-
Kurejeshwa uhusiano wa kisiasa wa Tunisia na Syria; pigo jingine kwa wenzo wa Magharibi wa kuitenga kisiasa Damascus
Mar 12, 2023 22:58Rais Kais Saied wa Tunisia ametangaza kuwa, serikali yake imechukua uamuzi wa kurejesha kikamilifu uuhusiano wake na taifa la Syria.
-
Kukosoa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kampeni za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu
Mar 12, 2023 08:42Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa uenezaji hofu juu ya Uislamu na chuki za aina mbalimbali dhidi ya Uislamu na Waislamu duniani.
-
Kumalizika mkwamo wa miaka saba katika uhusiano wa Iran na Saudi Arabia
Mar 11, 2023 23:08Iran na Saudi Arabia zimekubaliana kuanzisha tena uhusiano kati ya pande mbili kwa upatanishi wa China baada ya mkwamo wa miaka saba.
-
Kuvunjwa rasmi mpango wa INSTEX; nembo ya kukiukwa ahadi za Ulaya mkabala wa utekelezaji wa JCPOA
Mar 11, 2023 08:15Troika ya Ulaya inayoundwa na Ujerumani, Ufaransa na Uingereza juzi Alhamisi ilitangaza katika taarifa yake kuwa imesitisha mfumo kwa jina la mpango wa mabadilishano ya kifedha na kibiashara "INSTEX" uliouanzisha mwaka 2019 kwa ajili ya kulinda biashara na Iran mkabala wa vikwazo vya Marekani.
-
Kukiri Washington woga wa Marekani wa kubadilika mfumo wa dunia
Mar 10, 2023 22:55Taasisi za kijasusi za Marekani zimetoa ripoti yao ya pamoja ya kila mwaka kuhusu vitisho vilivyoko duniani na kuelezea wasiwasi wake mkubwa wa kubadilika mfumo wa utawala wa dunia hasa kutoka kwa nchi kama China.
-
Matamshi ya waziri wa Saudia, kuanzia kushindwa nchini Syria hadi hitilafu na Imarati
Mar 10, 2023 02:18Faisal bin Farhan Aal Saud, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia amefanya mahojiano na televisheni ya al Arabia ya nchi hiyo na amekiri kwa njia isiyo ya moja kwa moja kuwa siasa za Riyadh zimefeli nchini Syria kama ambavyo amekiri kwamba kuna hitilafu baina ya Saudia na Muungano wa Falme za Kiarabu (Imarati).
-
Afrika Kusini katika mchakato wa kupunguza kiwango cha uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel
Mar 09, 2023 22:54Bunge la Afrika Kusini limetangaza kupitisha sheria ya kupunguza kiwango cha uhusiano wake na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kusisitiza kwamba utawala huo unaozikoloni ardhi za Palestina ni utawala wa kibaguzi au apathaidi ambao unawadhulumu na kuwabagua Wapalestina.
-
China yaikosoa vikali Marekani
Mar 09, 2023 04:25Rais Xi Jinping wa Uchina, amehutubu kwenye mkutano wa mwaka wa chama tawala cha Kikomunisti, ambapo ameishambulia vikali Marekani na kusema: Washington inaongoza kampeni ya "kuzuia, kuzingira na kuikandamiza" China.
-
Kuongezeka hitilafu ndani ya jeshi na kuimarika uwezekano wa mapinduzi ya kijeshi dhidi ya Netanyahu
Mar 08, 2023 23:02Katika kukabiliana na maandamano ya hivi karibuni, uasi na ukaidi wa askari wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala huo haramu, ameonya kuwa vitendo vya aina hiyo vinatishia "misingi muhimu ya Israel" na kwamba tabia hiyo itaenea haraka katika mfumo mzima wa utawala huo.
-
Hali mbaya ya haki za wanawake katika nchi za Magharibi na madai ya uongo ya nchi hizo dhidi ya Iran
Mar 08, 2023 04:43Kwa mtazamamo wa harakaharaka, hali ya wanawake katika nchi za Magharibi zinazodai kutetea haki za wanawake inaonyesha kuwa wanawake na wasichana katika nchi hizo wanakabiliwa na hali mbaya sana ambapo haki zao za kibinadamu zinapuuzwa na kukiukwa wazi wazi.