Uchambuzi
  • Mkutano wa kilele wa BRICS nchini Afrika Kusini

    Mkutano wa kilele wa BRICS nchini Afrika Kusini

    Aug 23, 2023 11:42

    Mkutano wa siku tatu wa wakuu wa nchi tano za BRICS na uwepo wa makumi ya wakuu wengine wa nchi ulianza huko Johannesburg, Afrika Kusini mnamo Jumanne, Agosti 22, 2023.

  • Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Aug 22, 2023 22:46

    Katika kipidi cha miezi 18 ya vita nchini Ukraine, moto wa vita hivyo haribifu umezidi kuwaka na kuchukua wigo mpana zaidi kutokana na sera haribifu za nchi za Magharibi, ambazo zimepeleka nchini Ukraine msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na kisilaha ambao haujawahi kushuhudiwa.

  • Tarehe 21 Agosti; Siku ya Kimataifa ya Misikiti.

    Tarehe 21 Agosti; Siku ya Kimataifa ya Misikiti.

    Aug 22, 2023 09:01

    Sababu iliyopelekea siku hii kutengwa kama Siku ya Kimataifa ya Misikiti inahusiana na tukio lililotokea miaka 56 iliyopita katika Msikiti Mtukufu wa Al-Aqsa, katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel, na ambao ni Kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Iran na Muqawama zilivyoshika mpini wa masuala ya eneo la Asia Magharibi

    Iran na Muqawama zilivyoshika mpini wa masuala ya eneo la Asia Magharibi

    Aug 21, 2023 23:05

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ameashiria uafriti unaofanywa katika kila pembe ya ulimwengu na ubeberu wa dunia ukiongozwa na Marekani na kueleza kwamba, hii leo Marekani inazidi kudidimia na kuyoyoma kuliko ilivyowahi kuwa wakati wowote ule; na leo adui yuko kwenye kilele cha udhaifu.

  • Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Aug 21, 2023 05:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ametangaza kuwa Washington imeafiki kupelekewa Ukraine ndege za kivita aina ya F-16 kutoka nchi mbili wanachama wa shirika la kijeshi la NATO, yaani Denmark na Uholanzi, na kwamba hilo litafanyika baada ya kukamilishwa mchakato wa utoaji mafunzo kwa marubani wa Ukraine ya kuzitumia ndege hizo.

  • Safari ya Amirabdollahian nchini Saudi Arabia; Tehran na Riyadh ziko tayari kuwa na uhusiano imara

    Safari ya Amirabdollahian nchini Saudi Arabia; Tehran na Riyadh ziko tayari kuwa na uhusiano imara

    Aug 21, 2023 01:20

    Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ambaye karibuni ametembelea Saudi Arabia kwa mwaliko rasmi wa Faisal bin Farhan, Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo, siku ya Ijumaa alikutana na kuzungumza na Mohammed bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudia mjini Jeddah.

  • Uwezekano wa shambulio la kijeshi dhidi ya Niger wazidi kupata nguvu

    Uwezekano wa shambulio la kijeshi dhidi ya Niger wazidi kupata nguvu

    Aug 20, 2023 07:43

    Huku mzozo wa kisiasa nchini Niger ukiendelea, ECOWAS (Jumuiya ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi) imeamua kufanya shambulio la kijeshi dhidi ya nchi hiyo, lakini haijatangaza tarehe ya kuanza shambulio hilo.

  • Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, mpeperushaji bendera ya mapambano dhidi ya ugaidi

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, mpeperushaji bendera ya mapambano dhidi ya ugaidi

    Aug 19, 2023 22:55

    Akizungumza Alhamisi ​​asubuhi katika kikao cha 24 cha Baraza Kuu la Makamanda na Maafisa wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC, Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameeleza kuwa kuundwa, kustawi, kufanikiwa na kushinda migogoro pamoja na utendaji wa jeshi hilo, hakuna mfano wake na ni fahari kubwa katika mtazamo wa kijeshi, umma, utoaji huduma na ujenzi wa taifa.

  • Sababu za Marekani kurudisha kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria

    Sababu za Marekani kurudisha kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria

    Aug 19, 2023 04:48

    Kundi la kigaidi la Daesh au jina jingine ISIS, limezidisha mashambulizi yake katika ardhi ya Syria. Syria na Iran zimeshuhudia mashambulizi ya kigaidi ya kundi hilo katika wiki za hivi karibuni. Kuna dalili za kutosha zinazothibitisha kwamba Marekani ndiyo inayochochea mashambulizi hayo.