-
Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani
Aug 15, 2023 23:20Wakati kesi ya Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ikiendelea sambamba na kuandaliwa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa mwaka 2024, wataalamu wametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la misimamo mikali ya kisiasa miongoni mwa Wamarekani.
-
Hujuma ya kigaidi; kukaririwa mbinu iliyofeli ya adui
Aug 15, 2023 08:46Takriban miezi 10 baada ya shambulio la kigaidi la mwaka jana kwenye Haram Takatifu ya Hadhrat Ahmad bin Musa (AS) maarufu kama Shah Cheragh mjini Shiraz kusini mwa Iran, magaidi walishambulia tena eneo hilo takatifu siku ya Jumapili, na matokeo yake yakawa ni kuuawa shahid waumini wawili na wengine wanane kujeruhiwa.
-
Kusitisha serikali ya Mali utoaji visa kwa raia wa Ufaransa
Aug 14, 2023 22:56Mvutano kati ya nchi za ukanda wa Sahel ya Afrika na Ufaransa unazidi kuongezeka.
-
Kimya cha kufikirisha cha Waziri Mkuu wa India mbele ya mauaji ya Wahindu dhidi ya Waislamu
Aug 14, 2023 09:04Zaidi ya Waislamu 3000 wamekimbia makazi yao katika mji wa Gurugram katika jimbo la Haryana, wakihofia kushambuliwa na Wahindu wenye misimamo ya kufurutu ada. Maduka ya Waislamu katika mji huu pia yamefungwa.
-
Sababu za kuongezeka jinai za genge la kigaidi la Daesh nchini Syria
Aug 14, 2023 00:30Genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa mara nyingine tena limeongeza operesheni zake za kigaidi nchini Syria.
-
Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine
Aug 13, 2023 07:01Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia.
-
Kuibuka hitilafu mpya ndani ya baraza la mawaziri la Netanyahu kuhusu suala la usalama
Aug 12, 2023 23:00Hitilafu ndani ya baraza la mawaziri la Benjamin Netanyahu kuhusu suala la usalama zimeongezeka ambapo mawaziri wa baraza hilo wanahitilafiana waziwazi kuhusu jambo hilo.
-
Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani
Aug 12, 2023 04:46Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu kuachiwa mali za Iran na pia kufunguliwa wafungwa wake kadhaa waliokuwa wamezuiliwa na Marekani kinyume cha sheria.
-
Sisitizo jingine la China la kutatuliwa mgogoro wa Ukraine kwa njia ya mazungumzo
Aug 11, 2023 22:46Viongozi wa serikali ya China wangali wanasisitiza juu ya suluhisho la kisiasa na kidiplomasia kwa mzozo wa Ukraine.
-
Iran na Afrika Kusini katika mkondo wa kuhuisha kikamilifu mahusiano
Aug 11, 2023 07:34Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wiki hii aliekea Pretoria Afrika Kusini kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa 15 wa Kamisheni ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kiuchumi kati ya Iran na Afrika Kusini na kukutana na viongozi mbalimbali wa taifa hilo.