wa kieneo na kimataifa.

  • Kimbunga cha al-Aqsa; Mshutuko mkubwa wa kijeshi kwa Israeli +video

    Kimbunga cha al-Aqsa; Mshutuko mkubwa wa kijeshi kwa Israeli +video

    Oct 08, 2023 04:36

    Jana tarehe 7 Oktoba 2023 Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas ilitekeleza oparesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa dhidi ya utawala ghasibu wa Israel, jambo ambalo limeshtua na kuuwacha utawala huo kinywa wazi.

  • Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Kuendelea hitilafu katika Umoja wa Ulaya kuhusu wahamiaji

    Oct 07, 2023 22:57

    Hitilafu kuhusu kadhia ya wahamiaji miongoni mwa nchi za Umoja wa Ulaya zingali zinaendelea licha ya makubaliano ya hivi karibuni kuhusu suala hilo.